Nimeona mwanafunzi wa sekondari kavaa burqa(ninja)

Nimeona mwanafunzi wa sekondari kavaa burqa(ninja)

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,775
Reaction score
91,794
Wanafunzi wa kike wanaruhusiwa kuvaa burqa(ninja) mashuleni?

Nimeona mwanafunzi wa kike kama wa kidato cha pili amevaa burqa(ninja) anaenda shule nikashaangaa sana.

Ukiacha kuwa ni mwanafunzi kwa nini watoto wadogo wavalishwe burqa? Nani mwenye akili timamu anaweza kuwatamani watoto wadogo?
 
Umetoka mkoa gani wewe umevamia mjini hapa, halafu hayo mambo ya kusema eti ni nani wa kumtamani mtoto wa kidato cha tatu, nasikia mnayaongeaga hv leo baada ya anko magumashi kuwaambia 30 itawahusu, tofauti na wakati hakuna sheria imara hadi shule ya msingi watu walipita nao, muache mtoto wa watu ajilinde kunavijana wa hovyo wengi sana hapa bongo.
 
Mvalishe mtoto wako chupi bila nguo yoyote aende nayo shule kama hao wanaovaa nikab inakuuma sana.
Kwanza hakuna uniform ya chupi shuleni kwao halafu kwa nini nimvalishe chupi bila nguo yoyote niuache mwili wake upigwe na baridi, upepo au michubuko wakati anacheza? Mbona unaandika kama kuku aliyekatwa kichwa akaachiliwa anaruka akitapatapa!
 
Umetoka mkoa gani wewe umevamia mjini hapa, halafu hayo mambo ya kusema eti ni nani wa kumtamani mtoto wa kidato cha tatu, nasikia mnayaongeaga hv leo baada ya anko magumashi kuwaambia 30 itawahusu, tofauti na wakati hakuna sheria imara hadi shule ya msingi watu walipita nao, muache mtoto wa watu ajilinde kunavijana wa hovyo wengi sana hapa bongo.
Sidhani kama burqa ni kinga dhidi ya pedophiles.
 
Sasa wewe tatizo lako nini wao wakivaa hivyo? Inakuathiri vipi kwenye maisha yako binafsi? Huna kazi ya kufanya?
Nyie makafiri hua mna chuki za kijinga sana.
Makafiri ni watu gani??
 
Back
Top Bottom