Nimepata Android 9 (PIE) baada ku update simu yangu

Nimepata Android 9 (PIE) baada ku update simu yangu

Nenda
Heshima kwako mkuu! Naomba elimu ya jinsi ya ku ugrade manually to android 9. Nina android 8.1. Natanguliza shukrani
Nenda kwenye menu, halafu software update kama una samsung,check kama kuna update, baadae itaanza kudownload. unatakiwa kuwa na bundle ya kutosha kwa sababu ni kubwa kama 2GB, then itakupa maelekezo nini cha kufanya
 
Wakuu naombeni msaada namna ya kublock Namba kwenye Tecko Y3+ ..au app inayofaa kublock Namba isipatikane kabisa. Asanteni
 
hapana ila wanazo simu zao nyingn tayar ziko updated kama smart 2 ila kama yangu bado na imetoka mwaka mmoja
 
Wakuu naona kumbe kuna ambao wameipenda hii android pie, kwa kweli me naiona kama mzigo huku kwangu
 
Iko poa ila setting yake hiyo nimeiweka off ili kutunza Moto badala yake nimeweka ambient light sensor on, kila jua likizama au kuchomoza rangi inabadilika
Mkuu nina simu kama yako, vipi kwenye kipengele cha Adaptive brightness inajipunguza na kujiongezea mwanga vyema?
 
Jana nilipata notification kuwa android 9 ipo tayari kwa simu yangu (Samsung galaxy S8) nikaweka kifurushi kisha nikapakua na ku install updats.

Kweli simu ikapanda toka android 8 to 9. Pia features kibao zimebadirika ikiwa muonekano na baadhi ya mipangilio.

Ila kuna features za msingi sana zimekuwa discontinued, hii imeifanya simu kuwa ya upweke sana
View attachment 1036737

Kuna vitu kama mult tasking sivioni kabisa, na pia Navigation buttons hazivutii kabisa.
View attachment 1036742
Home button, back button zimekuwa hivyo. Sio za kubonyeza, unaswipe juu kidogo ndio zinafanya kazi

System Tray imekuwa na mvuto kidogo sio kama ya mara ya kwanza
View attachment 1036746

Pia Dolby atmos imeongezeka na kuleta ubora wa sauti na diferent Reverb venues
View attachment 1036747

Pia notifications bar nayo imekuwa poa sana. Ina match na edge screen


Nitazidi kuleta mrejesho kadili ninavyozidi kuichunguza simu
Kabla ya kwenda huko android 9 uli root cm yako ama vp
 
hapana ila wanazo simu zao nyingn tayar ziko updated kama smart 2 ila kama yangu bado na imetoka mwaka mmoja
Smart 2 ya nani TZ ina update ya Pie mkuu? Sabu wametoa kwa raia wa India tu kama beta testers.... Kwa sim za watu wote bado hawajatoa update ya hizo sim maana naskia Kernel version ya hivo vi sim inawaumiza vichwa Developers....
 
ilikua
Smart 2 ya nani TZ ina update ya Pie mkuu? Sabu wametoa kwa raia wa India tu kama beta testers.... Kwa sim za watu wote bado hawajatoa update ya hizo sim maana naskia Kernel version ya hivo vi sim inawaumiza vichwa Developers....
sijajua kama ni kwa India tu mkuu
 
Back
Top Bottom