Nimepata kazi asante jf members

Nimepata kazi asante jf members

Wa kusoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
3,454
Reaction score
2,984
Niliona tangazo la kazi humu JF, nilituma mamombi na nikaitwa kwenye interview. Nilikuja kuomba ushauri hapa na watu wakafunguka vilivyo. Tulikuwa watu 46 nafasi zilikuwa 4. Namshukuru Mungu baada ya siku tatu nilitaarifiwa nimepata kazi.

Tayari nimeripoti eneo langu la mwezi wa pili sasa na hela ya kujikimu nimepewa 14 days kama kawaida maana ni taasisi ya UMMA.
Nashukuruni sana kwa msaada wenu.
 
Sasa changia JF Tshs 30,000/= Kwa Mwaka ili kuiwezesha JamiiForums na upate kuwa JF Gold Member, Ujulishwe kinachojiri kwa SMS BURE Mwaka Mzima. Si umepaona pa kubofya hapo kulia chini?

cc: Invisible, PAW, AshaDii etc
 
Sasa changia JF Tshs 30,000/= Kwa Mwaka ili kuiwezesha JamiiForums na upate kuwa JF Gold Member, Ujulishwe kinachojiri kwa SMS BURE Mwaka Mzima. Si umepaona pa kubofya hapo kulia chini?

cc: Invisible, PAW, AshaDii etc

Naww unezid kujipendekeza, khhaaaaah
 
tupe ya huko kwenye interview maswali yalikuwa ya aina gani? Mlifanyiwa oral au written?
 
Sasa changia JF Tshs 30,000/= Kwa Mwaka ili kuiwezesha JamiiForums na upate kuwa JF Gold Member, Ujulishwe kinachojiri kwa SMS BURE Mwaka Mzima. Si umepaona pa kubofya hapo kulia chini?

cc: Invisible, PAW, AshaDii etc

Bado najipanga lkn nina mpango wa kufanya hivyo
 
Father Hongera ngoja na cc tushinde hapa Jf huenda bahati zetu zimo humhumu taasisi ya ummanakubali security uku tulipo nouma kweli akikasirika project manager unawaza kibarua kitakuwa salama aundo vile
 
Niliona tangazo la kazi humu JF, nilituma mamombi na nikaitwa kwenye interview. Nilikuja kuomba ushauri hapa na watu wakafunguka vilivyo. Tulikuwa watu 46 nafasi zilikuwa 4. Namshukuru Mungu baada ya siku tatu nilitaarifiwa nimepata kazi.

Tayari nimeripoti eneo langu la mwezi wa pili sasa na hela ya kujikimu nimepewa 14 days kama kawaida maana ni taasisi ya UMMA.
Nashukuruni sana kwa msaada wenu.

Kwa ushauri kwa other job seekers, kwa wale wenye imani zao, wa kwanza kupewa shukrani ni MUNGU then wanafuata hao wengine, tujaribu kuzingatia protokali, by the way hongera sana mdau, panapo majaaliwa na sisi tutapata kwa uwezo wa Muumba.
 
vizuri fanya kazi kwa bidii usisite kutupa taarifa pindi zinapotoka nafasi za kazi hapo kwenu
 
Nashukuru kwa ushauri wako, japo kuukubali au kuukataa linabaki kuwa jukumu langu. Lkn umeona mbali ambapo wengi wanaficha lkn wanafanya.

Ukipata kula na mwenzio! usidanganywe utoe bk 30, hivi hivi tu!
 
Sasa changia JF Tshs 30,000/= Kwa Mwaka ili kuiwezesha JamiiForums na upate kuwa JF Gold Member, Ujulishwe kinachojiri kwa SMS BURE Mwaka Mzima. Si umepaona pa kubofya hapo kulia chini?

cc: Invisible, PAW, AshaDii etc

Ndio maana yake,changia jf ,elg 30 tu kwa mwaka
 
Jamaa maswali yasiyo ya msingi anajibu vizuri, hafu ya msingi anarashia rashia tu. Kweli alieshiba hamkumbuki mwenye njaa...:A S thumbs_down:

Kaka sio hivyo, mtu kaniuliza nimwambie Practical nilipewa maswali gani wakati hajui mm nimesomea nn ilitakiwa kwanza anilize ni kazi gani nafanya?

Mwingine kauliza nimepata kitengo gani sasa hii itamsaidia nn wakati hajui nimeajiriwa wapi?

Asante kwa changamoto lkn
Anyway mm niko
 
Back
Top Bottom