Tulipendana sana, akiwa UDSM na mimi MU na bado tulitembeleana bila kuchoka. Alibahatika kwenda nje ya nchi (a week school trip), aliniletea suit pamoja na ukubwa wake niliivaa. Mara ya kwanza kuvaa suit kanivalisha yeye.
Tulimaliza shule, nyumbani alifahamika na akazoeleka. Alipata tempo steers mimi nikiwa sina kazi. Daladala tulipanda wote, bajaji tulipanda wote na hata kuswampa tuliswampa wote.
Nilipata kazi nzuri kabla yake ila later on na yeye alipata. Maisha yalibadilika yakawa more improved na penzi pia lilinoga.
A year later nikanunua gari, wiki moja baada ya kununua gari akanitumia msg 'eti tubaki marafiki'.
I didn't take it serious ila muda ulivyozidi kwenda ndivyo alivyomaanisha.
Baada ya kubembeleza sana bila mafanikio hatimae tukaachana kabisa.
Nimechunguza kwa kiasi fulani hana mwanaume mwingine....
Tatizo ni hili gari (corolla)au kuna kingine?
watu tunatofautiana sana mitazamo ya kimaendeleo. mimi mtu akijenga nyumba kwanza ndiyo baada ya kujenga anunue gari naona anamtazamo wa kimaendeleo , lakini mtu anayenunua gari wakati hana nyumba naona hana mtatazamo wa kimaendeleo. sasa yawezekana na yeye amekuona wewe siyo mtu wamaendeleo ndiyo kakuacha
watu tunatofautiana sana mitazamo ya kimaendeleo. mimi mtu akijenga nyumba kwanza ndiyo baada ya kujenga anunue gari naona anamtazamo wa kimaendeleo , lakini mtu anayenunua gari wakati hana nyumba naona hana mtatazamo wa kimaendeleo. sasa yawezekana na yeye amekuona wewe siyo mtu wamaendeleo ndiyo kakuacha
Hahah..munkari mi hoii...afadhal uyu bidada kaprove wrong hawa wanaume wa jf....wapi Mzabzab???
HIVI UNAKAA MKOA GANI MKUU?km out of Dar ntakuelewa
Wakazi wa Dar tunajua umuhimu wa private car,nyumba itajengwa tu wth tym,but gari kwanzaaa
Unatumia muda mwingi kuwaza gari,si haukuwa nalo! Na pia matumizi mengi yamehamia kwe gari, mafuta, tairi, service Mara faini,mara umegonga si bado hujui kuendesha!
Mahaba yote kwe gari! Kama unampenda hebu kalifiche sehemu umwambie hunalo tena ucheck, pole!
Ukiwa na gari unaweza hata kusahau kumnunulia Mke chupi, si masihara!
project kwasana tu mwambie huyoUkishaanza kuuliza...Kwanini umeachwa basi ujue umeshampoteza. Kwasasa jiulize ni project (demu) gani hujakamua? Kamua mademu wengine wakali na yeye mwenyewe atakutafuta.
A good matured girl sidhani kama angenikimbia kwa huo uamuzi wa kukimbilia luxurious lazima angeniweka chini tudiscuss na pia kwa dsm gari ni basic need. Ningekuwa -------- kama ningekimbilia gari ya gharama but i went for cheap and budget one ambayo haiwezi niharibia mipango yangu ya baadae kama kununua kiwanja na kujenga.
Mkuu Taratibu, mbavu zangu!!!!Inaonesha huwa unaendesha kwa Speed
Inaonesha huwa unaendesha kwa Speed
Point Tiba.
Sikumshirikisha kabisa but i thought itakuwa surprise nzuri ambayo hata yeye angefurahi. Na kweli nilipomuonyesha alionyesha furaha sana na akashangaa ila ndo hivyo baada ya siku mbili tatu ndo akanitwanga na msg.