Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,984
Niliona tangazo la kazi humu JF, nilituma mamombi na nikaitwa kwenye interview. Nilikuja kuomba ushauri hapa na watu wakafunguka vilivyo. Tulikuwa watu 46 nafasi zilikuwa 4. Namshukuru Mungu baada ya siku tatu nilitaarifiwa nimepata kazi.
Tayari nimeripoti eneo langu la mwezi wa pili sasa na hela ya kujikimu nimepewa 14 days kama kawaida maana ni taasisi ya UMMA.
Nashukuruni sana kwa msaada wenu.
Tayari nimeripoti eneo langu la mwezi wa pili sasa na hela ya kujikimu nimepewa 14 days kama kawaida maana ni taasisi ya UMMA.
Nashukuruni sana kwa msaada wenu.