Nimeogopa

Dah,yaani kumbe na Mimi unaniona jibaba Kasinde , halafu ndo umekuja kutuanika huku?, FYI am still kijana n nilikuwa nakusifia kawaida tu maana ulipendeza...kah!
 
Last edited by a moderator:
Uwatukane wamefanyaje.., kwa hiyo kama umependeza wasikusifie...

Yaani kuwatukana siwezi, kusifiwa pia sio dhambi, lakini kuna ile....
Eeeeeh Kasie kumbe una usafiri mzuri eeehhh huku anakuangalia kwa jicho la mate kumtoka, hapo lazima ukae vizuri maana anaonesha kabisa akili ishahama juu inashuka chini. Humu maofisini ni majanga matupu
 
wasidie tu kuliko kuacha kitu iliwe kwa mkopo tena game la ofisini hua tamu kinoma wangu test radha yake uone

Naanzia wapi Kaside mie ujanja wangu wote habari ya kudinyana ofisini siiwezi aisee, mie huwa siendagi kwa mkopo wala siuzi, nafanya kitu roho inapenda kwa raha zangu. We endelea kuinjoi hilo game la ofisi mie siwezi hata jarobu kuonja
 
Na wengine wangekuwa wanabandika hivi matangazo yao ya kujiuza ingekuwa poa,

Big UP KASINDE kwa tangazo zuri washindwe wenyewe
 
bwana we jipendekeze kwa mmoja basi mwite baby baby huku unamyima wengine watakuita shemeji basi umekata mzizi wa fitna loh

weeeh nikijipendekeza na utani wa baby atafanya kweli, maana naona anaoitana shemeji siku ingine utaskia sasa shemeji tuzime taa, hapo kamshika mdada kiuno au kamkumbatia begani aaahh maofisi haya, majanga matupu.
 
Hizi ndizo aina za ofisi ambazo ukifika, unaambiwa 'subiri kidogo utahudumiwa' kumbe mijitu inawaza kudinya na kudinywa tu.
Poor Tanzania
^^

Ni shiiideeerrr bin majanga
 
Naona bora uwaeleze mambo ya kijinga hupendelei kazini. Wajue kuna limit na wewe kusikiliza upuuzi wao, simply they're sexual starved.

Yaani nawashangaa kwakweli yaani ule uoga wa kuwa wako ofcn hawana hata kidogo. Halafu wote wameoa na wanawake zao majumbani, yaani niko sirias kwenye komputer wanajiongelesha tuu mie nawatizama tuu.
 
weeeh nikijipendekeza na utani wa baby atafanya kweli, maana naona anaoitana shemeji siku ingine utaskia sasa shemeji tuzime taa, hapo kamshika mdada kiuno au kamkumbatia begani aaahh maofisi haya, majanga matupu.

achana nao hao kumbe haaa adamu kula lunch zao tu
 

Na ujanja wangu wote am worried.
Ai weweee!
Si uwape tu, acha kuwabania wenzio. Wala usiogope mwaya kwani we si mkubwa mwenzao?


(Well, it seems like that's what you want to hear from us. There, have at it!!!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…