Nimepokea SMS hii nifanyeje?

Nimepokea SMS hii nifanyeje?

Dangerm

Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
87
Reaction score
9
Niliingia katika mahusiano na dada mmoja mwishoni mwa November 2013 Baada ya yeye kumaliza kidato cha nne, tulipendana sana naye alitokea kunipenda.

Mwanzoni mwa mwezi wa 6 nikaamua kuachana naye kutokana na tabia yake kubadilika ghafla pia alianzisha uhusiano na mwalimu wake aliyemfundisha a_level tangu mwezi wa 6 hadi mwezi huu sijawahi kuwasiliana naye.

Leo asubuhi nimepokea sms imeandikwa hivi "TABU NINAYOPATA MIMI KAMA KWELI MI NIKAJIFUNGUA SALAMA WE JIANDAE KWENDA GEREZANI, NIMEVUMILIA SANA HADI SIKU YA LEO NINA UCHUNGU SANA, NILIKUWA NAKUFICHA LAKINI CJAZIONA FADHILA ZAKO"

Ushauri wako ni muhimu nianze wapi niishie wapi ili mambo yawe sawa maana haya ni majanga.
 
mwanafunzi bila condom?!!
hata contraceptives pills?
 
Niliingia ktk mahusiano na dada mmoja mwishon mwa november 2013 Baada ya yeye kumalza kdato cha nne,tulipendana sana naye alitokea kunpenda,,
Mwanzon mwa mwez wa 6 nikaamua kuachana nae kutokana na tabia yake kubadilika ghafla pia alianzisha uhusiano na mwalimu wake aliyemfundisha a_level,,.tangu mwez wa 6 hadi mwezi huu cjawah kuwasiliana nae.
Leo asubuhi nimepokea sms imeandikwa hivi TABU NINAYOPATA MIMI KAMA KWELI MI NIKAJIFUNGUA SALAMA WE JIANDAE KWENDA GEREZANI, NIMEVUMILIA SANA HADI SIKU YA LEO NINA UCHUNGU SANA,NILIKUWA NAKUFICHA LKN CJAZIONA FADHILA ZAKO Ushauri wako ni muhimu nianze wap niishie wap ili mambo yawe sawa maana haya ni majanga

Hana lolote just anakurisha tu!!
Kasapigwa kibutu na mwal wake sasa anataka kurudi kwako!!!
 
Niliingia ktk mahusiano na dada mmoja mwishon mwa november 2013 Baada ya yeye kumalza kdato cha nne,tulipendana sana naye alitokea kunpenda,,
Mwanzon mwa mwez wa 6 nikaamua kuachana nae kutokana na tabia yake kubadilika ghafla pia alianzisha uhusiano na mwalimu wake aliyemfundisha a_level,,.tangu mwez wa 6 hadi mwezi huu cjawah kuwasiliana nae.
Leo asubuhi nimepokea sms imeandikwa hivi TABU NINAYOPATA MIMI KAMA KWELI MI NIKAJIFUNGUA SALAMA WE JIANDAE KWENDA GEREZANI, NIMEVUMILIA SANA HADI SIKU YA LEO NINA UCHUNGU SANA,NILIKUWA NAKUFICHA LKN CJAZIONA FADHILA ZAKO Ushauri wako ni muhimu nianze wap niishie wap ili mambo yawe sawa maana haya ni majanga

Baada ya kufanya sperm donation ukakimbia,sasa unayaona majanga?kayaanzie pale pale ulipoishia responsibly!
 
mwambie akutafute ili uendelee kumsugua vizuri,umsaidie kutanua njia ili ajifungue kirahisi.
 
form 4 mnapendana kweli? hiyo ilikuwa zamani, form 4 wa sasa wanapenda ela. ila huyo kavurugwa wala usiwaze kwani ni mude wako? si wa ticha.
 
kapimeni umri wa ujauzito coz inawezekana ikawa ya mwalimu au ikawa yako,mwisho wa siku mwanamke ndie mwenye uhakika wa aliyempa mimba
 
2013, mwanafunzi wa kidato cha nne, demu wako, mimba, mwalimu wake...najaribu kuunganisha matukio nione kama mtoto wangu nimpeleke shule au nimfundishe mwenyewe!

Mkuu, inaonekana ukikikamata kijeba kinamsarandia mtoto wako unaweza kukiua!!
 
Baada ya kufanya sperm
donation ukakimbia,sasa unayaona majanga?kayaanzie pale pale ulipoishia
responsibly!

akubali matokeo tangu mwezi wa 11-6 ni miezi mingap? labda kama ana mimba ya niezi 2 hapo sawa ila kama ndo uchungu wa kujifungua jiandae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom