Mr njaa
Senior Member
- Feb 3, 2022
- 166
- 126
- Thread starter
- #21
Mkuu mbona unanipa laaana nn shidaaHauko serious, nashauri hata hao TRA wasikupe kazi maana utakua mzigo kwa taifa.
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona unanipa laaana nn shidaaHauko serious, nashauri hata hao TRA wasikupe kazi maana utakua mzigo kwa taifa.
Eti eeeh?Shukran jamii forum republic nimeweza ku edit barua ....Ni mwendo wa kukesha nikachukue kazi...
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Mwambie aombe mojaKuna dogo mwingine kanipigia naona ana wenge, anawaza aombe mbili au moja? Nisaidie kumuelewesha hilo tangazo linasemaje kuhusu kuomba TMO or CMO?
Kwani ukisema ni wewe utakufa?Kuna dogo mwingine kanipigia naona ana wenge, anawaza aombe mbili au moja? Nisaidie kumuelewesha hilo tangazo linasemaje kuhusu kuomba TMO or CMO?
Ni mimi mkuu, umejuaje?Kwani ukisema ni wewe utakufa?
Sasa mbona unazuga kuwa ni dogo asee?Ni mimi mkuu, umejuaje?
Jamaa kahitaji jibu alilolitaka yeyeSasa mbona unazuga kuwa ni dogo asee?
Ulitoboa Ila uko kitaa miaka 7,umemaanisha nini mkuu?Ila mungu ni mwema niltoboa japo niko kitaa miaka 7
Nimekusoma,all the best mkuu.Nimetoboa now nipo semina ITA
Hongeraa Sana mwamba ngoja nikeshe aisee tukutane ofisiniNimetoboa now nipo semina ITA
Hizi kazi Zina pressure Sana aisee nyie acheni mishahara mikubwa Sana hukoo kila mtu anahitajKuna dogo mwingine kanipigia naona ana wenge, anawaza aombe mbili au moja? Nisaidie kumuelewesha hilo tangazo linasemaje kuhusu kuomba TMO or CMO?
Mkuu haya Mambo Ni kuuliza kwanza ukisema uende kwa hisia unaweza usiitwe ...Ni Bora kuuliza tu Kama huna experience na tatizo maana hyo portal hatar sanaaaEti eeeh?
Sema tu we nae mbovu kwenye IT.case yako inaweza kusolvika hata kwenye smartphone tu.