Nimepiga chabo sana semester nzima kuelekea UE msaada tafadhari

Kwa maelezo yako tuu..unaonekana wewe siyo university material.

Kiufupi wewe Ni kilaza!!!
Commitment level yako Ni ndogo sana...unataka mafanikio ya mtelezo...wakati unajua fika no pain no gain!!!
Huwezi kufaulu bila kuinvest knowledge kwenye brain.

Ushauri wangu:
Wake up before it is too late..
Vinginevyo acha kupoteza mda rudi kitaa tafta shughuli yoyote soft inayoendana Na ubongo wako ufanye.
 
Wasomi wa mwendokasi hawa. Ingekuwa enzi zetu solution ilikuwa rahisi na ya uhakika ..... unaomba kurudia mwaka. Hii ilikuwa inatusaisia ili kumaster masomo yako, sio kupata alama za juu tu ambapo mbeleni hazina faida yeyote
Ukwel mtupu
 
Kwa maelezo yako tuu..unaonekana wewe siyo university material.

Kiufupi wewe Ni kilaza!!!
Commitment level yako Ni ndogo sana...unataka mafanikio ya mtelezo...wakati unajua fika no pain no gain!!!
Huwezi kufaulu bila kuinvest knowledge kwenye brain.

Ushauri wangu:
Wake up before it is too late..
Vinginevyo acha kupoteza mda rudi kitaa tafta shughuli yoyote soft inayoendana Na ubongo wako ufanye.
Nimeomba ushauri,,sijaomba kutukanwa
 
Jamani eeh ,,,nimepiga chabo semester nzima na nimehudhuria vipindi vichache sana na kusoma kwangu naona uvivu sana

Pepa zote nimefaulu kwa chabo kwa kuigilizia kwa wenzangu au kuingia na simu kwenye pepa ,,nikiona sipo comfortable zaidi naomba ruksa naenda kugoogle maswali chooni au kuangalia majibu kwenye slides za kwenye simu

Sasa jamani UE inakaribia halafu kupiga chabo ni vigumu kwa sababu wasimamizi wanakuwa wengi na msimamizi akikudaka unapiga chabo halafu akakupeleka ngazi ya juu anapewa laki 2 yake ,,,,,sasa hapa nilipo nawaza kila ninachokisoma sikielewi kwa sababu nimedoji vipindi vingi na mitihani ndo kama hivyo inakaribia


Je nifanye nini ili nifaulu???


Unatakiwa ufeli kwanza ndio utajua uko hapo chuo kwa ajili gani
 
Back
Top Bottom