nani kakudanganya wasifu wa wanajf ni wa ukweli? wewe unaitwa watu8 au usanii tu.
ni kweli naenda wakilisha maoni wa walionituma ila na mimi siendi kama debe tupu nami pia nina yangu.
Naona akili yako inawaza posho tu
Na mimi pia nimechaguliwa kila mtu amechaguliwa. Taja jina wewe acha maneno
eh even yuuu....anza na jna lako basi
Mi pia nipo kwenye ilo bunge la katiba nawakilisha makundi ya celebrity, watanashati. Ma handsome boy, wasafi
heheh,WATCHA WEEE,...
Wanajanvi, Mungu akipenda basi nitawakilisha Bunge la Katiba, jina langu ni moja ya majina yaliyopendekezwa na kundi langu kuwakilisha. Hivyo nikiwa kama mwanajf naomba sala zenu na hata ikibidi matambiko ya kimila ili niweze kuingia na kutetea masilahi mapana ya watanzania, niwaahidi tu nikifanikiwa msimamo wangu juu ya Muungano utakuwa ni wa serikali 2 huru kwanza na suala la Muungano litajadiliwa na nchi husika zikiwa huru na kama itaonekana kuna umuhimu basi tutaungana baadae, hakuna haja ya kulazimisha kuungana kama kuna pande haitaki na ikibidi basi tutaungana na Zanzibar katika shirikisho la Afrika mashariki zikiwa nchi huru.
Pia naenda kuwakilisha Cash Kings ,ma Don sijui mwenzetu mtoa mada anaenda kuwakilisha kundi gani maana ata milembe wametuma mwakilishi wao pia
EHHEE ,hata me naona,WAUZA SEMBE pia ni ma'Cash kings,mpo pamojaaaa?!?