Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,383
- 8,273
Mkuu juzi nimeona umemwambia mtu kuhusu matibabu ya kitunguu Swaumu dhidi ya malaria sugu kwakweli nimeitumia na siku ya pili leo naona niko fiti sana.Cha ajabu na uume wangu leo usiku mzima ulikuwa umesimama mpaka nikaona kero na ikabidi nichukue maji baridi sana kwenye jokofu na kuimwagia ndipo nikapata nafuu na kulala usingizi,vipi na huko inaimarisha nini??
Una post 1958
Rep power 2157217
Likes received 297
Likes given 0
Mkuu jitahidi kutoa like tafadhali. Huna hata moja?