Nimepata msiba wa baba yangu mdogo...

Pole sana ndugu,yeye alitoa na ametwaa jina lake litukuzwe ameen,mwenyez mungu akutie nguvu kwenye kipind hiki kigumu.
 
ndugu yangu kazi ya Mungu haina makosa,be strong katika kipindi hiki na usilaumu maana yote ni matakwa yake.RIP mzee wako.
 
Back
Top Bottom