Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.

Warda ni Hotelia katika moja ya Hoteli kubwa hapa DSM, Hoteli ya nyota nne, iliyopo Maeneo ya posta. Nilikutana naye wiki moja iliyopita, nilipofika kwenye Hoteli hiyo kibiashara na rafiki zangu. Warda ndiye aliyetuhudumia siku Ile, nami sikuona ajizi kuomba contact zake baada ya moyo wangu kuvurugwa vibaya na ulimbwende wake. Baada ya mawasiliano ya Muda wa siku sita hivi Warda nilifanikiwa kumshawishi Warda na kujikuta tukiingia katika mapenzi Moto Moto. Kabla ya Jana, tulikutana mara mbili katika Migahawa ya Milimani City tukala na kunywa vinywaji vyepesi kisha kila mmoja alishika njia yake kurudi maskani yake.

Jokajeusi sina pesa za kivile, lakini haiba yangu imekuwa urimbo wa kunasia mabinti warembo Kama alivyo Warda. Basi hapa na pale, Jana tulipanga tungekutana. Na ndivyo ilivyokuwa. Tulikutana, mida ya saa moja unusu Maeneo ya Makumbusho, kwenye Lodge ya nzuri ya daraja la Kati. Sikuwa na pesa za kwenda naye Hotelini, pesa kidogo nilizonazo nilizikadiria kuzifurahia Kwa kutafuta Lodge nzuri, na pesa zilizobakia zingetumika kwenye Kula na kunywa.

Hata hivyo eneo la Makumbusho ilipo Lodge Ile lilikuwa ni chagua sahihi ukizingatia Mimi nimeoa, na Warda naye Kwa madai yake kaolewa, na ndoa yake haina hata miaka miwili. Warda anakaa Tabata, Mimi maskani yangu ni MBEZI Tangibovu. Basi, Mimi ndiye nilikuwa wa Kwanza kufika, kusudi nitayarishe mazingira. Baadaye Warda akifika saa moja unusu, hakuna aliyekuja na usafiri binafsi Kama tulivyozoea kukutana. Baada ya kumpa maelekezo ya chumba nilichopo, Warda afika Chumba nilichopo. Warda alipendeza nyie acheni, alivalia Suruali nyepesi Nyeusi, blauzi ya kijivu yenye Maya maua, shingoni akiwa na mkufu. Manukato na marashi yake yalizidi kunichanganya. Chini alivalia Mosimo Kama za kijivu hivi.

MZOZO UNAANZA;

Baada ya kuketi kwenye kitanda, tukiwa tumesalimiana Kwa kukumbatiana, Warda akavua viatu, saa yake ya mkononi, kisha tukazungumza kidogo. Hapo tayari nilikuwa nimeshaagiza vinywaji na chakula. Vinywaji na chakula vikaletwa, tukawa tunakunywa, Ila chakula hakuna aliyekuwa na muda nacho licha ya kuwa ilikuwa nyama zilizotengenezwa vizuri. Katika kubugua mafumba ya vinywaji, Warda akaona uzito mwilini, akapunguza Ile Blauzi na Suruali, akabakiwa na chupi Aina ya bikini, kiunoni zikiwepo shanga, Warda hakuvaa Brazia, nafikiri ni kutokana na maziwa yake mazuri yaliyosimama Dede.

Nikuambie tuu, Warda alikuwa mzuri pengine sijawahi kuona mwanamke mzuri Kama yeye. Kitendo cha yeye kuzipunguza nguo zake na kubakia na bikini kiliyafanya macho yangu kuufaidi uzuri wake. Nyonga zake za wastani, matako yake makubwa laini, huku mapaja yake yanayomeremeta yaliyotuna kutokana na yeye kukaa kitandani vilizidi kuamsha hasira za hisia zangu. Moyo wangu ulilipuka Kwa shauku, sikuwa na uwezo tena kuzuia hisia zangu. Nikajikuta namkumbatia na kuanza kupeana Romance, huku mikono yangu ikipita huku na huku mwilini mwake. Sikutaka mikono yangu iondoke mwilini mwake, nilizichezea shanga zake zilizokifunga kiuno chake Kama tunguli.

Basi baada ya kuchezeana Kwa muda usiopungua dakika Saba, Warda akanishika na kunitoa mwilini mwake, Hapo tukawa tunatazamana, kisha akaniambia, nisiwe na haraka usiku wote tungekuwa wote. Lakini katika hali isiyoeleweka, nikashangaa Warda akiukunja uso wake huku akitazama huku na huko. Hali hiyo ikanifanya niingie wasiwasi. Nami nikawa naangalia huko na huko mule chumbani kuona hicho anachokiangalia Warda. Sikuona kitu. Warda akaniambia, hiyo harufu huwaga siipendi. Sasa Mimi nikawa najaribu kuelekeza pua yangu Kama antenna huku na huku ili nisikie hiyo harufu lakini sikusikii harufu yoyote isipokuwa harufu ya manukato na marashi yake. Nikamuuliza, harufu gani? Akajibu, wewe hunisikii?

Ili nisimkere nikajaribu tena kuinua pua yangu, kisha nikainuka kutembea tembea kwenye kile chumba lakini wapi. Nikaingia Ulipo mlango wa maliwatoni wa kile chumba lakini wapi sikusikia harufu yoyote isipokuwa harufu ya manukato na marashi yake. Nikarudi kitandani, nikamkumbatia Warda, kisha tukapeana denda, lakini ghafla akanitoa tena, uso wake akiwa kaukunja na sasa mwili wake ukiwa unatetema Kwa mbali kidogo. Hali hiyo ikanifanya nimhofie. Lakini kabla hofu yangu haijafika popote, punde harufu nyepesi ya UDI ilipenya katika pua zangu. Hapo nikakumbuka maneno ya Warda kuwa kuna harufu anaisikia.

Nikamtazama Kwa macho ya mtu aliyekipata kitu alichokuwa anakitafuta. Nikamuuliza; harufu uliyokuwa unaisikia ni harufu ya Udi? Akaniitikia Kwa kutingisha kichwa. Kisha nikamuuliza; unamajini? Hakunijibu, akanitazama Kwa macho ya udadisi na wasiwasi. Nikamwambia asijali, kisha nikatamba kuwa Mimi makini na mapepo siyaogopi, Akatabasamu bado macho yetu yakiwa yanatazamana.

Punde Ile harufu ikabdilika ikawa kana kwamba kama kuna Moshi unaingia mule ndani wenye harufu Kama ya unyoya wa kuku unaochomwa. Hali hiyo ikanifanya nianze kulichukulia Jambo lile Kwa tahadhari pasipo masikhara. Hofu ilikuwa imeshanikabili. Warda akasema, yaani hao wameshaharibu kila kitu" Sasa Mimi nikawa najiuliza ni Nani aliyechoma huo UDI, na ule Moshi wenye harufu ya unyoya unaochomwa unatokea wapi ukizingatia Lodge Ile imezungushiwa uzio. Nikawaza au chumba cha Jirani ndio wamechoma UDI lakini yalikuwa maswali yasiyo na majibu.

Basi nikamshika tena Warda, nikataka kumnyonya denda nikiwa nampapasa akanikataza. Huku akisema, wameshaharibu.
Akimaanisha waliochoma UDI. Nikawa namletea mzaha, namwambia makini siyaogopi, na Leo ninayofuraha kumla mwanamke na majini yake. Akanitazama Kwa macho makavu ambayo awali yalikuwa makubwa ya wastani mazuri yanayorembua lakini wakati huu yalikuwa ni macho mazuri yenye utisho kiasi. Nami nikawa namkazia macho ili asijeona namuogopa ingawaje moyoni tayari hofu iliniingia, Warda alikuwa na macho yanayoogopesha jamani.

Ili kuonyesha simuogopi nikamkumbatia kisha nikapeleka Mkono ilipo Papuchi yake, hapo ndipo kizaazaa kilipozuka. Warda alinikamata Kwa nguvu, na kabla hajafanya maamuzi nikaijua dhamira yake kuwa anataka kuniangusha, nami nikajitutumua Kwa nguvu nikashika mikono yake, tukaanza kuyumbishana huku Warda akikoroma na macho yake akiyatoa nje, Hali hiyo ikanifanya nijue Warda Hakuwa anatania, Kwa maana Mwanzoni nilihisi masikhara.

Katika kukuru kakara, nikiwa nimemdhibiti na kukushika vyema, nikalisogelea sikio lake, nikaongea maneno ya kikulungwa kimoyo moyo. Warda akatulia, akazinduka kama aliyekuwa hajui lilichotokea akiwa nusu akili nusu mwendawazimu. Sasa hamu yangu ilikuwa imefika sifuri, Akatabasamu kisha Kwa Aibu akaniuliza; nimekupigia? Nikamjibu, hapana. Anatoka akaenda bafuni akajimwagia maji usoni. Kisha akarejea.

Ile harufu sasa ilikuwa imeisha, yapata saa mbili unusu usiku. Yaani lisaa limoja tangu tuwe mule ndani. Warda akaniambia hajisikii vizuri, na akaniambia tuahirishe mchezo siku Ile. Hata hivyo Mimi sikuwa tayari kuahirisha, nilitaka na kudhamiria kulala naye.
Ingawaje niliona hatari ya kulala naye lakini baada ya varangati la Kwanza nikaona Nina nguvu za kumdhibiti. Nikamwambia, Mimi nataka leo Kwa kumbembeleza. Akanijibu, hayuko vizuri na ananionea huruma.

Kauli hiyo licha ya kuwa siipendi niambiwapo na mtu yeyote, lakini pia ilinitisha, kwani uso wake ulimaanisha alichokuwa anakisema. Tukiwa tumekaribiana Kwa umbali sifuri, nikamkumbatia na kuanza kumpapasa tena, wakati huu nikifanya hayo Kwa umakini nikiwa macho. Alitulia na kuanza kupata hisia. Niliendelea hivyo kwa dakika tano kabla sijashika Papuchi ambapo varangati likaanza tena.

Mara hii, Warda mwili wake ulitetema Kama uji mzito unavyotokota. Akanisukuma Kwa nguvu Sana. Nikaanguka chini nikiwa na Boxer tuu. Kisha Kwa upesi nikijua kuwa sipaswi nimpe nafasi ya kunijia pale chini, nikaamka. Bado Warda alikuwa akitetrmeka akiwa amelala kitandani akiruka ruka Kama mtu mwenye mapepo wabaya wenye nguvu. Mimi nikawa nimesimama namtazama nikijizuia kumsogelea.

Kwa upesi Warda akaamka na kunitazama macho yake akiwa kayatoa, kisha akatabasamu akawa Kama mwendawazimu akinifuata Kwa roughly akienda upande huu na upande huu. Sasa hapo nami nikawa namkazia macho nikijaribu kuyaonyesha majini yake kuwa Mimi sio muoga. Naye alikuwa akienda roughly zigzag huku macho yake yakiwa kwangu. Hapo akaanza kuongea Kwa sauti isiyoyake licha ya kupitia mdomoni mwake, sauti nzito ya kiume yenye kautisho Fulani. Akaniambia; Hapendi wanaume, hataki wanaume, na siwezi kulala naye.

Nikamuuliza, Kwa hiyo hunipendi? Akanijibu, ndio, Kisha akasema; Nakuonea huruma. Muda huo alikuwa ameshanikaribia tukiwa tunatazamana yeye akiyumba huku na huku. Nikacheka, nikijaribu kuonyesha ujasiri wangu. Kisha nikayatukana, na kuyaambia leo natatoomba yenyewe na huyo Mrembo. Ghafla Kwa nguvu nisizoweza kuzieleza, Warda alikinyanyua kitanda Kwa nguvu na kukibamiza ukutani, kabla sijamalizia kushangaa hilo akaenda kwenye kimeza zilipo chupa na zile nyama.

Akili yangu ikagundua nini kinaenda kutokea, Kama nilivyofikiri akiwa katika ubora wake Kwa Kasi akaichukua chupa ambayo ilikuwa na kinywaji nusu akanirushia nami sikuchelewa nikainama ikapita na kupiga ukutani ikapasuka na kurusha kile kinywaji. Nikamuwahi Kwa upesi nikampiga Teke la nyonga akaondoka chini Ulipo mlango wa bafu. Kabla hajaamka nikawa nimefika pale, nikampiga makofi mawili mazito, lakini ni Kama hakuyasikia licha ya kumresha tena chini.

Akataka kuamka lakini nikamshika mikono yake. Aisee! Hapo ndipo nilipofanya makosa. Warda alikuwa na nguvu sijawahi kufikiri.
Alinisukuma Kwa nguvu nyingi nikaanguka kwenye Ile meza yenye ambayo Kwa sasa ilibaki chupa moja ambayo nayo ikaanguka baada ya Mimi kuiangukia. Warda hakunipa nafasi na majini yake akanifuata pale chini akaninyanyua Kwa kunikaba kwenye shingo, nikajaribu kufurukuta lakini wapi.

Nilipoona kufurukuta kumenishinda na sasa pumzi inakata, nikamshika kichwani, akawa anakwepesha, lakini niliposhika paji lake la uso vizuri, nikanong'ona maneno ya Kikulungwa. Nikaona haachii. Nikakazana kunena maneno ya Kikulungwa huku nikimtishia Yule jini mbaya aliyemvaa Warda. Nikaona mikono yake inaanza kuachia shingoni kwangu, nikakazana mpaka aliponiachia na kunitupa upande mwingine.

Nikiwa pale chini nikawa natweta nikijaribu kuivuta pumzi Kwa nguvu, mikono yangu ikiwa shingoni huku macho yakiwa Kwa Warda aliyesimama hatua chache kutoka pale aliponirusha. Warda akawa anacheka huku akinitazama kama aliyenishinda.
Nikamuona akiinama akaokota kipande cha chupa iliyopasuka akiwa kashika Ulipo mdomo WA chupa. Nilipoona hivyo nikajua hii ishu imekuwa kubwa, nikileta mchezo naweza pata madhara.

