Nimepata mpenzi Jf

Naomba kukuuliza..

Umeshamfungulia dunia tayari?
Kama bado aisee hizo sifa ulizomwaga hapo juu zi pause kwanza maaana asije kuuliza wauzaji wa ile dawa maarufu kwa wanaume #Al kasus# migongo ni tatizo!
Hahahahahahahahhahahahahahahaha
mbavu zinauma kucheka, dah sijui na sina cha kujibu
 
Mi nilikuwa napenda kufatilia ya take me out mzansi
It was take me out SA...Joe sijui yupo wapi.

Bado mie huwa najikumbushia Youtube utakubaliana na mimi Wa South Africa ni wazuri saana na wametuzidi kila kitu ukiangalia ile show ilivyokuwa inaandeshwa utawapenda.

Nilijifunza mengi kuhusu wanawake kupitia show za namna hiyo.
 
"asante kwa kuniona katikati ya wengi, asante kwa upendo unaonipa, Nakuahidi heshima na unyenyekevu, nitakuwa faraja yako wakati wa majonzi, Msaidizi wako wakati wote, Aibu yako itakuwa aibu yangu, shida yako shida yangu, nitakuwa mshauri asiyechoka, Nitakuwa heri kwako siku zote za maisha yetu, Asante kwa kunipenda"

He must be smiling while reading this, Lovely
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…