Mr njaa
Senior Member
- Feb 3, 2022
- 166
- 126
Habar ndugu,
Hizi kazi sijui Zina nn sijawah kukosea Ila Leo yamenikuta nimeomba Tax management Officer 11 lakin barua niliandaa kwa ajili ya Customs Management officer 11
Mwanzo nilipanga kuomba CMO lkn nikabadilisha upepo na kupanga kuomba TMO na ndio hvo nimeomba TMO kwa. Barua ya CMO
Naombeni ushauri kabla ya deadline WAKUU WA JAMII FORUM REPUBLIC
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Hizi kazi sijui Zina nn sijawah kukosea Ila Leo yamenikuta nimeomba Tax management Officer 11 lakin barua niliandaa kwa ajili ya Customs Management officer 11
Mwanzo nilipanga kuomba CMO lkn nikabadilisha upepo na kupanga kuomba TMO na ndio hvo nimeomba TMO kwa. Barua ya CMO
Naombeni ushauri kabla ya deadline WAKUU WA JAMII FORUM REPUBLIC
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app

