Lakini sijamtusi yeyote katika Uzi huuUshamba unakusumbua hujatembea ukaona kumbe.
Wahaya wanajitambua, sana.
Wahaya akili kubwa na wachagaMakabila mengine hawajitambui???--- tusi hilo.
Wahaya akili kubwa na wachaga
Wahaya awajisifu wamesoma kweli.ماشاءالله.
Usisahau hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro:-
Wahaya---- Ukabila, maajivuno na majisifu.
Wachaga--- ubinafsi na Wizi.
Wahaya awajisifu wamesoma kweli.
Unajuaje ana ID zingine za zamani?Member since "2 hours ago"!
Ungekujana ID yako ya awali, au umepigwa life ban?
View attachment 1575249
Kwaiyo unatesekaMuhaya asome asisome majisifu ni kwa kwenda mbele.
Unajuaje ana ID zingine za zamani?
Binafsi naona Una wivu Sana.Ushamba unakusumbua hujatembea ukaona kumbe.
Lazima waje. luambo makiadiWachaga mnatafutwa huku...