Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
mvue combat hizo ujimegee kiulainiiii... but you better be serious, la sivyo tegemea kipigo cha mbwa mwizi
Nani kakudanganya mapenzi yanakwenda hivyo?
mvue combat hizo ujimegee kiulainiiii... but you better be serious, la sivyo tegemea kipigo cha mbwa mwizi
mpe kitu roho napenda,ila angalia siku ukim cheat AK 47 inahusika....
tatizo ni haya maneno ya mtaani.
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Umenikumbusha JKT harakati za maafande na akina dada wa mujibu wa sheria. Najua hii vijana wa kisasa hawawezi elewa nazungumzia nini.
Muoe tena wengi wao ni bikra...