Nimeota Ndoto Lowasa Kawa Rais,

Nimeota Ndoto Lowasa Kawa Rais,

MR. MORRIS T. J.

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
1,167
Reaction score
403
Nimeota Mh. E. N. Lowassa Kachaguliwa Kwa Kishindo Kuwa Rais Wa 5 Wa Tanzania Na Wakurugenzi Za Halmashauri Za Ya Wanane Wamepoteza Fahamu Kutokana Na Ufisadi Wao Kwenye Halmashauri!! Pia Waliokula Pesa Za Fidia Za Wananchi Wa Nzega Kata Ya Itilo Kijiji Cha Silimka Kitongoji Cha Kashishi Ambao Wamewapunja Malipo Ya Fidia Ya Ardhi Kwa Kuwalipa Sh. Mia Na Hamsini Kwa Mita Skwea Moja Ya Ardhi Badala Ya Sh. Elfu Tano Kama Inavyoonekana Kwenye Idara Ya Ardhi Nzega.Nimeota Kamfukuza Kazi Mkuu Wa Wilaya,mkurugenzi,waziri Magufuri Kwa Kula Pesa Zetu Za Fidia Ya Ardhi Yetu.NAOMBA NDOTO HII ITIMIE ILI DHURUMA TULIOFANYIWA NA HAWA MAFISADI IKOMESHWE.
 
Nimeota Mh. E. N. Lowassa Kachaguliwa Kwa Kishindo Kuwa Rais Wa 5 Wa Tanzania Na Wakurugenzi Za Halmashauri Za Ya Wanane Wamepoteza Fahamu Kutokana Na Ufisadi Wao Kwenye Halmashauri!! Pia Waliokula Pesa Za Fidia Za Wananchi Wa Nzega Kata Ya Itilo Kijiji Cha Silimka Kitongoji Cha Kashishi Ambao Wamewapunja Malipo Ya Fidia Ya Ardhi Kwa Kuwalipa Sh. Mia Na Hamsini Kwa Mita Skwea Moja Ya Ardhi Badala Ya Sh. Elfu Tano Kama Inavyoonekana Kwenye Idara Ya Ardhi Nzega.Nimeota Kamfukuza Kazi Mkuu Wa Wilaya,mkurugenzi,waziri Magufuri Kwa Kula Pesa Zetu Za Fidia Ya Ardhi Yetu.NAOMBA NDOTO HII ITIMIE ILI DHURUMA TULIOFANYIWA NA HAWA MAFISADI IKOMESHWE.

Amina mwanangu
 
Hata mimi nimeota ndoto kuwa Kingunge Ngombale Mwilu kawa katibu mkuu wa umoja wa mataifa!
 
kama Lowasa akifanikiwa, basi ujue Dewji kawa billionea wa Africa!
 
mie nimeota kwanza masikin cuf himemezwa na chadema pili ukawa wamempa uwenyekiti zito na agombanie uraisi . nikashituka kutoka usingizini nikasema inshaa,allah m/mungu hamfanyie wepesi . nusu saa baada ya maombi nika lala tena. dah !! huzuni ,hinauma sana , nawahona wana siasa mchwara ,wasaka tonge ,wabinafsi, wachumia tumbo , SLAA na mwezie MBOWE, wanamuwekea pingamizi
 
me sijaota na sitaki kuota mara ya mwisho niliota nimeokota hela na nilipoamka nikakuta hakuna cha hela wala nn! Hata nikiota ntaota kikwete,lowasa,mizengo nyooka wote wamekufa
 
Nimeota ndoto Lowasa kafia jukwaani akiomba kura.ndoto yangu inamtaka huyu boya ahangaikie sukari yake,rais atatoka UKAWA
 
Back
Top Bottom