Nimeokota kitambulisho cha NIDA

Nimeokota kitambulisho cha NIDA

Wema huzaa maumivu juzi kati kuna jamaa aliokota waleti yenye vitambulisho na pesa taslimu kama milion hiv kasoro bas kwakuwa alikuwa mwema akaenda tangaza kwa jiran punde akaambiwa huyu flan anaish sehem flan muokotaj huyo mpaka kwa muhusika, kufika pale akamuelekeza na kumkabidhi kilichotokea kesi iko mahakaman kapigwa fain ya shiling m5 jamaa mdondosha pochi akidai alivamiwa na kuporwa wema huu sina hamu nao saiv nikikuta poch yenye vitambulisho nachomoa pesa nanunua kibriiti aka kiberiti cha kasuku napiga moto kupotezaaa isije wazee wa finger print waka nasa alama zangu nikatafutwa
🔨

Chukua pesa 🔨
Choma moto ushahidi 🔨
Pesa ulizookota kale kitimoto 🔨
Lala usingizi mzuri maisha yaendelee.
 
Lep asbh ktk mitaa ya jeshini kuelekea Ihumwa nimekiokota kitambulisho Cha mtu anaitwa
Martin Orden Mwitula
View attachment 2928049
Kiongozi. Mwenye kitambulisho cha NIDA ulichokiokota Ihumwa ni Mimi, nimefungua loss report tayari ya kupotelewa na kitambulisho. Naomba kujua nakipata wapi? Kama ulikipeleka NIDA nijue, kama ni polisi nijua nakipataje. Namba yangu nilikutumia hatujawasiliana. Mimi Dodoma nakuja na kutoka tu kwa sasa japo naishi Mtumba
 
Peleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.

Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.

Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.

Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Huruma huzaa dhambi
 
Wadogo zake wangeandikaa yaan

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mbna unanitisha mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Lep asbh ktk mitaa ya jeshini kuelekea Ihumwa nimekiokota kitambulisho Cha mtu anaitwa
Martin Orden Mwitula
View attachment 2928049
Lep asbh ktk mitaa ya jeshini kuelekea Ihumwa nimekiokota kitambulisho Cha mtu anaitwa
Martin Orden Mwitula
View attachment 2928049
Naomba unijulishe hatua ulizochukua coz nilitoa taarifa polisi ya kupotelewa na kitambulisho. Niliomba uniambie nakipata vipi hujanijuza. Naona wengine wameshauri ukitupe, tupeleke ofisi za kata, mtaa. Ninapenda kujua hatua uliyochukua ili nifanye maamuzi kama ni kwenda NIDA kuomba kingine au laa. Samahani kwa usumbufu kiongozi.
 
Wema huzaa maumivu juzi kati kuna jamaa aliokota waleti yenye vitambulisho na pesa taslimu kama milion hiv kasoro bas kwakuwa alikuwa mwema akaenda tangaza kwa jiran punde akaambiwa huyu flan anaish sehem flan muokotaj huyo mpaka kwa muhusika, kufika pale akamuelekeza na kumkabidhi kilichotokea kesi iko mahakaman kapigwa fain ya shiling m5 jamaa mdondosha pochi akidai alivamiwa na kuporwa wema huu sina hamu nao saiv nikikuta poch yenye vitambulisho nachomoa pesa nanunua kibriiti aka kiberiti cha kasuku napiga moto kupotezaaa isije wazee wa finger print waka nasa alama zangu nikatafutwa
Mbona hili lina nitisha kufanya wema usije ukanigharimu, wiki iliyopita nilihudhuria msiba na niliokota pochi maeneo hayo, haikuwa na fedha ndani ila ina vitu vifuatavyo.
-NIDA ID
-MPIGA KURA ID
-NHIF ID
-NMB CARD
-EQUITY VISA CARD
-N CARD
-PASPORT SIZE PICHA ZA MHUSIKA NA NYINGINE ZA WANAWAKE WAWILI TOFAUTI.

Hofu yangu ni hiyo unamsaidia mtu kwa wema alafu yeye anakugeuza fursa na yamkini kweli alifanyiwa tukio.
 
Peleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.

Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.

Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.

Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Aiseee
 
Peleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.

Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.

Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.

Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Mitaala ya CCP Huwa haiboreshwi !???
 
Kuna umuhimu mkubwa vitambulisho viwe na contact ya muhusika
Vitambulisho vyetu ni tatizo havioneshi taarifa zote tofauti na wenzetu Kuna huduma nilikuwa nataka kutoka nchi Fulani umenipa shida sana kila kitambulisho ukituma wanakataa kukuamini
 
Izi mambo za Kuokota IDs na Kuzipeleka sehemu husika then Muokotaji kuja kupata Disturbance ni issue za Culture change zaidi
 
Back
Top Bottom