Nimepona MziziMkavu

Nimepona MziziMkavu

Albosignathus

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,898
Reaction score
1,051
Mkuu juzi nimeona umemwambia mtu kuhusu matibabu ya kitunguu Swaumu dhidi ya malaria sugu kwakweli nimeitumia na siku ya pili leo naona niko fiti sana.Cha ajabu na uume wangu leo usiku mzima ulikuwa umesimama mpaka nikaona kero na ikabidi nichukue maji baridi sana kwenye jokofu na kuimwagia ndipo nikapata nafuu na kulala usingizi,vipi na huko inaimarisha nini??
 
Kaka iyo ndio athaumu...mishipa ya makao makuu ilikua legevu mkuu...

Hapana mkuu! haikuwa legevu kwa maana ilikuwa ikiamka alfajiri daily ila baada ya hii kiunguu swaumu naona jana tangu saa tatu mpaka nane limesimama tuu.
 
ukiwaona warabu miaka 60 wanaoa binti wa miaka 20 usishangae io ndo siri ya mtungi...jamaa wanakula sana hivi vitunguu
 
Mkuu juzi nimeona umemwambia mtu kuhusu matibabu ya kitunguu Swaumu dhidi ya malaria sugu kwakweli nimeitumia na siku ya pili leo naona niko fiti sana.Cha ajabu na uume wangu leo usiku mzima ulikuwa umesimama mpaka nikaona kero na ikabidi nichukue maji baridi sana kwenye jokofu na kuimwagia ndipo nikapata nafuu na kulala usingizi,vipi na huko inaimarisha nini??

nyeto umeacha?
 
hua wanavisaga kwa blender na kuifanya kama juice...hawatii maji mengi....wale Mabandidu huwa wanatafuna tu
 
we dogo acha kutudanganya hapa...nyeto ilikutengua mishipa ya uboo, shukuru dokta wangu MziziMkavu kakupa tiba ya kurecover!
 
Last edited by a moderator:
duh, hizo comment zenu ndio mmeshapandisha bei ya vitunguu hivyo...:smile-big:
 
Hahahaaa mgonjwa kapona,kwani ulitumia vitungu kiasi gani? na ulichanganya na nini?
 
Back
Top Bottom