Nimepata msichana mwenye mwanaume mwingine

Nimepata msichana mwenye mwanaume mwingine

Ushauri wa kibabe, mwizi anakuwa mbabe mbele ya mwenye Mali

Hahahahaha ukitaka cha uvunguni shalti uiname, msela kaomba mzigo kapewa lakini kapewa kabisa namachaguo kuwa ana mpenzi wake na anampenda kwa hiyo kama anataka awe spare tairi aunge tela na yeye kaunga hakuna lawama hapo hahahahahahaha
Hahaha hio kiboko, sema hamnaga awali mbovu siku zote...

Jamaa alieanza na mwanamke ndio ana nguvu zaidi siku zote. Akiamua kukufanyia usngese utajuata maana unaweza hisi umemkomoa kwa kumnyang'anya demu ila ana ufunguo wa akili ya mwanamke tayari. Mtajikuta mnaenda sawa kwenye kum mbato manzi na pengine atamtia mimba kabisa kisha wewe ulee mtoto.
 
Ushauri wa kibabe, mwizi anakuwa mbabe mbele ya mwenye Mali

Hahahahaha ukitaka cha uvunguni shalti uiname, msela kaomba mzigo kapewa lakini kapewa kabisa namachaguo kuwa ana mpenzi wake na anampenda kwa hiyo kama anataka awe spare tairi aunge tela na yeye kaunga hakuna lawama hapo hahahahahahaha

Huyo bwanake wenyew hajamuoa..... ingekuwa kupewa mzigo wangepiga siku moja afu kila mtu 50 zake , sasa hao wanaishi pamoja means wanavi elements vya mapenz mapenzi kwa hiyo hapo ni jukum la kijana kumkazia huyo dada otherwise waachane
Mwanamme utamtunzaje( kumshirisha,mavazi,makazi) mdada tena ndani kwako afu likizo anakipeleka kwingine !!
 
Hahaha hio kiboko, sema hamnaga awali mbovu siku zote...

Jamaa alieanza na mwanamke ndio ana nguvu zaidi siku zote. Akiamua kukufanyia usngese utajuata maana unaweza hisi umemkomoa kwa kumnyang'anya demu ila ana ufunguo wa akili ya mwanamke tayari. Mtajikuta mnaenda sawa kwenye kum mbato manzi na pengine atamtia mimba kabisa kisha wewe ulee mtoto.
Hahahahaha kabisa mkuu, hapo naunga mkono hoja ya kuwa awali ni awali tu hakuna awali mbovu hapo ni mwendo wa kushare tu.

Watakuwa wanatwanga kwa kupokezana kwenye kinu kimoja michi miwili.
 
Ila kuna wanaume jasiri sana!! Kiufupi humpendi unamtumia tuu, na yeye ankutumia. Kwa hiyo mnatumiana!!
Nakumbuka niliwahi kuwa kwenye uhusiano wa namna hii halafu nikawa nimezama head over heels kwa mwanadada. Sio siri alikuwa mzuri sana na mtamu kwa sijapata ona toka nimebalehe. Inshort tulipendana sana maana wote tulikuwa tunapitia kipindi kigumu na wapenz wetu.

Nikafikia stage nikawa nakomaa ili tuwe pamoja mazima maana nilianza kuboreka jamaa anapompigia simu tupo katikati ya mchezo.Mara anamtaka aende waonane argh!!!
Kilichokuja kutokea manzi akawa mzito sana kufanya maamuzi maana alishawekaga spiritual vows na jamaa yake kuwa wataoana and shit na uhusiano wao ulishafika 7 years by that time. Kila nikimwambia ananiambia nimpe time.

Huku nako mpenzi wangu akawa anataka tu makeup maana alinizingua nikam bullshit. Anililia kila siku yani ananifata hadi nyumbani yani ikawa kero. Nikaanza ingia imani nimsamehe tu ama vipi nikawa niko dillema sasa. Rebound wangu nae hanipi jibu kuwa ameamua tuwaache wapenzi wetu wanaozingua tuwe wote kwa amani na furaha.

Mwishowe nikafanya maamuzi magumu tu...ilikuwa sio mchezo yani!
 
Huyo bwanake wenyew hajamuoa..... ingekuwa kupewa mzigo wangepiga siku moja afu kila mtu 50 zake , sasa hao wanaishi pamoja means wanavi elements vya mapenz mapenzi kwa hiyo hapo ni jukum la kijana kumkazia huyo dada otherwise waachane
Mwanamme utamtunzaje( kumshirisha,mavazi,makazi) mdada tena ndani kwako afu likizo anakipeleka kwingine !!
Kweli mkuu lakini hapo aanze taratibu kumkazia kozi anampenda na kashaambiwa ana mtu wake so inawezekana akamkazia demu akasepa zake na kuendelea na Maisha yake huku kijana akibaki kuteseka na moyo wake.
 