Kama nisiyeamini, Warda akiwa ameishika Ile chupa akajikata kwenye Mkono wake kisha damu ikawa inamwagika, akaulamba Mkono wake pale alipojikata. Sikuamini, na wala sikuwa naamini, nilijiona Kama naota ndoto mbaya Sana. Warda akasema Kwa sauti isiyo yake, sauti nzito huku akitabasamu; "Nilikuambia nakuhurumia, lakini wewe hujihurumii, sasa nakuua, damu yako nitainywa"

Kijasho chepesi kilianza kupenya kwenye makwapa yangu, kijasho cha hofu, uso wangu ulishazingirwa na wasiwasi. Warda akanisogelea macho yake yakiwa kwangu nami nikimtazama. Akiwa uchi na bikini yake huku shanga zikiwa zimeshikilia kiuno chake. Nikasimama pale chini, nikijiandaa na uvamizi wa Warda na majini yake. Sikumuona tena Kama Warda isipokuwa nilimuona Kama Jimi la kike lenye uzuri lakini lenye kiu ya damu. Nikamwambia; Mimi ni Jini mkubwa, leo nitakula wewe na huyu mrembo.

Warda akanirusha Mkono wake alishika chupa nikakwepa, akarusha tena nikainama, sasa alikuwa amenikaribia, nami nilikuwa nimerudi nyuma na kufikia ukingoni Ulipo ukuta wa kile chumba. Warda akarusha tena Mkono wake nikamzuia lakini akawa amenikata kidogo mkononi, nikamnyonga Mkono wake na kuuvunja, akaiachia Ile chupa. Hapo akaanza kunguruma Kama Simba, akanikamata Kwa nguvu zote lakini Mkono mmoja ukiwa hauna nguvu Kama ule WA pili. Lakini bado nilimuona ananguvu.

Tukavurugana pale, mara kadhaa akiupeleka Mkono wake kwenye uume wangu huku akisema ataukata. Nami nikawa najizuia, zile kelele zikafanya watu wagonge mlango wa chumba chetu, lakini ulikuwa mlango tulikuwa tumeufunga. Warda nguvu zake zikaongezeka maradufu, sasa nikawa simuwezi tena. Alikuwa kanishinda kinguvu za mwili. Alinibamiza huku na huku ukutani, akanikaba mpaka nikawa napiga kelele za msaada nikiwaambia Wale waliomo mlango wauvunje waje wanisaidie.

Warda akanishika kooni na kuanza Kwa nguvu Kama mtu anataka kuvunja shingo. Pumzi ikawa haipiti, nikahisi akili inamchanganyiko na macho yangu yakaanza kuona kiza licha ya taa iliyokuwa ikiwaka. Nashukuru, HAKUKUMBUKA kuvuta korodani na uume wangu kwani Kwa muda ule alikuwa keshanidhibiti. Nikakumbuka kusema maneno ya Kikulungwa. Nikavuta nguvu zote, nikawa nimeshika kichwani Kwa mikono yangu miwili nikasema maneno kadhaa Kwa kunong'ona sauti ikikwaruza. Punde mlango ukavunjwa, watu wakaingia, wakamuwahi Warda lakini hawakufua Dafu, Warda aliwasukuma huko akiwa kaniachia Mimi.

Walikuwa wanaume wawili na wenzi wao, pamoja na mhudumu mmoja wa kike aliyetuhudumia mwanzo. Nikiwa pale chini, nikihaha Kwa tukio lile nilivuta pumzi Kwa papara huku nikiuangalia jinsi Wale wanaume wawili wakipambana na Warda. Jana mwenzenu ilibaki kidogo roho itoke.

Jokajeusi
Ww Joka jeusi shukuru Mungu walah huyo jini angekuzuru.... Inaonekana anampenda huyo dada hadi basi

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.

Warda ni Hotelia katika moja ya Hoteli kubwa hapa DSM, Hoteli ya nyota nne, iliyopo Maeneo ya posta. Nilikutana naye wiki moja iliyopita, nilipofika kwenye Hoteli hiyo kibiashara na rafiki zangu. Warda ndiye aliyetuhudumia siku Ile, nami sikuona ajizi kuomba contact zake baada ya moyo wangu kuvurugwa vibaya na ulimbwende wake. Baada ya mawasiliano ya Muda wa siku sita hivi Warda nilifanikiwa kumshawishi Warda na kujikuta tukiingia katika mapenzi Moto Moto. Kabla ya Jana, tulikutana mara mbili katika Migahawa ya Milimani City tukala na kunywa vinywaji vyepesi kisha kila mmoja alishika njia yake kurudi maskani yake.

Jokajeusi sina pesa za kivile, lakini haiba yangu imekuwa urimbo wa kunasia mabinti warembo Kama alivyo Warda. Basi hapa na pale, Jana tulipanga tungekutana. Na ndivyo ilivyokuwa. Tulikutana, mida ya saa moja unusu Maeneo ya Makumbusho, kwenye Lodge ya nzuri ya daraja la Kati. Sikuwa na pesa za kwenda naye Hotelini, pesa kidogo nilizonazo nilizikadiria kuzifurahia Kwa kutafuta Lodge nzuri, na pesa zilizobakia zingetumika kwenye Kula na kunywa.

Hata hivyo eneo la Makumbusho ilipo Lodge Ile lilikuwa ni chagua sahihi ukizingatia Mimi nimeoa, na Warda naye Kwa madai yake kaolewa, na ndoa yake haina hata miaka miwili. Warda anakaa Tabata, Mimi maskani yangu ni MBEZI Tangibovu. Basi, Mimi ndiye nilikuwa wa Kwanza kufika, kusudi nitayarishe mazingira. Baadaye Warda akifika saa moja unusu, hakuna aliyekuja na usafiri binafsi Kama tulivyozoea kukutana. Baada ya kumpa maelekezo ya chumba nilichopo, Warda afika Chumba nilichopo. Warda alipendeza nyie acheni, alivalia Suruali nyepesi Nyeusi, blauzi ya kijivu yenye Maya maua, shingoni akiwa na mkufu. Manukato na marashi yake yalizidi kunichanganya. Chini alivalia Mosimo Kama za kijivu hivi.

MZOZO UNAANZA;

Baada ya kuketi kwenye kitanda, tukiwa tumesalimiana Kwa kukumbatiana, Warda akavua viatu, saa yake ya mkononi, kisha tukazungumza kidogo. Hapo tayari nilikuwa nimeshaagiza vinywaji na chakula. Vinywaji na chakula vikaletwa, tukawa tunakunywa, Ila chakula hakuna aliyekuwa na muda nacho licha ya kuwa ilikuwa nyama zilizotengenezwa vizuri. Katika kubugua mafumba ya vinywaji, Warda akaona uzito mwilini, akapunguza Ile Blauzi na Suruali, akabakiwa na chupi Aina ya bikini, kiunoni zikiwepo shanga, Warda hakuvaa Brazia, nafikiri ni kutokana na maziwa yake mazuri yaliyosimama Dede.

Nikuambie tuu, Warda alikuwa mzuri pengine sijawahi kuona mwanamke mzuri Kama yeye. Kitendo cha yeye kuzipunguza nguo zake na kubakia na bikini kiliyafanya macho yangu kuufaidi uzuri wake. Nyonga zake za wastani, matako yake makubwa laini, huku mapaja yake yanayomeremeta yaliyotuna kutokana na yeye kukaa kitandani vilizidi kuamsha hasira za hisia zangu. Moyo wangu ulilipuka Kwa shauku, sikuwa na uwezo tena kuzuia hisia zangu. Nikajikuta namkumbatia na kuanza kupeana Romance, huku mikono yangu ikipita huku na huku mwilini mwake. Sikutaka mikono yangu iondoke mwilini mwake, nilizichezea shanga zake zilizokifunga kiuno chake Kama tunguli.

