Nimepigiwa simu na DHL

Nimepigiwa simu na DHL

James Hungury

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
825
Reaction score
612
Habari,

Naombeni Msaada,

Nimepokea ujumbe kwenye e-mail yangu kutoka kampuni ya DHL ikinitaka kufika katika ofisi za ma agent wao ili nipokee mzigo wangu uliotumwa, na katika email hiyo kuna tracking number. Kitu kinachonishangaza, sijawahi kuagiza mzigo kwao wala kutumia huduma zao.

Je, wadau mnanishauri vipi? Niende au? Je, kuna ukweli ndani yake au?

Thanks, msaada katika hili,
 
Track huo mzigo umetoka wapi kwanza kupitia tovuti yao labda unaweza kuwa na idea
 
potezea mbali DHL wanafanyakazi zaidi kwa simu
 
nimegundua hao jamaa kumbe ni mataper,nilipofungua ile trackng number 2,nikaletewa ujumbe phising want to hack your information....
sasa hapo ni nin jaman?hebu 2we makin
 
Ata ao DHL watakua wameingiliwa na hackers na kuiba baadhi ya nembo na details za link ndio ao hackers wanaingiza watu king
 
Ata ao DHL watakua wameingiliwa na hackers na kuiba baadhi ya nembo na details za link ndio ao hackers wanaingiza watu king

Kwanini mnaandika vitu vya kusikia na msivyo na ujuzi navyo?..... Halafu jifunze kuandika!
 
nimegundua hao jamaa kumbe ni mataper,nilipofungua ile trackng number 2,nikaletewa ujumbe phising want to hack your information....
sasa hapo ni nin jaman?hebu 2we makin

Mkuu inawezekana ni matapeli kweli. Mimi nlitumiwa jana ujumbe unasema mzigo umefika tarehe 10 sep. Wakanipa track no. Kuitrace mzigo umefika toka July. Ila kutrace wanataka uingize email na password yako nafikiri itakuwa na hackers tu wanataka kuiba password za watu. Ni heri DHL watoe tamko mapema
 
Kwanini mnaandika vitu vya kusikia na msivyo na ujuzi navyo?..... Halafu jifunze kuandika!

Mimi nilidhani utaleta unachokijua kumbe umekurupuka na kushambulia watu tu wee jamaa umekuaje. Busara hazipo hivyo, busara ungeandika unachokijua na kuacha ujinga wako au unataka sema ni kweli hao wanaowatumia email watu ni DHL wenyewe?
 
Investigator

Labda kuna ndugu/rafiki kakutumia 'surprise'...
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilidhani utaleta unachokijua kumbe umekurupuka na kushambulia watu tu wee jamaa umekuaje. Busara hazipo hivyo, busara ungeandika unachokijua na kuacha ujinga wako au unataka sema ni kweli hao wanaowatumia email watu ni DHL wenyewe?

Wewe umesema wame-hack DHL kitu ambacho sio kweli. Hao ni matapeli tu wamemtumia email
 
Kichwa cha habari ni tofauti na habari yenyewe.....
 
Title ni simu. Kwenye habari yenyewe ni email. Ni kipi?
 
Investigator;

hahaa ujawahi aagiza mzigo tcra jaribu kumbuka
 
Last edited by a moderator:
Wewe umesema wame-hack DHL kitu ambacho sio kweli. Hao ni matapeli tu wamemtumia email

Kwan DHL hawawez kui hack? wameweza NASA iwej hyo DHL? yaweza kuwa wame hack DHL ni kuwa makini t na eml za namna hyo.
 
Kwan DHL hawawez kui hack? wameweza NASA iwej hyo DHL? yaweza kuwa wame hack DHL ni kuwa makini t na eml za namna hyo.

Nani kasema hawawezi? Naomba usitunge vitu ambavyo sijasema! Mimi nimesema kutumiwa email kama imetoka DHL SIO lazima kuwa wame-hack site yao! Ni matapeli tu na wanaweza kutuma kutoka popote
 
Mkuu inawezekana ni matapeli kweli. Mimi nlitumiwa jana ujumbe unasema mzigo umefika tarehe 10 sep. Wakanipa track no. Kuitrace mzigo umefika toka July. Ila kutrace wanataka uingize email na password yako nafikiri itakuwa na hackers tu wanataka kuiba password za watu. Ni heri DHL watoe tamko mapema

Ebu eleza vizuri ulitrace ukaona mzigo umefika july sasa unasema tena ukatrace watataka uingize email na password sasa ulikua unatrace wapi wakati uo ulishatrace ukakuta mzigo umefika july?

