Nimenunua home theater LHD657 Model, lakini cha ajabu ina Sauti ya kawaida sana

Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano

Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho

Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Weka sauti za majini mkuu. Utanishukuru
 
mkuu utoke mziki mzuri uliochujwa base yenye mkito. sasa cha ajabu base ipo chini hata ukiongeza hamna chochoke kinachobadilika. mfano volium ipo 100 ni ya kawaida sana ukipunguza mpaka 40 ndio imeisha hiyo
Umepigwa mzee 🤣🤣🤣 aliekwambia LG wana vyombo vya mziki ni nani? Lg ni kwa ajili ya Friji, Ac na Washing Machine tu 🤣🤣🤣
 
HTS ni ya kuchambua mziki sio kupiga mdundo mzito
Screenshot_20230602-111851~3.png
 
Kama ulitaka mziki, nenda na music system sio home theatre, home theatre is for surround sound kama dt dobbie nk ambazo utaskia souti ya movies vzr kwanye hizo channel 5 za sauti, hakuna mziki una channel 5, mziki ni sterio ya channel 2 tu.

Ukitaka mziki, chukua music system hii, andaa milioni zako kadhaa
Haya mautopolo yana mziki gani sasa. Nina uhakika ukiweka hilo bushido na huyu mnyama hapa inakalishwa mapema mno.
images (3).jpeg
 
Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano

Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho

Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Kuna kopi na og
 
Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano

Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho

Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Mbona sio mbaya, umetumia connector gani? Umetumia file gani kutest?

Tafuta movie yenye 5.1 sound chanell, Sambaza hizo Speaker accordingly, ya kulia weka kona ya kulia na kushoto ikae kushoto, Subwoofer kati kisha angalia.
 
Mm nina sony homthieta toka 2016 up to date wat 1000 dvz 600 uo mzk wake n shida inategemeana na ww wakat unaenda kununua ulzngatia nn ile deki ndio inayotoa watt kama n 1000 nk lakn spker lile bufa lake ndio nguvu ya iyo dvzb 600 kwaio kagua sytm yako kuna homthieta zinazidiwa na sabufa kupga lakn watu wamenunua 700k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom