Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,542
Mikia buana,wakati kila siku mnashinda mabandani kuwaangalia mabingwa wa muda wote wa TzInapendeza kuona vyura wanakijua vyema kikosi cha Mnyama,mimi sijui hata mmoja huko zaidi ya Ngasa
Mikia buana,wakati kila siku mnashinda mabandani kuwaangalia mabingwa wa muda wote wa TzInapendeza kuona vyura wanakijua vyema kikosi cha Mnyama,mimi sijui hata mmoja huko zaidi ya Ngasa
Ndio itakavyokuwa...Kwanza kabisa nakiri ya kwamba mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Yanga, sijawahi kuota ndoto juu ya tukio lihusulo mpira wa miguu. ila kwa mara yangu ya kwanza niliota ndoto kwenye mechi ya Ndanda vs Simba. Niliota ndoto simba kafungwa lakini mchezo ulimalizika kwa sare. Jana usiku ilikuwa ni mara yangu ya pili kuota ndoto juu ya tukio la mpira wa miguu na safari hii nimeota simba kashinda magoli mawili kwa bila dhidi ya Nkana.