Hili ni janga la officin inabidi likemewe kwa nguvu zote, hapa nilipo sina amani na kazi baada ya mmoja wa wafanyakazi wenzangu kulazimisha kudinyana nami nishamgomea afu amekuwa na chuki na mimi kiasi kwamba kuna hatari mbeleni. Na nimeapa asilani siwezi kuvuliwa pichu nae. Sasa ni mwendo wa kunitafutia makosa tu. Ila najitahidi kufanya kazi kwa umakini ili ikosekane sababu.
Haya mambo ya kutukanana haya? eti unamtongoza mwanamke anakwambia unajua wewe kaka nilikuwa nakuheshimu sana! duh sasa sijui nimeivunjia wapi hiyo heshima nae hana mtu huo ni UKOROFI.
Kumbe ni wewe ndo uliyeiibua thread ya tangu mwaka jana na kuileta upya hapa. Nashangaa kupata notification za thread ya tangu Nov, 2014.
Ulikuwa wapi November? Haya pita uwasalimie huko uendako na usipite tena hapa.