Kwanini mnaandika vitu vya kusikia na msivyo na ujuzi navyo?..... Halafu jifunze kuandika!
 
Ebu eleza vizuri ulitrace ukaona mzigo umefika july sasa unasema tena ukatrace watataka uingize email na password sasa ulikua unatrace wapi wakati uo ulishatrace ukakuta mzigo umefika july?

Ok Ahsante sana kwa suali lako. Jibu ni kama ifuatavyo

1. Mimi nlitumiwa e mail na so called DHL kwamba kuna mzigo wetu umefika na hawawezi kuuleta kwa sababu address ina matatizo. Email imeandika mzigo umefika tarehe 10 September 2015.

2. Wakanipa link ambayo ina trace no. Ili niangalie mzigo ulipo.

3. Nilipotaka kuitrace hiyo no. Ikaniambia siwezi kutrace mpaka niingize email na password yangu.

4. Nikaingiza email na password ili nitrace ile no. But majibu yakawa irrelevant kwani ilionyesha mzigo ashakabidhiwa mwenyewe toka July.

5. Nikampigia mteja wetu ambae mara kwa mara hutumia huduma za DHL, FEDEX na TNT kutuma BILL OF LADING zake (sisi ni customs Agent ) akanambia hana mzigo wowote.

CONCLUSION : Inaonekana hawa ni Hackers lengo lao kupata email na password za watu. Hivyo nashauri

a. tuwe na tahadhari ndugu zangu wananchi.
b. TCRA iwashughulike mara moja wahalifu hawa.
c. DHL wafuatilie na watoe tamko kulaani uhalifu huu. Kama hawahusiki wakanushe haraka kama ni wao pia watuambie
 
Ok Ahsante sana kwa suali lako. Jibu ni kama ifuatavyo

1. Mimi nlitumiwa e mail na so called DHL kwamba kuna mzigo wetu umefika na hawawezi kuuleta kwa sababu address ina matatizo. Email imeandika mzigo umefika tarehe 10 September 2015.

2. Wakanipa link ambayo ina trace no. Ili niangalie mzigo ulipo.

3. Nilipotaka kuitrace hiyo no. Ikaniambia siwezi kutrace mpaka niingize email na password yangu.

4. Nikaingiza email na password ili nitrace ile no. But majibu yakawa irrelevant kwani ilionyesha mzigo ashakabidhiwa mwenyewe toka July.

5. Nikampigia mteja wetu ambae mara kwa mara hutumia huduma za DHL, FEDEX na TNT kutuma BILL OF LADING zake (sisi ni customs Agent ) akanambia hana mzigo wowote.

CONCLUSION : Inaonekana hawa ni Hackers lengo lao kupata email na password za watu. Hivyo nashauri

a. tuwe na tahadhari ndugu zangu wananchi.
b. TCRA iwashughulike mara moja wahalifu hawa.
c. DHL wafuatilie na watoe tamko kulaani uhalifu huu. Kama hawahusiki wakanushe haraka kama ni wao pia watuambie

Umenena vyema aisee nilikuuliza kusudi kwa kuwa kuna mtu humu aliniambia maneno yasio na staha. Sasa ajiulize watu wamepata mpaka link na kutengeneza namba za kutrace na ukiingiza inakupeleka uko uko alafu unasema DHL haiwezi kuwa hacked. Apo ao wezi walianza kuchezea hizo link za DHL ndipo wakapata namna ya kuingiza watu moja kwa moja ktk mfumo wanaoujua wao, cha msingi ni mamraka husika kuchukua hatua mara moja na DHL pia wanatakiwa kutoa maelezo juu ya hilo jambo
 
Ni wezi tu hao, hata mimi nnimewahi letewa huo ujumbe sikuufatilia kwa sababu sishobokei bureee,
 
Back
Top Bottom