Basi baada ya kuchezeana Kwa muda usiopungua dakika Saba, Warda akanishika na kunitoa mwilini mwake, Hapo tukawa tunatazamana, kisha akaniambia, nisiwe na haraka usiku wote tungekuwa wote. Lakini katika hali isiyoeleweka, nikashangaa Warda akiukunja uso wake huku akitazama huku na huko. Hali hiyo ikanifanya niingie wasiwasi. Nami nikawa naangalia huko na huko mule chumbani kuona hicho anachokiangalia Warda. Sikuona kitu. Warda akaniambia, hiyo harufu huwaga siipendi. Sasa Mimi nikawa najaribu kuelekeza pua yangu Kama antenna huku na huku ili nisikie hiyo harufu lakini sikusikii harufu yoyote isipokuwa harufu ya manukato na marashi yake. Nikamuuliza, harufu gani? Akajibu, wewe hunisikii?

Ili nisimkere nikajaribu tena kuinua pua yangu, kisha nikainuka kutembea tembea kwenye kile chumba lakini wapi. Nikaingia Ulipo mlango wa maliwatoni wa kile chumba lakini wapi sikusikia harufu yoyote isipokuwa harufu ya manukato na marashi yake. Nikarudi kitandani, nikamkumbatia Warda, kisha tukapeana denda, lakini ghafla akanitoa tena, uso wake akiwa kaukunja na sasa mwili wake ukiwa unatetema Kwa mbali kidogo. Hali hiyo ikanifanya nimhofie. Lakini kabla hofu yangu haijafika popote, punde harufu nyepesi ya UDI ilipenya katika pua zangu. Hapo nikakumbuka maneno ya Warda kuwa kuna harufu anaisikia.

Nikamtazama Kwa macho ya mtu aliyekipata kitu alichokuwa anakitafuta. Nikamuuliza; harufu uliyokuwa unaisikia ni harufu ya Udi? Akaniitikia Kwa kutingisha kichwa. Kisha nikamuuliza; unamajini? Hakunijibu, akanitazama Kwa macho ya udadisi na wasiwasi. Nikamwambia asijali, kisha nikatamba kuwa Mimi makini na mapepo siyaogopi, Akatabasamu bado macho yetu yakiwa yanatazamana.

Punde Ile harufu ikabdilika ikawa kana kwamba kama kuna Moshi unaingia mule ndani wenye harufu Kama ya unyoya wa kuku unaochomwa. Hali hiyo ikanifanya nianze kulichukulia Jambo lile Kwa tahadhari pasipo masikhara. Hofu ilikuwa imeshanikabili. Warda akasema, yaani hao wameshaharibu kila kitu" Sasa Mimi nikawa najiuliza ni Nani aliyechoma huo UDI, na ule Moshi wenye harufu ya unyoya unaochomwa unatokea wapi ukizingatia Lodge Ile imezungushiwa uzio. Nikawaza au chumba cha Jirani ndio wamechoma UDI lakini yalikuwa maswali yasiyo na majibu.

Basi nikamshika tena Warda, nikataka kumnyonya denda nikiwa nampapasa akanikataza. Huku akisema, wameshaharibu.
Akimaanisha waliochoma UDI. Nikawa namletea mzaha, namwambia makini siyaogopi, na Leo ninayofuraha kumla mwanamke na majini yake. Akanitazama Kwa macho makavu ambayo awali yalikuwa makubwa ya wastani mazuri yanayorembua lakini wakati huu yalikuwa ni macho mazuri yenye utisho kiasi. Nami nikawa namkazia macho ili asijeona namuogopa ingawaje moyoni tayari hofu iliniingia, Warda alikuwa na macho yanayoogopesha jamani.

Ili kuonyesha simuogopi nikamkumbatia kisha nikapeleka Mkono ilipo Papuchi yake, hapo ndipo kizaazaa kilipozuka. Warda alinikamata Kwa nguvu, na kabla hajafanya maamuzi nikaijua dhamira yake kuwa anataka kuniangusha, nami nikajitutumua Kwa nguvu nikashika mikono yake, tukaanza kuyumbishana huku Warda akikoroma na macho yake akiyatoa nje, Hali hiyo ikanifanya nijue Warda Hakuwa anatania, Kwa maana Mwanzoni nilihisi masikhara.

Katika kukuru kakara, nikiwa nimemdhibiti na kukushika vyema, nikalisogelea sikio lake, nikaongea maneno ya kikulungwa kimoyo moyo. Warda akatulia, akazinduka kama aliyekuwa hajui lilichotokea akiwa nusu akili nusu mwendawazimu. Sasa hamu yangu ilikuwa imefika sifuri, Akatabasamu kisha Kwa Aibu akaniuliza; nimekupigia? Nikamjibu, hapana. Anatoka akaenda bafuni akajimwagia maji usoni. Kisha akarejea.

Ile harufu sasa ilikuwa imeisha, yapata saa mbili unusu usiku. Yaani lisaa limoja tangu tuwe mule ndani. Warda akaniambia hajisikii vizuri, na akaniambia tuahirishe mchezo siku Ile. Hata hivyo Mimi sikuwa tayari kuahirisha, nilitaka na kudhamiria kulala naye.
Ingawaje niliona hatari ya kulala naye lakini baada ya varangati la Kwanza nikaona Nina nguvu za kumdhibiti. Nikamwambia, Mimi nataka leo Kwa kumbembeleza. Akanijibu, hayuko vizuri na ananionea huruma.

Kauli hiyo licha ya kuwa siipendi niambiwapo na mtu yeyote, lakini pia ilinitisha, kwani uso wake ulimaanisha alichokuwa anakisema. Tukiwa tumekaribiana Kwa umbali sifuri, nikamkumbatia na kuanza kumpapasa tena, wakati huu nikifanya hayo Kwa umakini nikiwa macho. Alitulia na kuanza kupata hisia. Niliendelea hivyo kwa dakika tano kabla sijashika Papuchi ambapo varangati likaanza tena.

Mara hii, Warda mwili wake ulitetema Kama uji mzito unavyotokota. Akanisukuma Kwa nguvu Sana. Nikaanguka chini nikiwa na Boxer tuu. Kisha Kwa upesi nikijua kuwa sipaswi nimpe nafasi ya kunijia pale chini, nikaamka. Bado Warda alikuwa akitetrmeka akiwa amelala kitandani akiruka ruka Kama mtu mwenye mapepo wabaya wenye nguvu. Mimi nikawa nimesimama namtazama nikijizuia kumsogelea.

Kwa upesi Warda akaamka na kunitazama macho yake akiwa kayatoa, kisha akatabasamu akawa Kama mwendawazimu akinifuata Kwa roughly akienda upande huu na upande huu. Sasa hapo nami nikawa namkazia macho nikijaribu kuyaonyesha majini yake kuwa Mimi sio muoga. Naye alikuwa akienda roughly zigzag huku macho yake yakiwa kwangu. Hapo akaanza kuongea Kwa sauti isiyoyake licha ya kupitia mdomoni mwake, sauti nzito ya kiume yenye kautisho Fulani. Akaniambia; Hapendi wanaume, hataki wanaume, na siwezi kulala naye.

