dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,677
- 18,577
Lep asbh ktk mitaa ya jeshini kuelekea Ihumwa nimekiokota kitambulisho Cha mtu anaitwa
Martin Orden Mwitula
Martin Orden Mwitula
Lep asbh ktk Mitaa ya jeshini kuelekea ihumwa nimekiokota kitambulisho Cha mtu anaitwa
Martin Orden Mwitula
View attachment 2928049
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Apo ungekua wafupi kama wao sijui nani angekua anaandika hapa saiviPeleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.
Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.
Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.
Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Peleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.
Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.
Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.
Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Kitendo cha kukipeleka kitambulisho chake kinatosha kabisa kuonyesha hujui chochote wala hujahusika hakuna muhalifu atakae mdhuru mtu na akapeleke kitambulisho chake polisi au kwenye ofisi yakePeleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.
Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.
Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.
Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Peleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.
Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.
Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.
Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Write your reply...Ni ndugu yangu huyo naomba mawasilian yako pm tujue tunakipataje mkuu
Mwamba angeshaisha kitambo kwa robbery na kibongo bongo kama siyo mvua thelathini basi unakula life sentence.Apo ungekua mfupi kama wao sijui nani angekua anaandika hapa saivi
MbnaPeleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.
Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.
Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.
Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.


unanitisha mkuuWadogo zake wangeandikaa yaanApo ungekua wafupi kama wao sijui nani angekua anaandika hapa saivi