Nimependa maelezo ya Peter Msigwa BBC muda huu

Nimependa maelezo ya Peter Msigwa BBC muda huu

mbuguni

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
576
Reaction score
151
Msigwa kweli ni mwanasiasa mwenye utashi wa hali ya juu, jioni yaani muda huu amehojiwa na BBC na kuituhumu serikali ya CCM kuwa ndio majangili wa tembo wetu na pia kasema alivyowataja wanaojihusisha na biashara ya tembo bungeni baadhi ya mawaziri walisimama bungeni kuwatetea majangili hao badala yakuomba ushahidi kutoka kwake.
 
Kinana ni jangiri hili lipo wazi.
 
Mawaziri wa CCM ni majanga mfano Januari Makamba ameandika makala ya kiingereza kwa ustadi wa hali ya juu kusifia ki mtambo alicho muuzia JK aweze kuhutubia vizuri,
So sad.
 
Hata wale waarabu wa kuuza mashuka na dogo prince mbona wote wanafanya biashara ya ujangiri kule Ifakara ya kuua tembo wetu na kusafirisha hzo pembe kwenda china.
 
Msigwa siasa yake naipenda kweli. Haogopi kumvua nguo mfalme na hawa watwana wa kiafrika wasivyopenda kuambiwa kwamba wako uchi, utasikia watakavyoanza kutishia nyau...
 
Mawaziri wa CCM ni majanga mfano Januari Makamba ameandika makala ya kiingereza kwa ustadi wa hali ya juu kusifia ki mtambo alicho muuzia JK aweze kuhutubia vizuri,
So sad.

Nikweli hawa mawaziri ni majanga kiukweli na ccm ni kikundi flani chakihuni.
Nawachukia sana hawa mafsadi wa raslimali zetu watanzania.
 
Ukitaka kujua Mch. Msigwa alivyo na uwezo wa hali ya juu, bofya kwenye you tube na andika Msigwa afyatuka bungeni, ndiyo utakubali kuwa huyu jamaa ana uwezo wa hali ya juu wa kujenga hoja. Kuhusu hilo la tembo sina uhakika ile kesi ya Mh. Kinana kumshitaki imefikia wapi.
 
ile kesi aliyofungua kinana dhidi ya Msigwa mbona haianzi?

Hajadhubutu kufungua ilikuwa ni maneno tu yakujisafisha na kujifariji kwa kinana na magamba wote.
 
Mpeni Nyalandu majina ya majangili. Nilimsikia akisema hatamwonea mtu haya kumtaja na kumchukulia hatua hata kama ni kiongozi!
 
Ukitaka kujua Mch. Msigwa alivyo na uwezo wa hali ya juu, bofya kwenye you tube na andika Msigwa afyatuka bungeni, ndiyo utakubali kuwa huyu jamaa ana uwezo wa hali ya juu wa kujenga hoja. Kuhusu hilo la tembo sina uhakika ile kesi ya Mh. Kinana kumshitaki imefikia wapi.

Nikweli nami nimetokea kumkubali huyu mchungaji sana.
 
Mpeni Nyalandu majina ya majangili. Nilimsikia akisema hatamwonea mtu haya kumtaja na kumchukulia hatua hata kama ni kiongozi!

Huyu keshamchukulia nani hatua mpaka sasa?
Waache matisho.
 
alizungumza nini sasa? mbona ujumbe haujakamilika?
 
Idd Azan mbunge ni muuzaji wa madawa ya kulevya hiyo iko wazi kabisa
 
Msigwa ni jembe wala hajatafuna maneno, Kinana harakisha hiyo kesi uchwara.ili kamanda atoe ushahidi...
 
Mpeni Nyalandu majina ya majangili. Nilimsikia akisema hatamwonea mtu haya kumtaja na kumchukulia hatua hata kama ni kiongozi!

KINANA,na ushahidi upo!kampuni zake kuhusika TALL na ASHRAF SHIPPING LINE,na wafanyakazi mzungu wamekamatwa na nyara hizo
 
Back
Top Bottom