Hahahahahahahahaa, mkuu kwenye Maisha watu kuna changamototo aisee, haya maamuzi yapi hayo magumu uliyoyachukua??
Japo moyo ulikataa, ila niliamua kushirikisha akili zaidi...Niliamua kumuacha rebound wangu huyo japo alikuwa mzuri na mtamu kuliko demu wangu aisee nkaamua nimrudishe demu wangu kwenye track. Japo mi ndio nilifanya maamuzi kuwa namuacha huyo mamnzi ila nililia kinoma that night maana nilijua ntamuumiza sana yukogo so emotional.

Alikuwa so romantic and heartful na sio mchoyo pesa alikuwa nayo ila niliwaza sana sasa hata kama nikisema mi ndio nijicommit kwake vipi kama wataelewana na jamaa yake mbeleni? Ina maana ndio ntaendelea teseka penzini. Nikaona bora niwe na wangu tu exclusive ambae nna sauti nae 100%

Too bad alikujaga kuachana na jamaa yake baada ya miezi kadhaa kupita. Ila ndio tulikuwa tusha break up akawa amenichukia sana kwa kuwa nilimuacha kipindi kibaya asichotegemea. Tukaendelea na urafiki baada ya hasira zake kupoa ila hatuonanagi tena siku hizi.
 
Japo moyo ulikataa, ila niliamua kushirikisha akili zaidi...Niliamua kumuacha rebound wangu huyo japo alikuwa mzuri na mtamu kuliko demu wangu aisee nkaamua nimrudishe demu wangu kwenye track. Japo mi ndio nilifanya maamuzi kuwa namuacha huyo mamnzi ila nililia kinoma that night maana nilijua ntamuumiza sana yukogo so emotional.

Alikuwa so romantic and heartful na sio mchoyo pesa alikuwa nayo ila niliwaza sana sasa hata kama nikisema mi ndio nijicommit kwake vipi kama wataelewana na jamaa yake mbeleni? Ina maana ndio ntaendelea teseka penzini. Nikaona bora niwe na wangu tu exclusive ambae nna sauti nae 100%

Too bad alikujaga kuachana na jamaa yake baada ya miezi kadhaa kupita. Ila ndio tulikuwa tusha break up akawa amenichukia sana kwa kuwa nilimuacha kipindi kibaya asichotegemea. Tukaendelea na urafiki baada ya hasira zake kupoa ila hatuonanagi tena siku hizi.
Ulifanya maamuzi sahihi kabisa mkuu tena maamuzi ya kiume
 
Ina maana unataka kusema unaishi na mwanamke nyumba moja then bwana mwingine anampigia simu anaongea mbele yako halafu unacheekelea tu?
 
Nakumbuka niliwahi kuwa kwenye uhusiano wa namna hii halafu nikawa nimezama head over heels kwa mwanadada. Sio siri alikuwa mzuri sana na mtamu kwa sijapata ona toka nimebalehe. Inshort tulipendana sana maana wote tulikuwa tunapitia kipindi kigumu na wapenz wetu.

Nikafikia stage nikawa nakomaa ili tuwe pamoja mazima maana nilianza kuboreka jamaa anapompigia simu tupo katikati ya mchezo.Mara anamtaka aende waonane argh!!!
Kilichokuja kutokea manzi akawa mzito sana kufanya maamuzi maana alishawekaga spiritual vows na jamaa yake kuwa wataoana and shit na uhusiano wao ulishafika 7 years by that time. Kila nikimwambia ananiambia nimpe time.

Huku nako mpenzi wangu akawa anataka tu makeup maana alinizingua nikam bullshit. Anililia kila siku yani ananifata hadi nyumbani yani ikawa kero. Nikaanza ingia imani nimsamehe tu ama vipi nikawa niko dillema sasa. Rebound wangu nae hanipi jibu kuwa ameamua tuwaache wapenzi wetu wanaozingua tuwe wote kwa amani na furaha.

Mwishowe nikafanya maamuzi magumu tu...ilikuwa sio mchezo yani!
Hayo maamuzi yalikuwa ni yapi mkuu
 
Una moyo....

Mahaba niue...yaan anakuaga kabisa anaenda kwa mwenzio...ndio kwaaanzaaa unazidisha kumpenda...ha ha haaaa
 
Back
Top Bottom