jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Ile Dhana ya watu kubishana huku ndani kwamba Ni Wapi kuna wanaume wa kweli Kati ya mikoa hii.
Wiki iliyopita nilifanya kautafiti kangu nikapata jibu.ilikua hivi Katika kazi yangu ya mizunguko, safari yangu iliishia dar jk nyerere airport.baada ya kuachana na wageni wangu mida ya saa Saba nikasema wacha niende kwa jamaa yangu tabata kimanga nikapige nae lunch maana ninasiku hatujaonana.
Tukaenda bar moja hivi tukakuta watu wakutosha tu na sisi tukaketi na mhudumu Akaja.basi Mimi nikatoa oda ya trupa au mchemsho wa kuku mzima na nusu wa kienyeji.kuna jirani yetu akahamaki mtamaliza? Na baadhi ya watu wakageuka kutuangalia eti kisa tuko wawili na oda tuliotoa Ni kubwa, basi namimi nikamjibu jamaa kwani hapa nikwakwo kana kwamba tunamaliza chakula cha watoto wako!jamaa akanywea gafla.
Basi nikamwambia rafiki yangu ndo maana hawa watu Wa dar wanavikimbia vitoto vya panyaroad sababu ya kutokula au sababu ya viepe.tangu Siku hiyo nimeamini wanaume Wa kweli na wasiojivunga Ni Arusha na mwanza tu.jaribu kuleta ujinga Arusha na mwanza utaitwa marehemu.Ni hayo tu
Wiki iliyopita nilifanya kautafiti kangu nikapata jibu.ilikua hivi Katika kazi yangu ya mizunguko, safari yangu iliishia dar jk nyerere airport.baada ya kuachana na wageni wangu mida ya saa Saba nikasema wacha niende kwa jamaa yangu tabata kimanga nikapige nae lunch maana ninasiku hatujaonana.
Tukaenda bar moja hivi tukakuta watu wakutosha tu na sisi tukaketi na mhudumu Akaja.basi Mimi nikatoa oda ya trupa au mchemsho wa kuku mzima na nusu wa kienyeji.kuna jirani yetu akahamaki mtamaliza? Na baadhi ya watu wakageuka kutuangalia eti kisa tuko wawili na oda tuliotoa Ni kubwa, basi namimi nikamjibu jamaa kwani hapa nikwakwo kana kwamba tunamaliza chakula cha watoto wako!jamaa akanywea gafla.
Basi nikamwambia rafiki yangu ndo maana hawa watu Wa dar wanavikimbia vitoto vya panyaroad sababu ya kutokula au sababu ya viepe.tangu Siku hiyo nimeamini wanaume Wa kweli na wasiojivunga Ni Arusha na mwanza tu.jaribu kuleta ujinga Arusha na mwanza utaitwa marehemu.Ni hayo tu