Nimeona ninyoshe mikono

Nimeona ninyoshe mikono

mwananthropolojia

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
956
Reaction score
658
kuna kabinti nimekafukuzia zaidi ya miaka 2, mpaka leo hajawahi kunipa jibu kama ananipenda ama hanipendi zaidi ya kuigiza tu tukiwa pamoja tunaongea. na kila nikijaribu kumchombeza kanakua kakali sana,mpaka nimeshindwa kukaelewa.
nishajaribu kumuuliza siku kama ananipenda au hanipendi anipe jibu moja nijue, akaishia kucheka na hakunipa jibu lolote.

sasa hii mara ya mwisho nimejaribu kumgusa bega wakati tunaongea amepaniki kinoma nikamuuliza tatizo ni nini?majibu yake kwa kweli mi sijayaelewa, kwani anasema kama ninataka kuongea naye niende siku nyingine yeye amechoka.kwa kweli nimeshindwa kumwelewa na nimechoka kuishi katika maisha ya dilema nikiwa siju msimamo wake kuhus mimi ni nini.
hivi kweli niendelee kusubiri maana nimeshachoka mwenzenu?
 
kuna kabinti nimekafukuzia zaidi ya miaka 2, mpaka leo hajawahi kunipa jibu kama ananipenda ama hanipendi zaidi ya kuigiza tu tukiwa pamoja tunaongea. na kila nikijaribu kumchombeza kanakua kakali sana,mpaka nimeshindwa kukaelewa.
nishajaribu kumuuliza siku kama ananipenda au hanipendi anipe jibu moja nijue, akaishia kucheka na hakunipa jibu lolote.

sasa hii mara ya mwisho nimejaribu kumgusa bega wakati tunaongea amepaniki kinoma nikamuuliza tatizo ni nini?majibu yake kwa kweli mi sijayaelewa, kwani anasema kama ninataka kuongea naye niende siku nyingine yeye amechoka.kwa kweli nimeshindwa kumwelewa na nimechoka kuishi katika maisha ya dilema nikiwa siju msimamo wake kuhus mimi ni nini.
hivi kweli niendelee kusubiri maana nimeshachoka mwenzenu?
Hujui kusoma alama za nyakati?
Usidhani kushindwa kwake kusema kama anakupenda kunamaanisha kuwa hakupendi. Hivi umewahi kuwasikia wale niangusage mwenyewe! Labya ni wa type hiyo


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hujui kusoma alama za nyakati?
Usidhani kushindwa kwake kusema kama anakupenda kunamaanisha kuwa hakupendi. Hivi umewahi kuwasikia wale niangusage mwenyewe! Labya ni wa type hiyo


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hivi hao mkuu,nao wanakua wakali sana ukiwagusa?
 
Acha kumuuza mwenzio bwana. Kuna mashamba ya korosho, unasubiri miaka 5 na unavuna maisha yako yote. Kama she is worth it acha asage soli!

If only kama amepa mkorosho
kama ni matikiti maje je?
that means kuna watu wanavuna every 60 days....
huku yeye bado anasubiri lol
 
Bado anakupima, angalao mwaka wa 4 au wa 5 anaweza kukubali. we ongeza tu bidii. Hata siku akikuambia live kuwa hakutaki, wewe usichukulie siriazi, mara nyingine hawamaanishagi. weka tu juhudi, runners never quit mkuu.

Baadae ufahamu ukirudi vizuri utajicheka sana.
 
achana naye huyo, demu ukishamzoea na kumsoma usoni haichukui muda kujua anakupenda, sasa huyo 2 yrs!!!

hata kama akikukubali baadaye itakuwa sio ni kwasababu anakupenda, ni itakuwa ni sababu atakuwa anakuhurumia kwamba umemtesekea sana, hivyo ataona bora tu akukubali kwa kukuonea huruma.
 
Acha kumuuza mwenzio bwana. Kuna mashamba ya korosho, unasubiri miaka 5 na unavuna maisha yako yote. Kama she is worth it acha asage soli!

we acha tu,mwenyewe niliweka mipango ndio wife to be! ila ananichosha kwa kweli saiz nipo njia panda
 
Bado anakupima, angalao mwaka wa 4 au wa 5 anaweza kukubali. we ongeza tu bidii. Hata siku akikuambia live kuwa hakutaki, wewe usichukulie siriazi, mara nyingine hawamaanishagi. weka tu juhudi, runners never quit mkuu.

Baadae ufahamu ukirudi vizuri utajicheka sana.

mkuu kweli miaka yote hiyo atakua hagegedwi tu na washkaji?
 
Back
Top Bottom