machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,336
- 5,323
Habari zenu wakuu?
Nina tatizo la kukohoa kwa muda mrefu nilienda hospital wakanipima makohozi kuangalia kama Nina tb lakini sikuwa nayo wakanipiga xray ya kifua wakaniandikia dawa za pneumonia nikapata nafuu kidogo lakini hali ikajirudia ile ile!
Nikarudi tena wakaniandikia tena dawa za minyoo lakini haikusaidia,kikohozi ni kikavu muda mwingi na hasa nikipigwa na ubaridi nyakati za usiku!
Kinanyima raha sana kimekua kero kwangu na kwa watu,msaada tafadhali hili ni tatizo gani na ni wapi naweza kupata tiba? Sivuti sigara wala bangi
Nina tatizo la kukohoa kwa muda mrefu nilienda hospital wakanipima makohozi kuangalia kama Nina tb lakini sikuwa nayo wakanipiga xray ya kifua wakaniandikia dawa za pneumonia nikapata nafuu kidogo lakini hali ikajirudia ile ile!
Nikarudi tena wakaniandikia tena dawa za minyoo lakini haikusaidia,kikohozi ni kikavu muda mwingi na hasa nikipigwa na ubaridi nyakati za usiku!
Kinanyima raha sana kimekua kero kwangu na kwa watu,msaada tafadhali hili ni tatizo gani na ni wapi naweza kupata tiba? Sivuti sigara wala bangi