Nimependa jinsi watu wa Bukoba wanavyojenga vijiji vyao

kisekenke

Member
Sep 20, 2020
6
25
Nimetembea Tz nzima but moja ya mikoa ambao nimeupenda Kwa mandhari na maendeleo yake ni kagera hasa vijiji vya Wahaya.

Asilimia kubwa ya hivi vijiji vya Bukoba vina majumba makubwa na ya kifahari, nyumba mbovu zimebaki chache sana na vijiji vingine zikiisha kabisa.

Hongereni sana watu wa Bukoba.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…