fasi dwasi
R I P
- Sep 23, 2018
- 105
- 112
Hope mpo wazima wanajf
Ipo hivi..
Nilikuwa nasumbuliwa sana na tatizo la kifua upande wa upumuaji, kwa mazoea yangu basi nilihisi ni Asthma coz hyo ndio homa ambyo inanisumbua mara kwa mara na huwa nikimeza vidonge vinaitwa Amynophilin inatulia faster.
Sasa this time ajabu nilitumia mpaka zikaisha, nikanunua wapi mwisho wa siku niliikuta nafikia extent kwamba siwezi kukaa hata kutembea coz nikikaa chini nakohoa sana na nahema sana.
Nilikuja kuchukuliwa gheto nikiwa sijitambui baada ya kupiga simu home kuwa sijiwezi kwa lolote. Nilichukuliwa kikatili sana coz nilikuwa nahema juu juu mpaka nikahisi mapafu yananitoroka.
Nilipofika hospitali na kuongea na doctor na kufanyiwa Xray ilionekana ni PNEMONIA, nilichomwa sindano zile za kila baada ya masaa 6 na zingine baada ya hapo nilianza kujisikia fresh to the extent niliweza kupandisha floor mbili juu na kushusha ingawa ilikuwa ni shida lakini niliweza.
Nililazwa huku nikiwa naendelea na zile sindano nikazimaliza then niliruhusiwa na mpaka hiyo siku nilikuwa naweza kutembea mwenyewe kwa umbali mfupi.
Nilichukuliwa mpaka home but ajabu ni kwamba ile hali ya kuhema kwa shida ilirudi maana nilipewa antibiotics tu za siku 5 ambazo zilikuwa hazinisaidii.
Upumuaji ulikuwa ni wa shida sana kiasi kwamba ilibidi nimtafute yule doctor aliyenihudumia akanishauri nikapime TB na nilifanya hivyo nilikutwa na TB na nilianza dozi hapo hapo leo ni siku ya tatu.
Lakini bado siwezi kukaa wala kusimama pumzi inakata kwa kila jambo ninalofanya, nahema kwa shida, silali usingizi coz nilitaka kulala mwili unarelax halafu mfumo wa upumuaji haupo sawa kwahiyo ninaamshwa na kukohoa, sitoi kikohozi ni uteute tu ambao nauhisi kwa ndani.
Leo asubuhi niliwasiliana na doctor tena aliniambia maybe Pnemonia haijaisha na nikacheck uwingi wa damu, nilicheck ilikuwa 12/6 bac akasema nichomwe sindano zile za kila baada y masaa 6 najisikia vyema nikitumia zile dawa na ule ugumu katika upumuaji unapungua.
Nina siku zaidi ya 16 siwezi kulala kwa upande yaani hapa nipo kitandani natazama juu tu mbavu za pembeni siwezi kuzilalia na kila nikijaribu siwezi kabisa.
Kwa sasa naendelea na dawa ya TB ila hii hali mpaka sasa bado sijajiridhisha tatizo ni nin na nifanyaje, sawa naongea na doctors lakini naamini humu ndani JF kuna wataalamu wa kubwa sana ambao wanaweza kuwa msaada na kushauri jambo juu ya hili ili kuokoa maisha yangu.
HIV test ni Negative.
Nimeandika rafu sana na kwa ufupisho coz npo kwenye hali mbaya jamani.
Karibuni kwa ushauri watalaamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo hivi..
Nilikuwa nasumbuliwa sana na tatizo la kifua upande wa upumuaji, kwa mazoea yangu basi nilihisi ni Asthma coz hyo ndio homa ambyo inanisumbua mara kwa mara na huwa nikimeza vidonge vinaitwa Amynophilin inatulia faster.
Sasa this time ajabu nilitumia mpaka zikaisha, nikanunua wapi mwisho wa siku niliikuta nafikia extent kwamba siwezi kukaa hata kutembea coz nikikaa chini nakohoa sana na nahema sana.
Nilikuja kuchukuliwa gheto nikiwa sijitambui baada ya kupiga simu home kuwa sijiwezi kwa lolote. Nilichukuliwa kikatili sana coz nilikuwa nahema juu juu mpaka nikahisi mapafu yananitoroka.
Nilipofika hospitali na kuongea na doctor na kufanyiwa Xray ilionekana ni PNEMONIA, nilichomwa sindano zile za kila baada ya masaa 6 na zingine baada ya hapo nilianza kujisikia fresh to the extent niliweza kupandisha floor mbili juu na kushusha ingawa ilikuwa ni shida lakini niliweza.
Nililazwa huku nikiwa naendelea na zile sindano nikazimaliza then niliruhusiwa na mpaka hiyo siku nilikuwa naweza kutembea mwenyewe kwa umbali mfupi.
Nilichukuliwa mpaka home but ajabu ni kwamba ile hali ya kuhema kwa shida ilirudi maana nilipewa antibiotics tu za siku 5 ambazo zilikuwa hazinisaidii.
Upumuaji ulikuwa ni wa shida sana kiasi kwamba ilibidi nimtafute yule doctor aliyenihudumia akanishauri nikapime TB na nilifanya hivyo nilikutwa na TB na nilianza dozi hapo hapo leo ni siku ya tatu.
Lakini bado siwezi kukaa wala kusimama pumzi inakata kwa kila jambo ninalofanya, nahema kwa shida, silali usingizi coz nilitaka kulala mwili unarelax halafu mfumo wa upumuaji haupo sawa kwahiyo ninaamshwa na kukohoa, sitoi kikohozi ni uteute tu ambao nauhisi kwa ndani.
Leo asubuhi niliwasiliana na doctor tena aliniambia maybe Pnemonia haijaisha na nikacheck uwingi wa damu, nilicheck ilikuwa 12/6 bac akasema nichomwe sindano zile za kila baada y masaa 6 najisikia vyema nikitumia zile dawa na ule ugumu katika upumuaji unapungua.
Nina siku zaidi ya 16 siwezi kulala kwa upande yaani hapa nipo kitandani natazama juu tu mbavu za pembeni siwezi kuzilalia na kila nikijaribu siwezi kabisa.
Kwa sasa naendelea na dawa ya TB ila hii hali mpaka sasa bado sijajiridhisha tatizo ni nin na nifanyaje, sawa naongea na doctors lakini naamini humu ndani JF kuna wataalamu wa kubwa sana ambao wanaweza kuwa msaada na kushauri jambo juu ya hili ili kuokoa maisha yangu.
HIV test ni Negative.
Nimeandika rafu sana na kwa ufupisho coz npo kwenye hali mbaya jamani.
Karibuni kwa ushauri watalaamu
Sent using Jamii Forums mobile app