Nimepata mdhamini wa kunisomesha Mastars chuo USA, naomba kujuzwa kuhusu...

Myahudi Jr II

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
6,703
8,481
Nilihitimu masomo ya shahada 2014, MUNGU saidia nimepata mdhamini wa masomo ya mastars USA ila nimeanza application za hicho chuo ila naomba nisaidiwe kujuzwa haya ka req za chuo husika

1. GRE: chuo kimesema ni lazima niwe na GRE ila wao wanataka 144 scores katika quantity part(MATH), with no minimum req'ments katika verbal part and analytical part,nmbushe akili nimejaribu kugugo izo math ni BALAA kwa kweli nimesahau mengi, je? hakuna namna yyte ya tuition za hii math pepa angalau nikumbushe akili maana math hainipigi chenga sana. hizo part 2 hata nikipata 0 chuo haiziitaji.
a) Tanzania niende wapi nikawaone
b) Kuna uwezekano wa kujisomea nikawin izo 144 scores kwa wenye uzoefu wa izo test
c) Gharama zake zinakwendaje (n.b; sijui chochote kile msinishangae)

2. TOEFL; chuo kimesema toefl si lazima sana ila kama sijafanya nitaenda kufanya kwao huko huko nikifika, hii nimethibitisha kwa kupiga simu chuoni kabisa wakaniambia hivo, ila GRE lazima nifanye huku huku wakanambia kila nchi ina vituo vya mitihani hiyo. sasa inawezekana kutofanya TOEFL KWELI? kinachonipa mshaka ni ubalozini wanaweza wakasema huna toefli, HILI LIMEKAAJE WAKUU?

3. Application fees wamenambia nalipia kwa credit card ambayo ni dola 70, hii ndo sijui pa kuanzia kabisa (niwe mkweli tu hapa)

4. Ni aina gani ya visa natakiwa nijaze maana application ya chuo imeniletea visa za aina 2, (J1 o F1)

Application deadline ni nov 1 ambayo semista inaanza spring season(mwezi wa 2 mwakani)
 
kaka umelamba dume.. elimu ya juu bora duniani ipo usa... si unaona chenge anavyotunyanyasaaaa..

sio lazima havard ata unuversity of Pennsylvania aliposoma trump.. panatosha kuisumbua dunia
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Nilihitimu masomo ya shahada 2014, MUNGU saidia nimepata mdhamini wa masomo ya mastars USA ila nimeanza application za hicho chuo ila naomba nisaidiwe kujuzwa haya ka req za chuo husika

1. GRE: chuo kimesema ni lazima niwe na GRE ila wao wanataka 144 scores katika quantity part(MATH), with no minimum req'ments katika verbal part and analytical part,nmbushe akili nimejaribu kugugo izo math ni BALAA kwa kweli nimesahau mengi, je? hakuna namna yyte ya tuition za hii math pepa angalau nikumbushe akili maana math hainipigi chenga sana. hizo part 2 hata nikipata 0 chuo haiziitaji.
a) Tanzania niende wapi nikawaone
b) Kuna uwezekano wa kujisomea nikawin izo 144 scores kwa wenye uzoefu wa izo test
c) Gharama zake zinakwendaje (n.b; sijui chochote kile msinishangae)

2. TOEFL; chuo kimesema toefl si lazima sana ila kama sijafanya nitaenda kufanya kwao huko huko nikifika, hii nimethibitisha kwa kupiga simu chuoni kabisa wakaniambia hivo, ila GRE lazima nifanye huku huku wakanambia kila nchi ina vituo vya mitihani hiyo. sasa inawezekana kutofanya TOEFL KWELI? kinachonipa mshaka ni ubalozini wanaweza wakasema huna toefli, HILI LIMEKAAJE WAKUU?

3. Application fees wamenambia nalipia kwa credit card ambayo ni dola 70, hii ndo sijui pa kuanzia kabisa (niwe mkweli tu hapa)

4. Ni aina gani ya visa natakiwa nijaze maana application ya chuo imeniletea visa za aina 2, (J1 o F1)

Application deadline ni nov 1 ambayo semista inaanza spring season(mwezi wa 2 mwakani)

Kwa Tanzania hii test unaweza kuifanyia sehemu hizi:

Test Center Name/ Address
ITTS Dar es Salaam A - MNMA--STN14150A

Test Dates
Sunday, September 18, 2016

Availability
Seats available

Test Center Name/ Address
THE MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY

Test Dates
Sunday, October 02, 2016

Availability
Seats available

Kuna na sehemu nyingine lakini nimeangalia wameandika nafasi zimejaa. Angalia kwenye hii link: GRE General Test: Find Your Format
Ukifungua hiyo link basi unajisajili na uanweza kuji-register online.

