Nimeota Ndoto Lowasa Kawa Rais,

Nimeota Ndoto Lowasa Kawa Rais,

Mimi nimeota kuwa josephine mshumbushi kawa mgombea mwenza wa hamad Rashid.
 
Ahsante Mungu hiyo ilikuwa ni ndoto. Amka sasa uendelee na maisha yako.
 
Lowassa kama atashinda au sisiemu kama watashinda, tatizo lililopo ni watakuwa na wabunge wachache, hapo ndo Magogoni itakapokuwa chungu.
 
Mimi nimeota ukawa imeshinda na lowassa kafilisiwa mali zote alizoiba na amekuwa kichaa anaokota makopo kariakoo

mmmh ndo huyo nini alietabiriwa na sheikh maalim kua atakua kichaa
 
Mibado naendelea kuota.
Nikimaliza kuota nitarudi kuchanga thread.

mimi nimemaliza kuota mkuu....jk amemrithisha mwanaye urais wa Tanzania. Na bintiye kawa mkuu wa majeshi.
 
mie nimeota kwanza masikin cuf himemezwa na chadema pili ukawa wamempa uwenyekiti zito na agombanie uraisi . nikashituka kutoka usingizini nikasema inshaa,allah m/mungu hamfanyie wepesi . nusu saa baada ya maombi nika lala tena. dah !! huzuni ,hinauma sana , nawahona wana siasa mchwara ,wasaka tonge ,wabinafsi, wachumia tumbo , SLAA na mwezie MBOWE, wanamuwekea pingamizi

hivi bado tu kwa akili zako unamuwaza huyo kuwadi?
 
mie nipo kwa babu hapa bwagamoyo nachungulia kwenye kioo ; Zitto namuona anatangatanga tu yupo peku halaf nyuma yake namuona hebu ngoja niangalie vizuri ni k..... aah itaendelea
 
Na siku utakayoota dushe linazama kwenye unyero uje utujulishe pia!!
 
"Hata mimi nimeota ndoto kuwa Kingunge Ngombale Mwilu kawa katibu mkuu wa umoja wa mataifa!"

JF kuna mambo kama Mcharo.
 
Mimi nimeota Prof Tezi kawa Rais wa Marekani, na wassira kashinda umiss India.
 
Kweli JF na heshima yetu tunaanza kujadili mada za wenye stress za kulipa karo! Tena kwenye jukwaa la siasa!
Na uzuri wa wachangiaji huwa wanafata upepo wa mtoa mada au mchangiaji wa kwanza na baadae mada inageuka kuwa joke.
 
Back
Top Bottom