Nimepata fursa ya kwenda Bonn Ujerumani kwenye mkutano wa elimu ya utunzaji wa mazingira kwa vijana

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,835
Mungu yumwema hatimae naenda Kwa wakoloni kuhudhuria semina maalum iliyotolewa na global alliance on health and pollution, hata hivyo tutakwenda kujifunza mbinu za utunzaji wa mazingira, uimarishwaji na ushirikishwaji wa jamii zinazotuzunguka ikiwemo wa kulima na wafugaji ktk kutunza mazingira yanayowazunguka

Mbali nahapo tutakwenda kuseminishwa juu ya uthibiti na utungwaji wa sheria rafiki juu ya uharibifu wa mazingira. Nimejipanga mambo yafuatayo kwenda kuongea mbele ya Baraza

1. Ukataji wa pori la selous umeleta maafa ya hali ya hewa ikiwemo kutokunyesha mvua hali iliyopelekea kukatika Kwa umeme maana umeme wetu niwamaji.

2. Serikali kuwekeza pesa nyingi kwenye siasa za kupamba Chama tawala badala ya kuwekeza kwenye kupanda Miti na usafi wa Mazingira.

3. Ujenzi holela wa makazi ya binadamu, hii ni kutokana na Sera mbovu za Chama cha mapinduzi kutokuweka mpangilio bora wa kamazi badala yake wanawabomolea wananchi nyumba bila kuwapa elimu ya nyumba na makazi

4. Ukosefu wa demokrasia makin, ukaidi na kiburi cha ccm kutokuruhusu katiba Mpya itakayoweka mipaka ya madaraka ya kisiasa ili kusudi kiongozi atakaechangia kuharibu mazingira atapigwa harsh penalty, magufuli ni mfano halisi alikata pori la mbuga ya Selous pamoja na kukatazwa na mashirika ya kimataifa

Ndohayo tu, tuombeane nisafiri nifike salama
 
Hiyo mada yako ya kwanza wazungu watakusifia tuu usoni lkn kwenye akili zao watakuona ni mbumbumbu la kutupwa na utatufanya watz wote tudharaulike sana
Sitajali. Halafu tusipangiane Nasipo pale kuwakilisha wazungu nawakilisha uhalisia
 
Mungu yumwema hatimae naenda Kwa wakoloni kuhudhuria semina maalum iliyotolewa na global alliance on health and pollution, hata hivyo tutakwenda kujifunza mbinu za utunzaji wa mazingira, uimarishwaji na ushirikishwaji wa jamii zinazotuzunguka ikiwemo wa kulima na wafugaji ktk kutunza mazingira yanayowazunguka

Mbali nahapo tutakwenda kuseminishwa juu ya uthibiti na utungwaji wa sheria rafiki juu ya uharibifu wa mazingira. Nimejipanga mambo yafuatayo kwenda kuongea mbele ya Baraza

1.ukataji wa pori la selous umeleta maafa ya hali ya hewa ikiwemo kutokunyesha mvua hali iliyopelekea kukatika Kwa umeme maana umeme wetu niwamaji.

2.Serikali kuwekeza pesa nyingi kwenye siasa za kupamba Chama tawala badala ya kuwekeza kwenye kupanda Miti na usafi wa Mazingira.

3.Ujenzi holela wa makazi ya binadamu, hii ni kutokana na Sera mbovu za Chama cha mapinduzi kutokuweka mpangilio bora wa kamazi badala yake wanawabomolea wananchi nyumba bila kuwapa elimu ya nyumba na makazi

4.Ukosefu wa demokrasia makin, ukaidi na kiburi cha ccm kutokuruhusu katiba Mpya itakayoweka mipaka ya madaraka ya kisiasa ili kusudi kiongozi atakaechangia kuharibu mazingira atapigwa harsh penalty, magufuli ni mfano halisi alikata pori la mbuga ya selous pamoja na kukatanzwa na mashirika ya kimataifa

Ndohayo tu, tuombeane nisafiri nifike salama
Hahaaa baadae utakuka na picha za google kwamba uko Ujerumani sasa
 
Back
Top Bottom