Nimepata msichana mwenye mwanaume mwingine

Nimepata msichana mwenye mwanaume mwingine

madogo formula ya kumu handle mwanamke ni ndogo sana...sasa cha kufanya hapo tafuta mwanamke mwingine ambaye nae awe back up yako na huyo mwanamke wako wa saivi ambaye ana jamaa ake hakikisha anajua,upo kwenye loser side embu toka huko.....kama akiona fair ujue hupendwi na kama aki mind sasa ndo mnaingia mezani kupatana.....Man up mzee
 
Huyo dada namwonea huruma kila ukuni wa mwanaume unapachikwa tuu... Sipatii picha iyo k ilivoo
 
Japo moyo ulikataa, ila niliamua kushirikisha akili zaidi...Niliamua kumuacha rebound wangu huyo japo alikuwa mzuri na mtamu kuliko demu wangu aisee nkaamua nimrudishe demu wangu kwenye track. Japo mi ndio nilifanya maamuzi kuwa namuacha huyo mamnzi ila nililia kinoma that night maana nilijua ntamuumiza sana yukogo so emotional.

Alikuwa so romantic and heartful na sio mchoyo pesa alikuwa nayo ila niliwaza sana sasa hata kama nikisema mi ndio nijicommit kwake vipi kama wataelewana na jamaa yake mbeleni? Ina maana ndio ntaendelea teseka penzini. Nikaona bora niwe na wangu tu exclusive ambae nna sauti nae 100%

Too bad alikujaga kuachana na jamaa yake baada ya miezi kadhaa kupita. Ila ndio tulikuwa tusha break up akawa amenichukia sana kwa kuwa nilimuacha kipindi kibaya asichotegemea. Tukaendelea na urafiki baada ya hasira zake kupoa ila hatuonanagi tena siku hizi.
Midume ya sikuhizi inaboa sana. Yaani unajiskiaje una dem papuchi yake kuna mtu anaila na unajua hahahaha. Ndo maana saudi arabia marufuku dem kutoka nje ya nyumba bila ndugu wa kiume. Hv unawezaje kuoa mwanamke unajua kabisa anayemgonga?
 
Midume ya sikuhizi inaboa sana. Yaani unajiskiaje una dem papuchi yake kuna mtu anaila na unajua hahahaha. Ndo maana saudi arabia marufuku dem kutoka nje ya nyumba bila ndugu wa kiume. Hv unawezaje kuoa mwanamke unajua kabisa anayemgonga?

Inaboa saaana ..... ndo maana kuna wengine tunashindwa kuwa na mtu asie mbabe ! Raha ya mwanamme uutambue uwepo wake sio kila utakachosema linaitikia tuuu.
 
Midume ya sikuhizi inaboa sana. Yaani unajiskiaje una dem papuchi yake kuna mtu anaila na unajua hahahaha. Ndo maana saudi arabia marufuku dem kutoka nje ya nyumba bila ndugu wa kiume. Hv unawezaje kuoa mwanamke unajua kabisa anayemgonga?

Wote mkiwa na wapenzi wenu mains pembeni mbona haina kwere. Inakuwa win win...mnakazana ila kila mmoja akihitajika kwake anaenda! Mkipata nafasi mnaendelea kukazana halafu freshi tu.

Mbaya uwe unamuwania huyo mpenzi unaechepuka nae hapo lazma moto uwake. Hamna mtu atakaekubali kuwa katika loosing side. Lazma ujihakikishie territory yako ipo safe kwa huyo mwanamke na the only way ni kuforce amuache jamaa ake kama hataki apite hivi!
 
Inaboa saaana ..... ndo maana kuna wengine tunashindwa kuwa na mtu asie mbabe ! Raha ya mwanamme uutambue uwepo wake sio kila utakachosema linaitikia tuuu.
Njoo kwangu, utafurahia yani. Amna ruhusa ya kufanya upumbavu na ukizingua utaipenda.
 
Khaaa sasa kwenye ruhusa inategemea na hamna kichapo
We unataka ruhusa ya kufanya nini bibie maana kuna vingine sitakuruhusu kichapo itategemea na level ya adabu yako na matumizi mazuri ya kauli.
 
fatilia mawasiliano yake utagundua mapungufu ya mchiz (advantage) pili weka mbali saaana kitu kinaitwa gubu, uwe una mgegeda kama huji kumgegeda tena hakika itapendeza na atakuwa wa kwako
 
Ha ha ha ha ha ha.........!
Shukuru kwa kupata manzi muuuwazi alikueleza ukweli na ukakubaliana nayo.

Be romantic, caring and respect her and 100% you will win her
 
M
Bwege kweli ..... yaani unaishi nyumba moja na mwanamke afu anakipeleka kwa mwanamme mwingine ? Mwambie aachane na bwana ake inshort kinukishee
Mkuu unanipa mori niamshe kama mmasai
 
Back
Top Bottom