Ubuntuwize
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 312
- 93
- Thread starter
- #61
Aisee inauma sana mkuu...Yani mie nyuma ndogo??Duh kwa hio wewe ni nyumba ndogo kwa huyo mwanamke
Aisee inauma sana mkuu...Yani mie nyuma ndogo??Duh kwa hio wewe ni nyumba ndogo kwa huyo mwanamke
Dadavua kidogo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe wanaume design hii bado mnaexist!!!??
Sijaelewa mkuu nimfanye nini?[emoji23][emoji23] endelea tu kumn'gan'gania..unachokitafuta utakipata
Anadai amekaa na mshikaji miaka 5 sijui kama itakua rahisi kumng'oa kwa jamaaHa ha ha ha ha ha.........!
Shukuru kwa kupata manzi muuuwazi alikueleza ukweli na ukakubaliana nayo.
Be romantic, caring and respect her and 100% you will win her
Sasa atakua anampenda na ameacha kumzinguaAliniambia anamshkaji ambae hampendi pia anamzingua tu
Aisee So nimfukuze kwangu na nianze kazi ya kuwinda upya?Na wewe tafuta wako.
Aisee inauma sana mkuu...Yani mie nyuma ndogo??
Usimfukuze mtafutie tu kirusha roho hakika atakaa kwenye mstari.Aisee So nimfukuze kwangu na nianze kazi ya kuwinda upya?
M
Mkuu unanipa mori niamshe kama mmasai
Duh mzee baba umeuaHapo hakuna shida provided hajaolewa sasa basi, wewe,huyo demu na mshikaji wake wote ni wafuska tu..so endeleeni na ufuska wenu
Mkuu nimekuelewa sana..Ahsante kwa hili dini nililopatahapo cha kufanya endelea kupiga huku unatafuta wife material mwingine zen mwambie unataka kuoa lakn yeye ataolewa na huyo fala wake anaempelekeaga kila likizo tofauti na hapo eti ukomaenae utapigiwa sana
Yani mkuu utafikiri huwa unakuwepo gheto..Ila siku hizi anatoka nje kuongeaKwahiyo bwanake akimpigia simu anakwambia shhhhhh nyamaza babe anapiga ....... hahahahahaha!!
Mkuu hii Story naona kama inanihusu na mimi piaNakumbuka niliwahi kuwa kwenye uhusiano wa namna hii halafu nikawa nimezama head over heels kwa mwanadada. Sio siri alikuwa mzuri sana na mtamu kwa sijapata ona toka nimebalehe. Inshort tulipendana sana maana wote tulikuwa tunapitia kipindi kigumu na wapenz wetu.
Nikafikia stage nikawa nakomaa ili tuwe pamoja mazima maana nilianza kuboreka jamaa anapompigia simu tupo katikati ya mchezo.Mara anamtaka aende waonane argh!!!
Kilichokuja kutokea manzi akawa mzito sana kufanya maamuzi maana alishawekaga spiritual vows na jamaa yake kuwa wataoana and shit na uhusiano wao ulishafika 7 years by that time. Kila nikimwambia ananiambia nimpe time.
Huku nako mpenzi wangu akawa anataka tu makeup maana alinizingua nikam bullshit. Anililia kila siku yani ananifata hadi nyumbani yani ikawa kero. Nikaanza ingia imani nimsamehe tu ama vipi nikawa niko dillema sasa. Rebound wangu nae hanipi jibu kuwa ameamua tuwaache wapenzi wetu wanaozingua tuwe wote kwa amani na furaha.
Mwishowe nikafanya maamuzi magumu tu...ilikuwa sio mchezo yani!
Mkuu huko kwao na mshkaji huishi hukohuko. sasa anaaga anaenda kwao ila atakutana na mshkaji kwa hiyo nisipige simu mpaka anipigieUna moyo....
Mahaba niue...yaan anakuaga kabisa anaenda kwa mwenzio...ndio kwaaanzaaa unazidisha kumpenda...ha ha haaaa
Hahahaha hebu nielekezee kidogo ilikuwajeMkuu hii Story naona kama inanihusu na mimi pia
Mkuu kumbe na Mimi nina point hatari hahahhaa cio kwa credits izo unazonipaMkuu nimekuelewa sana..Ahsante kwa hili dini nililopata