Nikamuuliza, Kwa hiyo hunipendi? Akanijibu, ndio, Kisha akasema; Nakuonea huruma. Muda huo alikuwa ameshanikaribia tukiwa tunatazamana yeye akiyumba huku na huku. Nikacheka, nikijaribu kuonyesha ujasiri wangu. Kisha nikayatukana, na kuyaambia leo natatoomba yenyewe na huyo Mrembo. Ghafla Kwa nguvu nisizoweza kuzieleza, Warda alikinyanyua kitanda Kwa nguvu na kukibamiza ukutani, kabla sijamalizia kushangaa hilo akaenda kwenye kimeza zilipo chupa na zile nyama.

Akili yangu ikagundua nini kinaenda kutokea, Kama nilivyofikiri akiwa katika ubora wake Kwa Kasi akaichukua chupa ambayo ilikuwa na kinywaji nusu akanirushia nami sikuchelewa nikainama ikapita na kupiga ukutani ikapasuka na kurusha kile kinywaji. Nikamuwahi Kwa upesi nikampiga Teke la nyonga akaondoka chini Ulipo mlango wa bafu. Kabla hajaamka nikawa nimefika pale, nikampiga makofi mawili mazito, lakini ni Kama hakuyasikia licha ya kumresha tena chini.

Akataka kuamka lakini nikamshika mikono yake. Aisee! Hapo ndipo nilipofanya makosa. Warda alikuwa na nguvu sijawahi kufikiri.
Alinisukuma Kwa nguvu nyingi nikaanguka kwenye Ile meza yenye ambayo Kwa sasa ilibaki chupa moja ambayo nayo ikaanguka baada ya Mimi kuiangukia. Warda hakunipa nafasi na majini yake akanifuata pale chini akaninyanyua Kwa kunikaba kwenye shingo, nikajaribu kufurukuta lakini wapi.

Nilipoona kufurukuta kumenishinda na sasa pumzi inakata, nikamshika kichwani, akawa anakwepesha, lakini niliposhika paji lake la uso vizuri, nikanong'ona maneno ya Kikulungwa. Nikaona haachii. Nikakazana kunena maneno ya Kikulungwa huku nikimtishia Yule jini mbaya aliyemvaa Warda. Nikaona mikono yake inaanza kuachia shingoni kwangu, nikakazana mpaka aliponiachia na kunitupa upande mwingine.

Nikiwa pale chini nikawa natweta nikijaribu kuivuta pumzi Kwa nguvu, mikono yangu ikiwa shingoni huku macho yakiwa Kwa Warda aliyesimama hatua chache kutoka pale aliponirusha. Warda akawa anacheka huku akinitazama kama aliyenishinda.
Nikamuona akiinama akaokota kipande cha chupa iliyopasuka akiwa kashika Ulipo mdomo WA chupa. Nilipoona hivyo nikajua hii ishu imekuwa kubwa, nikileta mchezo naweza pata madhara.

Kama nisiyeamini, Warda akiwa ameishika Ile chupa akajikata kwenye Mkono wake kisha damu ikawa inamwagika, akaulamba Mkono wake pale alipojikata. Sikuamini, na wala sikuwa naamini, nilijiona Kama naota ndoto mbaya Sana. Warda akasema Kwa sauti isiyo yake, sauti nzito huku akitabasamu; "Nilikuambia nakuhurumia, lakini wewe hujihurumii, sasa nakuua, damu yako nitainywa"

Kijasho chepesi kilianza kupenya kwenye makwapa yangu, kijasho cha hofu, uso wangu ulishazingirwa na wasiwasi. Warda akanisogelea macho yake yakiwa kwangu nami nikimtazama. Akiwa uchi na bikini yake huku shanga zikiwa zimeshikilia kiuno chake. Nikasimama pale chini, nikijiandaa na uvamizi wa Warda na majini yake. Sikumuona tena Kama Warda isipokuwa nilimuona Kama Jimi la kike lenye uzuri lakini lenye kiu ya damu. Nikamwambia; Mimi ni Jini mkubwa, leo nitakula wewe na huyu mrembo.

Warda akanirusha Mkono wake alishika chupa nikakwepa, akarusha tena nikainama, sasa alikuwa amenikaribia, nami nilikuwa nimerudi nyuma na kufikia ukingoni Ulipo ukuta wa kile chumba. Warda akarusha tena Mkono wake nikamzuia lakini akawa amenikata kidogo mkononi, nikamnyonga Mkono wake na kuuvunja, akaiachia Ile chupa. Hapo akaanza kunguruma Kama Simba, akanikamata Kwa nguvu zote lakini Mkono mmoja ukiwa hauna nguvu Kama ule WA pili. Lakini bado nilimuona ananguvu.

Tukavurugana pale, mara kadhaa akiupeleka Mkono wake kwenye uume wangu huku akisema ataukata. Nami nikawa najizuia, zile kelele zikafanya watu wagonge mlango wa chumba chetu, lakini ulikuwa mlango tulikuwa tumeufunga. Warda nguvu zake zikaongezeka maradufu, sasa nikawa simuwezi tena. Alikuwa kanishinda kinguvu za mwili. Alinibamiza huku na huku ukutani, akanikaba mpaka nikawa napiga kelele za msaada nikiwaambia Wale waliomo mlango wauvunje waje wanisaidie.

Warda akanishika kooni na kuanza Kwa nguvu Kama mtu anataka kuvunja shingo. Pumzi ikawa haipiti, nikahisi akili inamchanganyiko na macho yangu yakaanza kuona kiza licha ya taa iliyokuwa ikiwaka. Nashukuru, HAKUKUMBUKA kuvuta korodani na uume wangu kwani Kwa muda ule alikuwa keshanidhibiti. Nikakumbuka kusema maneno ya Kikulungwa. Nikavuta nguvu zote, nikawa nimeshika kichwani Kwa mikono yangu miwili nikasema maneno kadhaa Kwa kunong'ona sauti ikikwaruza. Punde mlango ukavunjwa, watu wakaingia, wakamuwahi Warda lakini hawakufua Dafu, Warda aliwasukuma huko akiwa kaniachia Mimi.

Walikuwa wanaume wawili na wenzi wao, pamoja na mhudumu mmoja wa kike aliyetuhudumia mwanzo. Nikiwa pale chini, nikihaha Kwa tukio lile nilivuta pumzi Kwa papara huku nikiuangalia jinsi Wale wanaume wawili wakipambana na Warda. Jana mwenzenu ilibaki kidogo roho itoke.

Jokajeusi
Pole sana mkuu , naelewa ni nini unazungumza , dah popote ulipo Aidath ,Mungu anakuona shetani wewe.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Warda naye vipi hajasema anakupeleka kwa Ndugu zake chini ya Bahari.
Hahaha! Nasubiria hayo maneno ya Kikulungwa maana ukiwa MWANAUME lijali misala Kama hiyo yaweza tokea.
 
