Nimepata Android 9 (PIE) baada ku update simu yangu

Jana nilipata notification kuwa android 9 ipo tayari kwa simu yangu (Samsung galaxy S8) nikaweka kifurushi kisha nikapakua na ku install updats.

Kweli simu ikapanda toka android 8 to 9. Pia features kibao zimebadirika ikiwa muonekano na baadhi ya mipangilio.

Ila kuna features za msingi sana zimekuwa discontinued, hii imeifanya simu kuwa ya upweke sana
View attachment 1036737

Kuna vitu kama mult tasking sivioni kabisa, na pia Navigation buttons hazivutii kabisa.
View attachment 1036742
Home button, back button zimekuwa hivyo. Sio za kubonyeza, unaswipe juu kidogo ndio zinafanya kazi

System Tray imekuwa na mvuto kidogo sio kama ya mara ya kwanza
View attachment 1036746

Pia Dolby atmos imeongezeka na kuleta ubora wa sauti na diferent Reverb venues
View attachment 1036747

Pia notifications bar nayo imekuwa poa sana. Ina match na edge screen


Nitazidi kuleta mrejesho kadili ninavyozidi kuichunguza simu
Saivi washatoa "Android 10-Q" !! Yaani android developers wanatapatapa sana mtu leo unanua simu lakini hayo ma update simu inakuwa outdated ndani ya muda mfupi sanaa. Mtaalamu Chief-Mkwawa hebu tufafanulie hii imekaaje? Binafsi naona kama ni mbinu za kibiashara zaidi kuliko mahitaji ya msingi. Na hili ndio limenifundisha kuchukia android OS
 
Ni kweli unachosema. Maana huwa sioni improvement kubwa sana toka OS version moja kwenda nyingine. Nafikiri wangekuwa wana Fix bugs tuuu. Once ikitokea Massive Improvement basi ndio wabadirishe Version
Saivi washatoa "Android 10-Q" !! Yaani android developers wanatapatapa sana mtu leo unanua simu lakini hayo ma update simu inakuwa outdated ndani ya muda mfupi sanaa. Mtaalamu Chief-Mkwawa hebu tufafanulie hii imekaaje? Binafsi naona kama ni mbinu za kibiashara zaidi kuliko mahitaji ya msingi. Na hili ndio limenifundisha kuchukia android OS
 
Saivi washatoa "Android 10-Q" !! Yaani android developers wanatapatapa sana mtu leo unanua simu lakini hayo ma update simu inakuwa outdated ndani ya muda mfupi sanaa. Mtaalamu Chief-Mkwawa hebu tufafanulie hii imekaaje? Binafsi naona kama ni mbinu za kibiashara zaidi kuliko mahitaji ya msingi. Na hili ndio limenifundisha kuchukia android OS
Na hapa ndipo iOS anapochukua sana point
 
Ni kweli unachosema. Maana huwa sioni improvement kubwa sana toka OS version moja kwenda nyingine. Nafikiri wangekuwa wana Fix bugs tuuu. Once ikitokea Massive Improvement basi ndio wabadirishe Version
na hapa apple ndipo wanaonyesha umakini wao,

katikati ya mwaka mnapewa point moja moja zenye ukubwa wa mb 200 mpaka 500 mna update,ila kila mwaka main update ambayo inakuja na special features.

sasa hawa wenzangu namimi ukiuliza tofauti ya msingi android 7 na 8 sidhani kama utapewa.
 
Nimeupdate kwenda android 9 kuna mazuri mengi sana nayapata. Imenikera siweza kusplit screen tena kwa ajili ya multitasking. Alieweza anielekeze. Natumia Samsung J7 Neo
 
Ina split hujaijua tu. Kama vipi google ukishindwa nikiwa na muda nitakuonesha kwa screen shots
Nimeupdate kwenda android 9 kuna mazuri mengi sana nayapata. Imenikera siweza kusplit screen tena kwa ajili ya multitasking. Alieweza anielekeze. Natumia Samsung J7 Neo
 
KWENYE SIMU YANGU INAMALIZA BATTERY BALAA... TOFAUTI NA NILIVYOKUWA NA OREO
 
Android Version 10 (Q) on my Google Pixel 2 XL
Screenshot_20190808-221440.png
 
Back
Top Bottom