Nimependa maelezo ya Peter Msigwa BBC muda huu

Nimependa maelezo ya Peter Msigwa BBC muda huu

Yaani yule ni empty suit. Anajisifu jinsi alivyomfundisha JK kutumia teleprompter, kama vile yeye ndiye aliyeivumbua (invent). Yaani, hizi ni moja ya mafanikio yake. Halafu kuna wajinga kwenye page yake wanampongeza na kumwomba agomee urais.

Kwanini wasimpongeze! Wewe unadhani kuifundisha nazi koroma mpaka ikaelewa mchezo!
 
Msigwa ni kiboko cha Majangili ambao ni vigogo wa CCM, tumsupport kuokoa tembo wetu!
 
Mawaziri wa CCM ni majanga mfano Januari Makamba ameandika makala ya kiingereza kwa ustadi wa hali ya juu kusifia ki mtambo alicho muuzia JK aweze kuhutubia vizuri,
So sad.

Mbona sasa hicho kimtambo hakijamsaidia mhusika?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mpeni Nyalandu majina ya majangili. Nilimsikia akisema hatamwonea mtu haya kumtaja na kumchukulia hatua hata kama ni kiongozi! na lile gari lake lilo simamishwa huko singida na nyara za serikali alafu hakutowa taarifa yoyote?
 
Kikwete na serikali yake wanafaidika na biashara ya ujangili

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kikwete na serikali yake wanafaidika na biashara ya ujangili

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Hiyo nikweli mkuu kwasababu ingekuta hawafaidiki wangechukuliana hatua, sasa si unaona wanavyolindana mpaka bungeni?
 
Kuna watu siwaoni humu wakichangia hii hoja lakini wao wanachangia saana hoja ya kashfa kwa Cdm,Slaa,Mbowe lakini hapa hawaonekani,mbona hoja zenye maslahi kwa taifa wanakuwa kimya? Maovu yanayofanywa chini ya viongozi wa ccm wanakuwa na MAKENGEZA eti hawaoni akikosea kidoga wa Cdm wanakesha mtandaoni,why mnakuwa double standard?
Habariyamujini
Scramble
Chilisosi
Chris Lukosi aka mhehe
Mafilili
FaizaFoxy
Hammmmmmy-D
Ritz
Uncle Deo
 
Mpeni Nyalandu majina ya majangili. Nilimsikia akisema hatamwonea mtu haya kumtaja na kumchukulia hatua hata kama ni kiongozi!
majina gani zaidi ya aliowataja Mh.Msigwa bungeni?aanze na Kinana kama sio kujishaua tu!
 
Kwa kweli nimeona page yake ya facebook Msigwa ameanika tena kuwa kuna Mu-Australia kakamatwa na ivory na kamtaja Kinana ha ha haaaa
 
Msigwa kweli ni mwanasiasa mwenye utashi wa hali ya juu, jioni yaani muda huu amehojiwa na BBC na kuituhumu serikali ya ccm kuwa ndio majangili wa tembo wetu na pia kasema alivyowataja wanaojihusisha na biashara ya tembo bungeni baadhi ya mawaziri walisimama bungeni kuwatetea majangili hao badala yakuomba ushahidi kutoka kwake.

Mbona Msigwa sasa mtamfahamu. Amejizolea ujiko wa kutosha. Jana amefoka kweli BBC
 
Msigwa wewe ndo mkombozi wa tembo wetu.....Tunaomba Msigwa uwaokoe wanyama hawa wasio na hatia.....Amin
 
Msigwa yuko sahihi kabisa.
Ndiyo maana alipomtaja Bwana Kinana KATIBU MKUU CCM TAIFA kwamba ni mhusika mkuu katika biashara haramu ya PEMBE ZA NDOVU alizomewa na Wabunge wote wa CCM.

Lakini kichekesho kikaja pale Kinana alipomtishia Msigwa kuwa amwombe radhi vinginevo atamvuruta Mahakamani lakini mpaka leo kimyaaaaaaaaaaa! Ukweli unabaki palepale kwamba Kinana ni jangili na hawezi kwenda Mahakamani kwa hofu ya kuja kuumbuka!
 
KINANA Bariiiiiiiidi
9Xj8vl8A4MKjIwoAdxJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWASEQBIBJRAIhEFAAiEQWA6ARgwu 0bWEpIgAAAABJRU5ErkJggg==
 
Kuna watu siwaoni humu wakichangia hii hoja lakini wao wanachangia saana hoja ya kashfa kwa Cdm,Slaa,Mbowe lakini hapa hawaonekani,mbona hoja zenye maslahi kwa taifa wanakuwa kimya? Maovu yanayofanywa chini ya viongozi wa ccm wanakuwa na MAKENGEZA eti hawaoni akikosea kidoga wa Cdm wanakesha mtandaoni,why mnakuwa double standard?
Habariyamujini
Scramble
Chilisosi
Chris Lukosi aka mhehe
Mafilili
FaizaFoxy
Hammmmmmy-D
Ritz
Uncle Deo

hawa wote uliowataja ni wachumia tumbo.
 
Nilimsikia pia. Huo ndio uzuri wa mtu anaeongea kitu anachokijua.
 
Back
Top Bottom