Weka sauti za majini mkuu. UtanishukuruNi kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho
Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Wazee wa Seapiano tuko vizuriHaya mavitu nime waachia ma producers miimi ni mwendo wa sabufa tu mziki mnene
Umepigwa mzee 🤣🤣🤣 aliekwambia LG wana vyombo vya mziki ni nani? Lg ni kwa ajili ya Friji, Ac na Washing Machine tu 🤣🤣🤣mkuu utoke mziki mzuri uliochujwa base yenye mkito. sasa cha ajabu base ipo chini hata ukiongeza hamna chochoke kinachobadilika. mfano volium ipo 100 ni ya kawaida sana ukipunguza mpaka 40 ndio imeisha hiyo
Haya mautopolo yana mziki gani sasa. Nina uhakika ukiweka hilo bushido na huyu mnyama hapa inakalishwa mapema mno.Kama ulitaka mziki, nenda na music system sio home theatre, home theatre is for surround sound kama dt dobbie nk ambazo utaskia souti ya movies vzr kwanye hizo channel 5 za sauti, hakuna mziki una channel 5, mziki ni sterio ya channel 2 tu.
Ukitaka mziki, chukua music system hii, andaa milioni zako kadhaa
Kuna kopi na ogNi kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho
Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Nikipiga hadi majirani wanatetemekaaaLg mkuu ungenunua Sony nikipiga Sony yangu dav dz 650 watts 1000 jamanii sijutii huku nasikiliza mayday ya fally
Mbona sio mbaya, umetumia connector gani? Umetumia file gani kutest?Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho
Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
🤣🤣🤣Umepigwa mzee 🤣🤣🤣 aliekwambia LG wana vyombo vya mziki ni nani? Lg ni kwa ajili ya Friji, Ac na Washing Machine tu 🤣🤣🤣
kuzipata tabu sana hizo siku hizi wantoa soundbars tu ila ukibaatisha zinapiga panya lazima wahame.Lg mkuu ungenunua Sony nikipiga Sony yangu dav dz 650 watts 1000 jamanii sijutii huku nasikiliza mayday ya fally
Ila kwa jbl atapata kama kimkoba cha kuweka kwapani kwa bei hyo.Tafuta JBL Bluetooth speaker kwa pesa hio utojuta
Usipende kukariri. Lg kwenye music wapo. Wana soundbars kali tu. Sema ndio hivyo bongo zipo chache. Na hiyo home theater anayosema ni ya 2023 hapana. Hapo labda kanunua mchinaLG ni nzuri kwa AC na Mafriji bana na angalau kwenye TV za kisasa. Huku kwenye miziki mnyama ni Sony, JBL kwa sasa. Ukigusa anga za mchina mkali ni Kodtec