Umenikumbusha mbali sana....misala kama hii huwa inatokea sana... Nilisha ingiaga kwenye kumi na nane za aina hii kwa beki tatu wa home enzi tunakua. Alikuwa akiitwa Zuena....mtoto wa kisingida. Mweupe kama malaika. Romance haikuwa noma kwake...ishue ni pale utakapotaka mzigo....akikudaka shingo na ukachomoa, ni swala la kwenye ibadani kumshukuru mungu
 
Umenikumbusha mbali sana....misala kama hii huwa inatokea sana... Nilisha ingiaga kwenye kumi na nane za aina hii kwa beki tatu wa home enzi tunakua. Alikuwa akiitwa Zuena....mtoto wa kisingida. Mweupe kama malaika. Romance haikuwa noma kwake...ishue ni pale utakapotaka mzigo....akikudaka shingo na ukachomoa, ni swala la kwenye ibadani kumshukuru mungu
We ulikuwa mdebwedo tu

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Kwema Wakuu!

Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani. Ishu ilianza, majira ya saa moja jioni, ambapo nilikuwa nikiwasiliana na Mtoto mrembo aitwaye Warda. Warda ni Mdada wa miaka 25 -27 hivi, mwenye macho mazuri, mrembo mwenye umbo matata ambalo nikiri ndilo lililo nivutie mbali na Sura yake nzuri.

Warda ni Hotelia katika moja ya Hoteli kubwa hapa DSM, Hoteli ya nyota nne, iliyopo Maeneo ya posta. Nilikutana naye wiki moja iliyopita, nilipofika kwenye Hoteli hiyo kibiashara na rafiki zangu. Warda ndiye aliyetuhudumia siku Ile, nami sikuona ajizi kuomba contact zake baada ya moyo wangu kuvurugwa vibaya na ulimbwende wake. Baada ya mawasiliano ya Muda wa siku sita hivi Warda nilifanikiwa kumshawishi Warda na kujikuta tukiingia katika mapenzi Moto Moto. Kabla ya Jana, tulikutana mara mbili katika Migahawa ya Milimani City tukala na kunywa vinywaji vyepesi kisha kila mmoja alishika njia yake kurudi maskani yake.

Jokajeusi sina pesa za kivile, lakini haiba yangu imekuwa urimbo wa kunasia mabinti warembo Kama alivyo Warda. Basi hapa na pale, Jana tulipanga tungekutana. Na ndivyo ilivyokuwa. Tulikutana, mida ya saa moja unusu Maeneo ya Makumbusho, kwenye Lodge ya nzuri ya daraja la Kati. Sikuwa na pesa za kwenda naye Hotelini, pesa kidogo nilizonazo nilizikadiria kuzifurahia Kwa kutafuta Lodge nzuri, na pesa zilizobakia zingetumika kwenye Kula na kunywa.

Hata hivyo eneo la Makumbusho ilipo Lodge Ile lilikuwa ni chagua sahihi ukizingatia Mimi nimeoa, na Warda naye Kwa madai yake kaolewa, na ndoa yake haina hata miaka miwili. Warda anakaa Tabata, Mimi maskani yangu ni MBEZI Tangibovu. Basi, Mimi ndiye nilikuwa wa Kwanza kufika, kusudi nitayarishe mazingira. Baadaye Warda akifika saa moja unusu, hakuna aliyekuja na usafiri binafsi Kama tulivyozoea kukutana. Baada ya kumpa maelekezo ya chumba nilichopo, Warda afika Chumba nilichopo. Warda alipendeza nyie acheni, alivalia Suruali nyepesi Nyeusi, blauzi ya kijivu yenye Maya maua, shingoni akiwa na mkufu. Manukato na marashi yake yalizidi kunichanganya. Chini alivalia Mosimo Kama za kijivu hivi.

MZOZO UNAANZA;

Baada ya kuketi kwenye kitanda, tukiwa tumesalimiana Kwa kukumbatiana, Warda akavua viatu, saa yake ya mkononi, kisha tukazungumza kidogo. Hapo tayari nilikuwa nimeshaagiza vinywaji na chakula. Vinywaji na chakula vikaletwa, tukawa tunakunywa, Ila chakula hakuna aliyekuwa na muda nacho licha ya kuwa ilikuwa nyama zilizotengenezwa vizuri. Katika kubugua mafumba ya vinywaji, Warda akaona uzito mwilini, akapunguza Ile Blauzi na Suruali, akabakiwa na chupi Aina ya bikini, kiunoni zikiwepo shanga, Warda hakuvaa Brazia, nafikiri ni kutokana na maziwa yake mazuri yaliyosimama Dede.

Nikuambie tuu, Warda alikuwa mzuri pengine sijawahi kuona mwanamke mzuri Kama yeye. Kitendo cha yeye kuzipunguza nguo zake na kubakia na bikini kiliyafanya macho yangu kuufaidi uzuri wake. Nyonga zake za wastani, matako yake makubwa laini, huku mapaja yake yanayomeremeta yaliyotuna kutokana na yeye kukaa kitandani vilizidi kuamsha hasira za hisia zangu. Moyo wangu ulilipuka Kwa shauku, sikuwa na uwezo tena kuzuia hisia zangu. Nikajikuta namkumbatia na kuanza kupeana Romance, huku mikono yangu ikipita huku na huku mwilini mwake. Sikutaka mikono yangu iondoke mwilini mwake, nilizichezea shanga zake zilizokifunga kiuno chake Kama tunguli.

Basi baada ya kuchezeana Kwa muda usiopungua dakika Saba, Warda akanishika na kunitoa mwilini mwake, Hapo tukawa tunatazamana, kisha akaniambia, nisiwe na haraka usiku wote tungekuwa wote. Lakini katika hali isiyoeleweka, nikashangaa Warda akiukunja uso wake huku akitazama huku na huko. Hali hiyo ikanifanya niingie wasiwasi. Nami nikawa naangalia huko na huko mule chumbani kuona hicho anachokiangalia Warda. Sikuona kitu. Warda akaniambia, hiyo harufu huwaga siipendi. Sasa Mimi nikawa najaribu kuelekeza pua yangu Kama antenna huku na huku ili nisikie hiyo harufu lakini sikusikii harufu yoyote isipokuwa harufu ya manukato na marashi yake. Nikamuuliza, harufu gani? Akajibu, wewe hunisikii?

Ili nisimkere nikajaribu tena kuinua pua yangu, kisha nikainuka kutembea tembea kwenye kile chumba lakini wapi. Nikaingia Ulipo mlango wa maliwatoni wa kile chumba lakini wapi sikusikia harufu yoyote isipokuwa harufu ya manukato na marashi yake. Nikarudi kitandani, nikamkumbatia Warda, kisha tukapeana denda, lakini ghafla akanitoa tena, uso wake akiwa kaukunja na sasa mwili wake ukiwa unatetema Kwa mbali kidogo. Hali hiyo ikanifanya nimhofie. Lakini kabla hofu yangu haijafika popote, punde harufu nyepesi ya UDI ilipenya katika pua zangu. Hapo nikakumbuka maneno ya Warda kuwa kuna harufu anaisikia.

