Nimepita njia ya Moshi Arusha kwa mara ya kwanza nimeshangaa sana utitiri wa Trafki

Yaani kutokea pale njiapanda ya Himo hadi Moshi-Arusha kuna utitiri wa trafki sijawahi kuonq, hawa wapunguzwe wahamishiwe vituoni huko wakapambane na uhalifu
Hamna sehemu yenye matrafiki njaa kama hiyo ya Arusha moshi unaweza kutoka dar bila kusimamishwa akaja ukasimamishwa hapo, af hakuachii bila pesa.
 
Kuna maeneo/barabara wameonewa. Dar/Chalinze/segera /moshi/arusha ina trafiki wengi kushinda waliopo mkoa wa lindi na mtwara. Nimepita Dodoma/manyoni/tabora/mpanda/sumbawanga...hawafiki waliopo Arusha ..moshi.

Ni ngumu kumeza
 
Kuna maeneo/barabara wameonewa. Dar/Chalinze/segera /moshi/arusha ina trafiki wengi kushinda waliopo mkoa wa lindi na mtwara. Nimepita Dodoma/manyoni/tabora/mpanda/sumbawanga...hawafiki waliopo Arusha ..moshi.

Ni ngumu kumeza
Hayo maeneo yana wakorofi wa nchi hii.
 
Wanasaidia sana kwenye hiyo njia,wewe umewahi kusikia ajali za mara kwa mara kwenye hiyo njia?

FuZjb2aXwAQYywO.jpeg
 
Yaani kutokea pale njiapanda ya Himo hadi Moshi-Arusha kuna utitiri wa trafki sijawahi kuonq, hawa wapunguzwe wahamishiwe vituoni huko wakapambane na uhalifu
Hizi ndio shida na tabu wanazoishi nazo watu aa kaskazini sasa kipindi hiki wanakuwaga mara mbili. Police anakusimamisha anakuambia tugawie na sisi hiyo hela uliochuma bana. Ooh tairi la kulia lina.,. Ooh speed tulipita babati mbio mtu upo kia.
 
Yaani kutokea pale njiapanda ya Himo hadi Moshi-Arusha kuna utitiri wa trafki sijawahi kuonq, hawa wapunguzwe wahamishiwe vituoni huko wakapambane na uhalifu
Usishangae, madereva wa Arusha wajuaji na wababe na madereva wa Moshi wajuaji na wababe. Barabara hii ilikuwa na ajali nyingi sana hasa za kushindana spidi na kumulikiana na kuzima taa za ukungu wakati wa usiku, huku nfiko walikoanzisha madereva wanapokezana gari likiwa spidi ya 80km/s.
 
Arusha trafiki wataanza kukaa kwenye mageti ya watu maana ukiingia Road tu kutoka home unawaona hawa hapa yaani hata sijui wanakagua nini gari inatembea 10 km imerudi home tena badala ya kujazana bara bara kuu huko wao tupo nao vichochoroni huku Nchi haiendelei hao Trafiki wapo wengi sana wanadumaza maendeleo kwa kupotezea watu muda...
 
Kumbuka Krismas imekaribia! Wakati mwingine wanatafuta hela ya sikukuu!
Hata hivyo wanastahili pongezi, barabara hiyo haijawahi kuwa na ajali nyingi.
 
Yaani kutokea pale njiapanda ya Himo hadi Moshi-Arusha kuna utitiri wa trafki sijawahi kuonq, hawa wapunguzwe wahamishiwe vituoni huko wakapambane na uhalifu
Mnajifanya wajuaji sana kwenye mikoa ya watu.
Kwa taarifa yako Disemba hii magari karibu thethi nzima ya magari yote Tanzania huhamia kaskazini.

Hivyo huwa na hatarii ya ajali.

Hao askari hawako hapo kucheza ngoma bali kudhibiti ajali.
Wewe tulia
 
Kumbuka Krismas imekaribia! Wakati mwingine wanatafuta hela ya sikukuu!
Hata hivyo wanastahili pongezi, barabara hiyo haijawahi kuwa na ajali nyingi.
Watu wanaviherehere na hawajui lolote
 
Back
Top Bottom