Nimepata ugonjwa gani huu? Msaada tafadhali

Nimepata ugonjwa gani huu? Msaada tafadhali

fbytel0000

Senior Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
106
Reaction score
74
Habari za majukumu ndugu zangu.

Naomba msaada wa kimawazo, ushauri na hata tiba ya hili linalonitatiza. Ni Kama wiki sasa naona kuna mabadiliko kwenye sehemu ya ngozi ya uume wangu, seheme ya uume inababuka(ni kama mapunye hivi) japo hakuna maumivu wala muwasho wowote.

Nina miezi miwili toka nishiriki ngono zembe(unprotected sex) naomba ushauri wenu wandugu.

Asante.
 
Habari za majukumu ndugu zangu. Naomba msaada wa kimawazo, ushauri na hata tiba ya hili linalonitatiza. Ni Kama wiki sasa naona kuna mabadiliko kwenye sehemu ya ngozi ya uume wangu, seheme ya uume inababuka(ni kama mapunye hivi) japo hakuna maumivu wala muwasho wowote. Nina miezi miwili toka nishiriki ngono zembe(unprotected sex) naomba ushauri wenu wandugu... asante.
Kavu kavu FC.
 
Once huko nyuma niliamka tu asubuhi naona kuna dizaini ya punye dizain ya kiduara isiyokuwa na maumivu, besides nilikuwa sijashiriki zembe. Dokta alinipa dawa ya kupaka vilipotea ingawa kalibaki ka scar fulani keusi overtime kalipotea. Kalikuwa kwenye kichwa kabisa pale
 
Nenda hospitali ndugu, hakuna daktari wa ovyo kama wa mitandaoni. Huku unaweza hata ambiwa una saratani (Mungu akunusuru).

Ila tukumbukeni kinga walimwengu. Hawa viumbe wamedhamiria kuimarisha nyuchi zao used zionekane mpya kiasi cha kuwekwa vipipi mpaka magome ya miti mixer viungo vya pilau na madhara tunayapata sisi, hapo achilia mbali makaswende na UTI sugu. Sio kila kinga'aacho ni dhahabu, wengine ni mitambo ya magonjwa.
 
Habari za majukumu ndugu zangu.

Naomba msaada wa kimawazo, ushauri na hata tiba ya hili linalonitatiza. Ni Kama wiki sasa naona kuna mabadiliko kwenye sehemu ya ngozi ya uume wangu...
Ulipo hakuna Hospital ya karibu?
 
Wenzako huko wanaweka picha ila wewe unajifanya kusimamia ile kauli "mficha uchi... yatamuumbua"

Angalia hii picha hapa chini.
IMG_20230112_225622_983.jpg
 
Back
Top Bottom