Nakumbuka wakati yupo yanga ya Abasi Gulamali mwaka 91/92, kocha alikuwa Mziray akisaidiwa Charles Boniface Mkwasa, Huyo beki alikua noma, bora mpira uende mchezaji abaki, alicheza na kina Steven Nemesi,Sanifu Lazaro, Sahau Kambi,Keneth Mkapa,Said Zimbwe,Issa Athumani,Abubakari Salum,Justin Mtekele,Said Swedi,Ramadhani Kilambo,Athuman china,Peter Tino,John Mngazija,Thomasi Kipese,Willy Mtendawema,. PUMZIKA KWA AMANI Ninja.