Nimependa maelezo ya Peter Msigwa BBC muda huu

Nimependa maelezo ya Peter Msigwa BBC muda huu

alizungumza nini sasa? mbona ujumbe haujakamilika?

Alizungumzia ujangili watembo wetu unaofanywa na serikali ya ccm pamoja na kulindana kwao bungeni na nje ya bunge.
 
Msigwa namtabiria itakumtu muhimu sana kwenye siasa.
 
Miaka saba ijayo kinana atakuwa keshawamaliza tembo wetu kabisa.
 
Mpeni Nyalandu majina ya majangili. Nilimsikia akisema hatamwonea mtu haya kumtaja na kumchukulia hatua hata kama ni kiongozi!



aaa wapi huyo niliwahi muona tbc akikaguwa wamachinga wa kichina na kusema atawarudisha kwao toka mwaka juzi leo hii wanazidi kuongezeka
 
Mawaziri wa CCM ni majanga mfano Januari Makamba ameandika makala ya kiingereza kwa ustadi wa hali ya juu kusifia ki mtambo alicho muuzia JK aweze kuhutubia vizuri,
So sad.

Yaani yule ni empty suit. Anajisifu jinsi alivyomfundisha JK kutumia teleprompter, kama vile yeye ndiye aliyeivumbua (invent). Yaani, hizi ni moja ya mafanikio yake. Halafu kuna wajinga kwenye page yake wanampongeza na kumwomba agomee urais.
 
Kinana ni Jangiri lakn wanaumauma mambo jinsi ya kumfichia maovu. Kwa nn ile kesi hatuisikii?
 
Msigwa fahari kwa wapenda maendeleo, THE MAN IS ABLE, japo mafisadi wanapinga ila wanajua.
 
Mbona ccm ni wafunika kombe?
Hivi ccm pamoja na maovu yote haya yote wanayotufanyia hawa ccm mbona hawaogopi hata kidogo?
Vijana wenzangu naomba tuamke na tuzinduke kuwa ccm wana nia mbaya sana kwa taifa hili.
 
  • Thanks
Reactions: EAN
Msigwa kweli ni mwanasiasa mwenye utashi wa hali ya juu, jioni yaani muda huu amehojiwa na BBC na kuituhumu serikali ya ccm kuwa ndio majangili wa tembo wetu na pia kasema alivyowataja wanaojihusisha na biashara ya tembo bungeni baadhi ya mawaziri walisimama bungeni kuwatetea majangili hao badala yakuomba ushahidi kutoka kwake.

Ndo ivo wapo kulindana kwa sasa, ila majibu watayapata 2015 kwa upuuzi wanaoutetea bungeni
 
Kinana ni jangiri hili lipo wazi.
Shiiiiiiiiiiii! Wewe sasa unataka kumkumbusha nia yake ya kumburuza shujaa wetu mahakamani!
inaelekea sababu ya shughuli nyingi keshasahau lile kusudio!!
 
Mpeni Nyalandu majina ya majangili. Nilimsikia akisema hatamwonea mtu haya kumtaja na kumchukulia hatua hata kama ni kiongozi!


Mkuu Raia Fulani

Mjakazi anaweza shughulikia majumkum yalomshinda bwana wake?

Nyarandu ni mjakazi wa bwana wake kikwete hawezi kuwa na nguvu zaidi ya aliemteua.

hata hivyo nyarandu anaendeleza siasa za bwana wake za mipasho, ngonjera na ushairi-Maneno mengi bila vitendo
 
Hahaha Msigwa anakuambia "hakuna hata theory Moja ya uchumi inayosema ukiwa na uchumi mbovu ufanye
Maombi..... una consumers wengi but producers wachache then you have to produce"
 
Hii ndio tanzania,ccm ni hatari.
Kinana ni jangili.
Mwigulu ni muuaji.
Nape ni mropokaji.
Azan ni muuza madawa ya kulevya.
Lowasa ni fisadi wa kutisha.
Membe ni mnafiki na mtu wa visasi.
 
Back
Top Bottom