Nimependa msimamo wa Dr Slaa


ulichoandika ndivyo hata mim ningeandika-nakushukuru sana na nimefurah sana kuona wazalendo wa kweli bado tupo
 
Nafasi ya mgombea urais Chadema imeuzwa kwa mtu binafsi.

Wafuasi walioamini mabadiiko ya kweli wakumbuke kuwa tuliwaonya kuwa Chadema ni Chama cha kilaghai...

Teh. Na full ukaskazini eti? Kesheni mkiomba Mamvi asiingie magogoni vinginevyo mtakunywa maji kwa karai. Hata angepita kupitia magamba bado mngenyooka tu. Yupo upinzani sasa vipi unasemaje?
 
Na every unsuccessful man there's a woman behind it...Lowassa ni politician na hii ni nafasi pekee anaweza kuwa Presd.
 
Umemaliza yote mkuu, naomba nisitie neno zaidi ya kusema WEWE NI GREAT THINKER!
 
Mkuu binafsi maumivu niliyonayo nayajua mimi mwenyewe .

Chadema wamenikatisha tamaa ,ccm ndio hivyo sitaki hata kuwasikia. Yaani nipo nambwela mbwela.

Faraja yangu pekee ni kuona Dr.Slaa akigoma jumla kuungana na genge la kina Mbowe na Lipumba .
 
Unamwongelea tu Dr.Slaa, familia yake na ccm sijui Mbowe unamuweka kundi gani.

Huu ni usukule wa hali juu sana kutoona madhaifu ya Mbowe kwa kujivika bomu la ufisadi na kupoteza kabisa misingi ya chama.
 
Pole Dr ntakua na msimamo km wako. Na mollah atawalaani hao wanaotumia chama kwa maslahi yao binafsi
 
mimi naona anapenda madaraka pia. Yeye kama anataka wapinzani wachukue nchi angetumia busara wawe yeye na edo kitu kimoja. Kwani hii chuki yake Slaa inabomoa upinzani. Naona Zitto anachelekea kwani ataenda Act Chama ambacho kichanga zaidi.
 

Unaamini yeye Dr....ni msafi km Malaika? au alidhani atakuwa mgombea wa KUDUMU pale CDM
 

Kwani chadema MNA maadili nyie ?
 

Nahii kitu itamuondolea heshima yake kwa wapenda mabadiliko ambayo ameijenga kwa siku nyingi huu sio wakati wakususasusa.....Eti...sababu jamii kubwa inamkubali so what
 
Huo ni msimamo wake. Utafiti umeonyesha kuwa kama Dr. Slaa atasimama na Dr. Magufuli CCM itakuwa mshindi, lakini kama yeyote atasimama na Lowassa basi hakuna wakumshinda. Hapa UKAWA ni kuiondoa CCM na mfumo wake na tupate mabadiliko. Hivi Slaa anataka nini?. Mbona vyeo baada ya ushindi ni nyingi. Yeye atulie UKAWA tutashinda.
 
Ukifatilia sana watu wanaolalamika niwaCCM mnataka kusema CCM wanakipenda sana CDM NO...Dr...tunamuhitaji cz kwenye mapambano yyt UMOJA ni muhimu lkn sasa asitufane wapuuzi Tukamuabudu hii haikubaliki
 
Msimamo uliopo sasa si wake bali ni wa mkewe,Hii ni aibu sana kwa familia za kiafrika.

Una uhakika gani na unachokisema? No research no right to speak.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…