Kuhusu namna ya kuweza kufanya mazoezi nakushauri u-google ''GRE PREPARATION ONLINE'' na utakutana na sites nyingi zinatoa mazoezi, ila nadhani unalipa. Vilevile jaribu kwenda youtube u-search hayo hayo maneno utakutana na maelezo mengi. Na mwisho kama una utaalamu basi tumia torrent ku-download mfano ya test. Kwa kifupi shughuli yako inahitaji internet kwa asilimia kubwa!"
 
kaka umelamba dume.. elimu ya juu bora duniani ipo usa... si unaona chenge anavyotunyanyasaaaa..

sio lazima havard ata unuversity of Pennsylvania aliposoma trump.. panatosha kuisumbua dunia

hivo vigezo ndugu yangu naomba msaada wa kujua pa kuanzia, upele humpata asie na kucha
 
Kwa Tanzania hii test unaweza kuifanyia sehemu hizi:

Test Center Name/ Address
ITTS Dar es Salaam A - MNMA--STN14150A

Test Dates
Sunday, September 18, 2016

Availability
Seats available

Test Center Name/ Address
THE MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY

Test Dates
Sunday, October 02, 2016

Availability
Seats available

Kuna na sehemu nyingine lakini nimeangalia wameandika nafasi zimejaa. Angalia kwenye hii link: GRE General Test: Find Your Format
Ukifungua hiyo link basi unajisajili na uanweza kuji-register online.

Kuhusu namna ya kuweza kufanya mazoezi nakushauri u-google ''GRE PREPARATION ONLINE'' na utakutana na sites nyingi zinatoa mazoezi, ila nadhani unalipa. Vilevile jaribu kwenda youtube u-search hayo hayo maneno utakutana na maelezo mengi. Na mwisho kama una utaalamu basi tumia torrent ku-download mfano ya test. Kwa kifupi shughuli yako inahitaji internet kwa asilimia kubwa!"


barikiwa sana kijana, nimepata majibu ya swali 1 tayari bado hayo mengine naimani nitapata
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Hongera kufikia hapo ulipo endelea kukazana, kama una ndoto za kugusa nje ukikazana utapagusa tu siku moja. Huyo sponsor ni mtu ambaye mnafahamiana kabisa, au institution ambayo iko clearly established inabidi uwe makini kama ni random people from the internet unaweza ukaumia, kuna scammers wengi sana online na wengine wanakuja na documents hutoamini kama ni fake.

Kuhusu mtihani wa GRE sina uhakika hapo so siwezi kujibu, watu wote naofahamu mimi hiyo haikua requirement na walipata admission, naweza kujibu tu kuhusu TOEFL kua sio lazima kwa vyuo vyote US, ingekua Ivy-league schools then requirements zote muhimu, ila college za hapa na pale u can do just fine bila TOEFL, Tanzania english ni official language tunayotumia kuanzia middle school, vyuo vingi wanaelewa hilo.

Kuhusu application kulipia kwa credit card, nenda kwenye bank yako yoyote waambie waruhusu card yako kufanya online transactions kama ni Visa au Mastercard, kama sio basi wakupe inayokubali online transactions, unaingiza tu hizo namba online kwenye hiyo site ya chuo hela inakatwa. Once again kua sana makini, kuna watu wanajifanya wana vyuo na wanatoa ahadi ya scholarship, wanakupa emails fake, website wanakuredirect ile ya chuo wewe unadanganyika, mwisho wa siku wanakupa link ya kuapply wao wenyewe unaweka credit card yako pale wanakomba hela zako zote ulizonazo.
Kwa hiyo uwe na uhakika hauweki credit card sehemu ambazo huna uhakika nazo 100%, utalizwa vibaya mno.

Kuhusu aina ya Visa kwa nini unasumbukia hilo sasa hivi? Subiri upewe admission na uprove kua u have sponsorship ndipo uende kuchukua Visa, watakuomba vyote hivi kwenye application kwa hiyo usidhani utaenda kuapply for visa huku unasubiri matokeo, there's no way watakupa visa bila admission.
 
Bila kumumunya GRE ni mitiani migumu lazima uwe vizuri kichwani but nenda Google uangalie sample yake kwenye hesabu jitahidi hile ya O level knowledge locig reasoning na application unaweza kujibu maswali ya hesabu ukipimwa huko kingereza ujue reading speaking and writing gramaticaly na uwe na vocabulary zakutosha.
 
Kwenye malipo.
Kwanza unayo account bank?
Au wamekupa code za kulipia western union?

Kama una account bank yenye service ya visa au master card (angalia card yako ya bank) kama ipo nenda bank kawaambie wa activate international transactions then hapo watakupa njia na namna ya kutuma pesa abroad from your bank account.
 
mkuu uliyedokezea kuhusu matapeli ya mtandaoni umegusa penyewe,unaweza kutapeliwa fedha zako au wakaiba vitambulisho vyako kufanya uhalifu,kuwa makini,tafuta rafiki zako au hata hapa jamii forums unaweza ukaongea na kina Nyani Ngabu wakakuchunguzia hiko chuo credibility yake,na jinsi ya kujiunga
 
barikiwa sana kijana, nimepata majibu ya swali 1 tayari bado hayo mengine naimani nitapata
Halafu sidhani kama kuna uwezekano wa kuwahi semester ya mwaka ujao kama ulivyosema kwani mpaka uje ujitayarishe na ufanye mtihani, upate matokeo na ku-apply visa unaweza kuchelewa. Labda jaribu kufanyia mtihani sehemu kama Kenya ambako kuna vituo vingi na mitihani kila mara. Ukiingia website yao ya www.gre.org utakuta maelezo mengi na vituo vyenye mitihani kwa siku za karibuni. MUHIMU SANA: Kama walivyosema wengine, kuwa makini sana sana na matapeli. Unaweza ukawa unawasiliana na matapeli na wakakomba fedha na muda wako na usiambulie kitu!
 
Back
Top Bottom