Lilitokea kwangu hilo niliona picha tu, ni angalizo atoke hapo sio pakeTeh mpe moyo wa matumaini japo kiasi
Holi nalo lawezekanaHaya mambo haya, kuna siku nilikuwa sehemu jamaa mmoja alikuwa na dada yake wanakula kitimoto akapigiwa simu na demu wake lakini ikaonyesha hampendi huyo demu. Alichofanya alimwelekeza dada yake apokee hiyo simu ajifanye ni mchumba ake, dada mtu akafanya hivyo akamfokea dada wa watu asimfatilie tena mchumba ake mpiga simu akaomba samahani tu.
Kumbe lengo lako ulitaka tu tujue kuwa haupo bongo,waafrika tuna tatizo sehemu..Asaante ila inauma kweli nimetoka nae mbali nimeshare nae mambo yangu binafsi mengi sana nilimuamini sana. Mda mwingine najiuliza pengine alikua anatafuta njia ya kuachana na mimi akaona mi king'ang'anizi. Akaamua kunionyesha kabisa kwamba bwana ee ondoka nna mwanamke tayari.
Hapa nawaza sijui nikamate mzungu tu huku niliko duh











Mkuu aliyeandika huu Uzi angekuwa ni mwanaume ungemuita huko PM kweli?Njoo pm nikushauri
Mwandiko wako na jina lako ni very familiar... it cant be a coincidence.May be iam ua ex