major2
Member
- Sep 21, 2016
- 18
- 11
Habari wanajamvi,
Poleni na majuku,
Niko hapa kuomba ushauri.Nimebahatika kuchaguliwa Chuo kikuu Huria Tanzania kwa Masomo ya shahada ya Kwanza ya Sociology 2016/17.
Mpaka dakika hii sijapata ada na tarehe ya Kureport ni tarehe 4/12/2016.Naombeni ushauri wenu.Nifanyeje?
Epuka kukejeli au kuleta mzaha.
Poleni na majuku,
Niko hapa kuomba ushauri.Nimebahatika kuchaguliwa Chuo kikuu Huria Tanzania kwa Masomo ya shahada ya Kwanza ya Sociology 2016/17.
Mpaka dakika hii sijapata ada na tarehe ya Kureport ni tarehe 4/12/2016.Naombeni ushauri wenu.Nifanyeje?
Epuka kukejeli au kuleta mzaha.