Nimepatikana kwa kahaba

baba mausingizi

Senior Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
189
Reaction score
120
Helo hapa jukwaani, hope mpo poa

Niingie moja kwa moja katika ishu mtego wangu umeshika chui Kuna mdada mmoja anafanya kazi saloon ya kiume scrub Yaani ni kicheche

Sana na namfahamu coz nilikuwa nakaa nae mtaa mmoja zamani, miezi miwili iliyopita nilikutana nae sehemu tunabadilishana namba sijui nn kilitokea nikajikuta natoka nae na nilijua napigaa nasepa ila nikajikuta narudia rudia sasa mchumba wangu amerudi maana alisafiri nataka kumuacha yule mchepuko, aisee najikuta siwezi kashaingia moyoni na anaomba nimuoe amechoka kutumika bila faida na anataka kutulia na mimi nabaki njia panda na mchumba wangu tulipanga mwakani mapema tufunge ndoa.

Je yule mchepuko anaweza kuwa mke? Au nioe yule mchumba angu? Mchepuko kanikolea najuta tanga bhana
 

Kama dini inaruhusu oa wote wawili
Halafu mbona upo macho baba mausingizi
 
 
Eti umekolea kwa kicheche akili unazo wewe, kwa taarifa yako huyo kicheche anatafuta ndoa sasa wewe muowe uone mziki wake ndani
 
chunguza tabia kwanza alf ndo uchukue uamuzi
 
Acha kuleta visingizio vya ajabu hapa. Kikubwa wewe sio mwaminifu na sio mambo ya OOO... tanga imeshuka imepanda
 
Duh, pole sana unakoelekea utakosa mwana na maji ya moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…