Nikamtazama Kwa macho ya mtu aliyekipata kitu alichokuwa anakitafuta. Nikamuuliza; harufu uliyokuwa unaisikia ni harufu ya Udi? Akaniitikia Kwa kutingisha kichwa. Kisha nikamuuliza; unamajini? Hakunijibu, akanitazama Kwa macho ya udadisi na wasiwasi. Nikamwambia asijali, kisha nikatamba kuwa Mimi makini na mapepo siyaogopi, Akatabasamu bado macho yetu yakiwa yanatazamana.

Punde Ile harufu ikabdilika ikawa kana kwamba kama kuna Moshi unaingia mule ndani wenye harufu Kama ya unyoya wa kuku unaochomwa. Hali hiyo ikanifanya nianze kulichukulia Jambo lile Kwa tahadhari pasipo masikhara. Hofu ilikuwa imeshanikabili. Warda akasema, yaani hao wameshaharibu kila kitu" Sasa Mimi nikawa najiuliza ni Nani aliyechoma huo UDI, na ule Moshi wenye harufu ya unyoya unaochomwa unatokea wapi ukizingatia Lodge Ile imezungushiwa uzio. Nikawaza au chumba cha Jirani ndio wamechoma UDI lakini yalikuwa maswali yasiyo na majibu.

Basi nikamshika tena Warda, nikataka kumnyonya denda nikiwa nampapasa akanikataza. Huku akisema, wameshaharibu.
Akimaanisha waliochoma UDI. Nikawa namletea mzaha, namwambia makini siyaogopi, na Leo ninayofuraha kumla mwanamke na majini yake. Akanitazama Kwa macho makavu ambayo awali yalikuwa makubwa ya wastani mazuri yanayorembua lakini wakati huu yalikuwa ni macho mazuri yenye utisho kiasi. Nami nikawa namkazia macho ili asijeona namuogopa ingawaje moyoni tayari hofu iliniingia, Warda alikuwa na macho yanayoogopesha jamani.

Ili kuonyesha simuogopi nikamkumbatia kisha nikapeleka Mkono ilipo Papuchi yake, hapo ndipo kizaazaa kilipozuka. Warda alinikamata Kwa nguvu, na kabla hajafanya maamuzi nikaijua dhamira yake kuwa anataka kuniangusha, nami nikajitutumua Kwa nguvu nikashika mikono yake, tukaanza kuyumbishana huku Warda akikoroma na macho yake akiyatoa nje, Hali hiyo ikanifanya nijue Warda Hakuwa anatania, Kwa maana Mwanzoni nilihisi masikhara.

Katika kukuru kakara, nikiwa nimemdhibiti na kukushika vyema, nikalisogelea sikio lake, nikaongea maneno ya kikulungwa kimoyo moyo. Warda akatulia, akazinduka kama aliyekuwa hajui lilichotokea akiwa nusu akili nusu mwendawazimu. Sasa hamu yangu ilikuwa imefika sifuri, Akatabasamu kisha Kwa Aibu akaniuliza; nimekupigia? Nikamjibu, hapana. Anatoka akaenda bafuni akajimwagia maji usoni. Kisha akarejea.

Ile harufu sasa ilikuwa imeisha, yapata saa mbili unusu usiku. Yaani lisaa limoja tangu tuwe mule ndani. Warda akaniambia hajisikii vizuri, na akaniambia tuahirishe mchezo siku Ile. Hata hivyo Mimi sikuwa tayari kuahirisha, nilitaka na kudhamiria kulala naye.
Ingawaje niliona hatari ya kulala naye lakini baada ya varangati la Kwanza nikaona Nina nguvu za kumdhibiti. Nikamwambia, Mimi nataka leo Kwa kumbembeleza. Akanijibu, hayuko vizuri na ananionea huruma.

Kauli hiyo licha ya kuwa siipendi niambiwapo na mtu yeyote, lakini pia ilinitisha, kwani uso wake ulimaanisha alichokuwa anakisema. Tukiwa tumekaribiana Kwa umbali sifuri, nikamkumbatia na kuanza kumpapasa tena, wakati huu nikifanya hayo Kwa umakini nikiwa macho. Alitulia na kuanza kupata hisia. Niliendelea hivyo kwa dakika tano kabla sijashika Papuchi ambapo varangati likaanza tena.

Mara hii, Warda mwili wake ulitetema Kama uji mzito unavyotokota. Akanisukuma Kwa nguvu Sana. Nikaanguka chini nikiwa na Boxer tuu. Kisha Kwa upesi nikijua kuwa sipaswi nimpe nafasi ya kunijia pale chini, nikaamka. Bado Warda alikuwa akitetrmeka akiwa amelala kitandani akiruka ruka Kama mtu mwenye mapepo wabaya wenye nguvu. Mimi nikawa nimesimama namtazama nikijizuia kumsogelea.

Kwa upesi Warda akaamka na kunitazama macho yake akiwa kayatoa, kisha akatabasamu akawa Kama mwendawazimu akinifuata Kwa roughly akienda upande huu na upande huu. Sasa hapo nami nikawa namkazia macho nikijaribu kuyaonyesha majini yake kuwa Mimi sio muoga. Naye alikuwa akienda roughly zigzag huku macho yake yakiwa kwangu. Hapo akaanza kuongea Kwa sauti isiyoyake licha ya kupitia mdomoni mwake, sauti nzito ya kiume yenye kautisho Fulani. Akaniambia; Hapendi wanaume, hataki wanaume, na siwezi kulala naye.

Nikamuuliza, Kwa hiyo hunipendi? Akanijibu, ndio, Kisha akasema; Nakuonea huruma. Muda huo alikuwa ameshanikaribia tukiwa tunatazamana yeye akiyumba huku na huku. Nikacheka, nikijaribu kuonyesha ujasiri wangu. Kisha nikayatukana, na kuyaambia leo natatoomba yenyewe na huyo Mrembo. Ghafla Kwa nguvu nisizoweza kuzieleza, Warda alikinyanyua kitanda Kwa nguvu na kukibamiza ukutani, kabla sijamalizia kushangaa hilo akaenda kwenye kimeza zilipo chupa na zile nyama.

Akili yangu ikagundua nini kinaenda kutokea, Kama nilivyofikiri akiwa katika ubora wake Kwa Kasi akaichukua chupa ambayo ilikuwa na kinywaji nusu akanirushia nami sikuchelewa nikainama ikapita na kupiga ukutani ikapasuka na kurusha kile kinywaji. Nikamuwahi Kwa upesi nikampiga Teke la nyonga akaondoka chini Ulipo mlango wa bafu. Kabla hajaamka nikawa nimefika pale, nikampiga makofi mawili mazito, lakini ni Kama hakuyasikia licha ya kumresha tena chini.

Akataka kuamka lakini nikamshika mikono yake. Aisee! Hapo ndipo nilipofanya makosa. Warda alikuwa na nguvu sijawahi kufikiri.
Alinisukuma Kwa nguvu nyingi nikaanguka kwenye Ile meza yenye ambayo Kwa sasa ilibaki chupa moja ambayo nayo ikaanguka baada ya Mimi kuiangukia. Warda hakunipa nafasi na majini yake akanifuata pale chini akaninyanyua Kwa kunikaba kwenye shingo, nikajaribu kufurukuta lakini wapi.

