Mkuu usijal hpo unaanza kukomaa na maumivu ya mapenzi, inatakiwa upitie maumivu tena kama mara 3 hivi, baada ya hapo unakua concord hutokuja umia tena. Mapenzi yapo yasikutawale, ila uyatawale. Na uyachukulie ni kitu cha kawaida sana (najua sasa hivi itakua ngumu kunielewa ila tutaelewana kidogo kidogo ngoja tuoneshane makali ( in dk shika )) ...
NOTE: tambua unapendwa na watu wengine wazuri tu kuliko huyo ngurumbili anayekutesa, sasa uking'ang'ania utakua kipofu hautaweza kuona hao wanaokupenda.
Mwisho, pole sana ila ndio vzr unazidi kukomaa kiakili na kimapenzi, na ninapenda ikutokee tena ili uyazoee.