The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,071 Sep 15, 2011 #23 Pole Sana Mkuu, May His Soul Rest In Peace
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,196 Sep 15, 2011 #24 Pole sana ndugu,yeye alitoa na ametwaa jina lake litukuzwe ameen,mwenyez mungu akutie nguvu kwenye kipind hiki kigumu.
Pole sana ndugu,yeye alitoa na ametwaa jina lake litukuzwe ameen,mwenyez mungu akutie nguvu kwenye kipind hiki kigumu.
P punainen-red JF-Expert Member Nov 18, 2010 1,731 450 Sep 15, 2011 #25 Pole. Mungu Aliye hai akudhihirishie pendo lake kwako wakati huu wa majonzi.
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Sep 15, 2011 #26 Pole sana tete, mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema.
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Sep 15, 2011 #27 ndugu yangu kazi ya Mungu haina makosa,be strong katika kipindi hiki na usilaumu maana yote ni matakwa yake.RIP mzee wako.
ndugu yangu kazi ya Mungu haina makosa,be strong katika kipindi hiki na usilaumu maana yote ni matakwa yake.RIP mzee wako.