NIMEOKOTA laptop

Bujibuji, you are so honest. Lakini, umeokota? au imesahaulika kwenye gari yako? Hata hivyo hongera kwa kuwa mwaminifu.
 
Wema wote ulioutenda kwa kuwa mwaminifu, umeuchafua kwa kuwakashifu WANAWAKE wa JF. Kwa maana nyingine kwako wewe JF ni sehemu ya wanawake wazinzi. Umewadhalilisha sana, omba msamaha kwani wengine humu ni Mama zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…