Nimeona kitu pale JKNI. Je, inawezekana hilo?

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,195
10,929
Pale kwenye njia ya reli kuelekea Gongo la mboto na kuendelea wamejenga tuta kuelekea upande wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa JKNI. Ujenzi unaendelea sijajua wataishia wapi au ndio wanaelekea uwanjani moja kwa moja?

Nimeuliza hivyo kwani natamani nione uwanja wa ndege wetu unaunganishwa na reli ya kisasa kama viwanja vya wenzetu. Ukiteremka kwenye ndege unaingia kwenye treni unaelekea mkoa unaotaka au unaingia Kisutu moja kwa moja.

Iwapo treni haitaingia uwanjani moja kwa moja basi angalau abiria akishatoka uwanjani anapanda lifti mpaka juu ya daraja anakokota mabegi yake mpaka upande wa pili wa barabara ama anasubiri treni yake au anasubiri gari za kumpeleka katikati ya jiji.

Uwanja wa JKNI mpaka sasa una eneo kubwa la bustani pamoja na kupendezesha macho lakini kuna matumizi bora zaidi kuliko hilo ili kuleta raha kwa wasafiri.

1695801778632.png
 
Pale kwenye njia ya reli kuelekea Gongo la mboto na kuendelea wamejenga tuta kuelekea upande wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa JKNI. Ujenzi unaendelea sijajua wataishia wapi au ndio wanaelekea uwanjani moja kwa moja?

Nimeuliza hivyo kwani natamani nione uwanja wa ndege wetu unaunganishwa na reli ya kisasa kama viwanja vya wenzetu. Ukiteremka kwenye ndege unaingia kwenye treni unaelekea mkoa unaotaka au unaingia Kisutu moja kwa moja.

Iwapo treni haitaingia uwanjani moja kwa moja basi angalau abiria akishatoka uwanjani anapanda lifti mpaka juu ya daraja anakokota mabegi yake mpaka upande wa pili wa barabara ama anasubiri treni yake au anasubiri gari za kumpeleka katikati ya jiji.

Uwanja wa JKNI mpaka sasa una eneo kubwa la bustani pamoja na kupendezesha macho lakini kuna matumizi bora zaidi kuliko hilo ili kuleta raha kwa wasafiri.

View attachment 2763804
Hatuna uwanja unaitwa JKNIA bali ni JNIA yaani Julius Nyerere International Airport
 
Hatuna uwanja unaitwa JKNIA bali ni JNIA yaani Julius Nyerere International Airport
Viwanja vyote duniani vina kila kiwanja na jina lake.Hiki cha kwetu ni JKNI. Ukikitafuta kwa JNIA hukipati.
Mimi nimeshasafiri sana pale na nikikata tiketi kielektronik natumia hiyo hiyo JKNI na ndiyo inayotambuliwa na mashirika ya ndenge yanayotumia uwanja huo.
Ngoja kama kuna wataalamu wa code za viwanja waje watufafanulie zaidi.
 
Viwanja vyote duniani vina kila kiwanja na jina lake.Hiki cha kwetu ni JKNI. Ukikitafuta kwa JNIA hukipati.
Mimi nimeshasafiri sana pale na nikikata tiketi kielektronik natumia hiyo hiyo JKNI na ndiyo inayotambuliwa na mashirika ya ndenge yanayotumia uwanja huo.
Ngoja kama kuna wataalamu wa code za viwanja waje watufafanulie zaidi.
Acha ubishi wa kitoto wewe ni JNIA
 
Viwanja vyote duniani vina kila kiwanja na jina lake.Hiki cha kwetu ni JKNI. Ukikitafuta kwa JNIA hukipati.
Basil Mramba ndiye mharibifu namba moja alilazimisha kiitwe JNIA ati kwakuwa wazungu walikuwa hawawezi kutamka jina Kambarage walipoulizwa K inasimama badala ya nini
 
Viwanja vyote duniani vina kila kiwanja na jina lake.Hiki cha kwetu ni JKNI. Ukikitafuta kwa JNIA hukipati.
Mimi nimeshasafiri sana pale na nikikata tiketi kielektronik natumia hiyo hiyo JKNI na ndiyo inayotambuliwa na mashirika ya ndenge yanayotumia uwanja huo.
Ngoja kama kuna wataalamu wa code za viwanja waje watufafanulie zaidi.
Labda unasafiri sana kwa ungo.
 
Viwanja vyote duniani vina kila kiwanja na jina lake.Hiki cha kwetu ni JKNI. Ukikitafuta kwa JNIA hukipati.
Mimi nimeshasafiri sana pale na nikikata tiketi kielektronik natumia hiyo hiyo JKNI na ndiyo inayotambuliwa na mashirika ya ndenge yanayotumia uwanja huo.
Ngoja kama kuna wataalamu wa code za viwanja waje watufafanulie zaidi.
Hii K inasimama badala yanini?
 
Pale kwenye njia ya reli kuelekea Gongo la mboto na kuendelea wamejenga tuta kuelekea upande wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa JKNI. Ujenzi unaendelea sijajua wataishia wapi au ndio wanaelekea uwanjani moja kwa moja?

Nimeuliza hivyo kwani natamani nione uwanja wa ndege wetu unaunganishwa na reli ya kisasa kama viwanja vya wenzetu. Ukiteremka kwenye ndege unaingia kwenye treni unaelekea mkoa unaotaka au unaingia Kisutu moja kwa moja.

Iwapo treni haitaingia uwanjani moja kwa moja basi angalau abiria akishatoka uwanjani anapanda lifti mpaka juu ya daraja anakokota mabegi yake mpaka upande wa pili wa barabara ama anasubiri treni yake au anasubiri gari za kumpeleka katikati ya jiji.

Uwanja wa JKNI mpaka sasa una eneo kubwa la bustani pamoja na kupendezesha macho lakini kuna matumizi bora zaidi kuliko hilo ili kuleta raha kwa wasafiri.

View attachment 2763804
wawe makini wasije wakajenga matuta hadi kwenye runways za ndege. matuta si muhimu pale
 
Acha ubishi wa kitoto wewe ni JNIA
Ikiwa unasafiri kwenda Bukoba hiyo JNIA ya terminal 2 inatosha utafika.Lakini ikiwa unataka kufuatana na mimi kwenda Belgium hutaweza kupata tiketi kwa JNIA lazima utabadilishiwa jina la unapotokea.
 
wawe makini wasije wakajenga matuta hadi kwenye runways za ndege. matuta si muhimu pale
Afrika tuna viwanja vitano tu vilivyounganishwa na reli ambavyo viko Afrika kusini,Aljeria,Senegal,Morocco na Niger.
Kwetu Tanzania tuna nafasi nzuri zaidi ya kuwa nchi ya sita pale JKNI
 
Ikiwa unasafiri kwenda Bukoba hiyo JNIA ya terminal 2 inatosha utafika.Lakini ikiwa unataka kufuatana na mimi kwenda Belgium hutaweza kupata tiketi kwa JNIA lazima utabadilishiwa jina la unapotokea.
Tunapita kila siku na hutamkwa Julius Nyerer Intl Airport Acha utoto we mnyambi
 
Sema tu unachotaka kusema kwani hakitokuwa kipya; hamjaanza leo, hamtomaliza leo wala hamtomaliza kesho.........ni hasira zenu za milele vifuani mwenu!!
 
Back
Top Bottom