Nilipoona kufurukuta kumenishinda na sasa pumzi inakata, nikamshika kichwani, akawa anakwepesha, lakini niliposhika paji lake la uso vizuri, nikanong'ona maneno ya Kikulungwa. Nikaona haachii. Nikakazana kunena maneno ya Kikulungwa huku nikimtishia Yule jini mbaya aliyemvaa Warda. Nikaona mikono yake inaanza kuachia shingoni kwangu, nikakazana mpaka aliponiachia na kunitupa upande mwingine.

Nikiwa pale chini nikawa natweta nikijaribu kuivuta pumzi Kwa nguvu, mikono yangu ikiwa shingoni huku macho yakiwa Kwa Warda aliyesimama hatua chache kutoka pale aliponirusha. Warda akawa anacheka huku akinitazama kama aliyenishinda.
Nikamuona akiinama akaokota kipande cha chupa iliyopasuka akiwa kashika Ulipo mdomo WA chupa. Nilipoona hivyo nikajua hii ishu imekuwa kubwa, nikileta mchezo naweza pata madhara.

Kama nisiyeamini, Warda akiwa ameishika Ile chupa akajikata kwenye Mkono wake kisha damu ikawa inamwagika, akaulamba Mkono wake pale alipojikata. Sikuamini, na wala sikuwa naamini, nilijiona Kama naota ndoto mbaya Sana. Warda akasema Kwa sauti isiyo yake, sauti nzito huku akitabasamu; "Nilikuambia nakuhurumia, lakini wewe hujihurumii, sasa nakuua, damu yako nitainywa"

Kijasho chepesi kilianza kupenya kwenye makwapa yangu, kijasho cha hofu, uso wangu ulishazingirwa na wasiwasi. Warda akanisogelea macho yake yakiwa kwangu nami nikimtazama. Akiwa uchi na bikini yake huku shanga zikiwa zimeshikilia kiuno chake. Nikasimama pale chini, nikijiandaa na uvamizi wa Warda na majini yake. Sikumuona tena Kama Warda isipokuwa nilimuona Kama Jimi la kike lenye uzuri lakini lenye kiu ya damu. Nikamwambia; Mimi ni Jini mkubwa, leo nitakula wewe na huyu mrembo.

Warda akanirusha Mkono wake alishika chupa nikakwepa, akarusha tena nikainama, sasa alikuwa amenikaribia, nami nilikuwa nimerudi nyuma na kufikia ukingoni Ulipo ukuta wa kile chumba. Warda akarusha tena Mkono wake nikamzuia lakini akawa amenikata kidogo mkononi, nikamnyonga Mkono wake na kuuvunja, akaiachia Ile chupa. Hapo akaanza kunguruma Kama Simba, akanikamata Kwa nguvu zote lakini Mkono mmoja ukiwa hauna nguvu Kama ule WA pili. Lakini bado nilimuona ananguvu.

Tukavurugana pale, mara kadhaa akiupeleka Mkono wake kwenye uume wangu huku akisema ataukata. Nami nikawa najizuia, zile kelele zikafanya watu wagonge mlango wa chumba chetu, lakini ulikuwa mlango tulikuwa tumeufunga. Warda nguvu zake zikaongezeka maradufu, sasa nikawa simuwezi tena. Alikuwa kanishinda kinguvu za mwili. Alinibamiza huku na huku ukutani, akanikaba mpaka nikawa napiga kelele za msaada nikiwaambia Wale waliomo mlango wauvunje waje wanisaidie.

Warda akanishika kooni na kuanza Kwa nguvu Kama mtu anataka kuvunja shingo. Pumzi ikawa haipiti, nikahisi akili inamchanganyiko na macho yangu yakaanza kuona kiza licha ya taa iliyokuwa ikiwaka. Nashukuru, HAKUKUMBUKA kuvuta korodani na uume wangu kwani Kwa muda ule alikuwa keshanidhibiti. Nikakumbuka kusema maneno ya Kikulungwa. Nikavuta nguvu zote, nikawa nimeshika kichwani Kwa mikono yangu miwili nikasema maneno kadhaa Kwa kunong'ona sauti ikikwaruza. Punde mlango ukavunjwa, watu wakaingia, wakamuwahi Warda lakini hawakufua Dafu, Warda aliwasukuma huko akiwa kaniachia Mimi.

Walikuwa wanaume wawili na wenzi wao, pamoja na mhudumu mmoja wa kike aliyetuhudumia mwanzo. Nikiwa pale chini, nikihaha Kwa tukio lile nilivuta pumzi Kwa papara huku nikiuangalia jinsi Wale wanaume wawili wakipambana na Warda. Jana mwenzenu ilibaki kidogo roho itoke.

Jokajeusi
...Wasiliana na Shigongo!....
 
Hii kitu iliwahi kunitokea mimi mwenyewe. Demu alipandisha majini room dah acheni
 
Sio hadithi ni live bila chenga imenitokea miaka kadhaa iliyopita, ni mwanamke aliyekamilika kila idara kiasi cha kumfanya mwanaume rijali aweze kumtazama kwa umakini wa hali ya juu. Binafsi sikuwa na nia ya kumtongoza ikatokea tunashinda pamoja mazingira fulani kikazi kiasi cha kuzoeana na kubadilishana namba, katika kuwasiliana nikahisi ana lake jambo ikaninilazimu nimfanyie upelelezi kwa wanaomfahamu.

Nikaambiwa huwa ana majini wawili wakorofi hatari sana nikawa nafanya niwezavyo kujiweka mbali naye, siku ya siku nipo na jamaa zangu tumetembelea mitaa ya kwao na yule mwanamke ndio tukashuhudia akiwa katembelewa na hao walimu wake wawili ......... Balaa lake sio kitoto, anabadilika sura linakuwa kama dubwasha la kutisha halafu sauti inayomtoka ni nzito na anakuwa na nguvu ambayo huwezi hata kufikiria. Baba yake mzazi ndio anamudu kuongea nao na kuwatuliza. Mikononi anavaa pete mbili ~ moja mkono wa kushoto nyingine mkono wa kulia rangi nyekundu na kijani. Kila Pete ni ishara ya mwalimu mmoja.

Baada ya maongezi ya kina sana alinishawishi nikamto.mbea maeneo ya Kinondoni hapo lakini siku ile sikulala usingizi hata chembe pamoja na yeye kujaribu kila namna kunitoa hofu kuwa hakuna tatizo alishawaomba hao walimu wake wakamruhusu kufanywa.

Kipindi Cha nyuma alikuwa akinipigia simu ananiambia nilipo kabla sijamwambia na ni kweli nakuwa hapo. Nilimpotezea mdogo mdogo kwa sasa hanitafuti mara kwa mara. Hao watu wapo na wanato.mbana utafikiri siku ya mwisho qqqqmmamamamaaaaaaqeeee, akikukalia mb0rlo ananyonga kiuno anakandamiza halafu anapiga yowe la mahaba kisha anatukana mitusi , unaweza hisi uBo0 unanyofokea kwa ndani usipokuwa mtundu anakuwin bao zote anachukua point tatu
Hv mtu kama huyu mwenye uwezo wa kujua mpaka mahali ulipo, vp pia anaweza kua na uwezo wa kukuonesha ni biashara/kazi gani ukifanya utapata pesa mingi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom