Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Jana nyumbani TULIKUWA na family reunion, katika ongeaongea za hapa na pale tukamwuliza mdogowetu wa Miaka 39 anaolewa lini?
Mdogowetu: ah me bwana naona nizae Tu maana wanaume naowapata wote mapicha na masinema Sana Tu
Wadada: haya safari hii umempata Nani?
Mdogowetu: kuna mchaga mmoja ananisumbua kweli mwezi wa 6 sasa namkataa
Wadada: Huyo mchaga ana Umri gani?
Mdogowetu: Miaka 45
Wadada: mume WA mtu au mjane?!
Mdogowetu: hajaoa Ila ana mtoto mmoja
Wadada: sasa shida nene?!
Mdogowetu: bwana Kwan nyie shida ya wanaume WA kichaga hamuijui??
Wadada: hapana embu tuambie
Mdogowetu: sijui kuhusu wachaga wengine Ila wachaga wengi nimekutana NAO hawapo vizuri kitandani
Wadada: tenaaa?! Kwan ushazini nae?!
Mdogowetu: wala sihitaji, nilishawahi kuwa NAO huko nyuma wakanisumbua Tu nikaondoka na nyege zangu sirudii tena, sasa nawaza huyu bwana kama atanioa maisha ndo yatakuwa hayo hayo au?!
Wadada: maisha gani??
Mdogowetu: ya kitandani?? Yani siwafichi wachaga kitandani hawajui kitu, wao bao moja Tu kalala akijiongeza la 2, sasa Mimi halfcast nishazoea sarakasi na movement kibao kitandani naona nitamtesa bure.
Ndio wachaga wanajua kutunza MKE na watoto lakini kitandani bwana NI sifuri, ndio maana nimemkata.🙆
Wadada: tunaamini hujamwambia hivyo Baba WA watu, maana utamuua kisaikolojia na atakataa kuoa milele.
Money penny: mdogowangu, embu olewa bwana Corona ndio hii ishaisha tukufanyie SHEREHE kubwa, hayo mengine ya sarakasi mtafundishana Tu kwa upepo WA kisulisuli🔥
Wadada: wakacheka, wakaishia kusema kisulisuli hicho kwiyooooo 😂😂😂🏃🏃🏃
Money Penny: lakini mimi bado nikawa nawaza moyoni, huyu mdogowangu ni msichana wa 10 namsikia anawalalamikia wanaume WA kichaga hawapo vizuri kitandani,🙄
Je, kweli akina shimboni shafo, nashisha Mae, lakuchambe (wanaume WA kichaga) hawapo vizuri kwenye la tendo la ndoa?
Embu nipeni mrejesho wapendwa🏃🏃🏃
Ina maana wote walioolewa na wachaga Wana kilio hiki hiki au?! 🚶🚶🚶🚶🚶
Mdogowetu: ah me bwana naona nizae Tu maana wanaume naowapata wote mapicha na masinema Sana Tu
Wadada: haya safari hii umempata Nani?
Mdogowetu: kuna mchaga mmoja ananisumbua kweli mwezi wa 6 sasa namkataa
Wadada: Huyo mchaga ana Umri gani?
Mdogowetu: Miaka 45
Wadada: mume WA mtu au mjane?!
Mdogowetu: hajaoa Ila ana mtoto mmoja
Wadada: sasa shida nene?!
Mdogowetu: bwana Kwan nyie shida ya wanaume WA kichaga hamuijui??
Wadada: hapana embu tuambie
Mdogowetu: sijui kuhusu wachaga wengine Ila wachaga wengi nimekutana NAO hawapo vizuri kitandani
Wadada: tenaaa?! Kwan ushazini nae?!
Mdogowetu: wala sihitaji, nilishawahi kuwa NAO huko nyuma wakanisumbua Tu nikaondoka na nyege zangu sirudii tena, sasa nawaza huyu bwana kama atanioa maisha ndo yatakuwa hayo hayo au?!
Wadada: maisha gani??
Mdogowetu: ya kitandani?? Yani siwafichi wachaga kitandani hawajui kitu, wao bao moja Tu kalala akijiongeza la 2, sasa Mimi halfcast nishazoea sarakasi na movement kibao kitandani naona nitamtesa bure.
Ndio wachaga wanajua kutunza MKE na watoto lakini kitandani bwana NI sifuri, ndio maana nimemkata.🙆
Wadada: tunaamini hujamwambia hivyo Baba WA watu, maana utamuua kisaikolojia na atakataa kuoa milele.
Money penny: mdogowangu, embu olewa bwana Corona ndio hii ishaisha tukufanyie SHEREHE kubwa, hayo mengine ya sarakasi mtafundishana Tu kwa upepo WA kisulisuli🔥
Wadada: wakacheka, wakaishia kusema kisulisuli hicho kwiyooooo 😂😂😂🏃🏃🏃
Money Penny: lakini mimi bado nikawa nawaza moyoni, huyu mdogowangu ni msichana wa 10 namsikia anawalalamikia wanaume WA kichaga hawapo vizuri kitandani,🙄
Je, kweli akina shimboni shafo, nashisha Mae, lakuchambe (wanaume WA kichaga) hawapo vizuri kwenye la tendo la ndoa?
Embu nipeni mrejesho wapendwa🏃🏃🏃
Ina maana wote walioolewa na wachaga Wana kilio hiki hiki au?! 🚶🚶🚶🚶🚶