Duh! Baada ya kusota sana mtaani hatimae nimepata kazi. Ndugu zangu tusikate tamaa kuapply ipo siku utapata. Nilifanya oral na written interview sijahonga wala nini nina diploma ila nimeongoza interview zote tukichuana na wenye degree. Nashukuru wanajamii kwa yote. Confidence ni muhimu sana kuelekea kufaulu usaili japo so kwa asilimia mia moja.
Duh! Baada ya kusota sana mtaani hatimae nimepata kazi. Ndugu zangu tusikate tamaa kuapply ipo siku utapata. Nilifanya oral na written interview sijahonga wala nini nina diploma ila nimeongoza interview zote tukichuana na wenye degree. Nashukuru wanajamii kwa yote. Confidence ni muhimu sana kuelekea kufaulu usaili japo so kwa asilimia mia moja.
Naona ameanza ujivuni baada ya kupata kazi na kuacha kumshukuru mungu wake.Hyo kazi ilikuwa inataka diploma au degree??? maana naona mwishon umejtapa kuwa umewashinda wa degree
anyway hongera
Kupata kazi sio kuongoza interview bado kuna vigezo vingine vinaangaliwa mzee. Unaweza ukaongoza interview na ukapigwa chini. Mshukuru mungu umepata kazi na wacha majigambo. Degree ni level nyingine mzee
Degree bongo?
Degree bongo?
IT Assistant
mbembwe zimeanza dakika sufueri. unaonekana wewe una shingo ngumu. kijana.
Dogo Degree inabaki kua degree tu, yaani umepata kazi hata mwezi haujaisha unajiona King, usirudi kulalamika hapa
CC H Lugo